Hamza Johari: Timu ya Uchunguzi wa Mkataba wa DP World iliteuliwa na Hayati Magufuli, Rais Samia anaendeleza mchakato

Oyaa JPM aliwafurumua WACHINA AA BAGAMOYO.


Genge la Samia limeanza kutafuta uhalalishaji wa UPUMBAVU wao kupitia jina la JPM.
 
Aibu hamna mnataka kumsingizia marehemu?

Mbona aliowaweka jela mmewatowa?
Oyaaa Marehem aliwafukuzia mbali WACHINA WA BAGAMOYO.


Ije kua DP world πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Tangu lini mtu wa Anga, kuja kusema Bandari 🀣🀣.

Usiombe uzungukwe na Vilaza na wachumia tumbo, Kila siku watazidi kukuharibia
 
Sasa ndio umeongea nini?
Na ninacho maanisha ni kwamba... Kama mnaona mtu kaanzisha jambo baya na unajua ni baya kuna haja gani ya kuliendeleza wakati unajua ni baya? Na mambo yamewashinda mnaanza kusema KWanza jambo lenyewe kalianzisha fulani!!! Huo si ukhanithi kabisa!!!......

Na swala ni terms of the contract... Naamini angekuwepo huyo mnae msingizia kaanzisha naamini hizo terms kandamizi za mkataba ZIsinge kuwepo!! Pia mtu kesha jiondokea zake KWa nini muendele kumtajataja? Sijui wewe ni kijana au mtu wa makamo au mzee... Mimi sijui... Lakini watanzania wa siku hizi (wengi wao sio wote) mnajipendekeza sana na hiyo yote ni kupenda mtelemko, kutaka vyeo KWa lengo la kujionyesha wala si kutaka kuleta mabadiliko katika jamii.... Ndio maana mashoga wanaongezeka....
 
Sisi wengine tulipoona ghafla Shujaa Magufuli kamtenga PK tukajua tu Paul kagusia Bandari πŸ˜‚πŸ˜‚ maana katika hilo hata JK machale yalimcheza

Kizazi cha Kitusi kimetokea mbali bwashee kama wale akina Mussa na Joshua πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Sio jambo baya mbona ila nyie ndio mnapotosha
 
Kwenye hili mama hakwepi hata anunue vichawa vingine waongeze nguvu kumtetea, ila wanatanzania wa miaka 10 iliyopita siyo kama wa leo, wanajua na wanaouwezo wa kuhoji inapobidi!

Mambo yamebadirika mno

Narudia tena, kuendelea kumsingizia Magufuli leo, ni dhahiri kwamba kosa wanalo ila hawataki kujitokeza kuomba poo!
 
Wakishindwa wanamuangushia zigo Magufuli, hiyo ni hulka ya watu wavivu na incompetent, yaani Magufuli apiganie Bomba la Mafuta ktk Uganda mpaka Bandari ya Tanga halafu akaingie mkataba na kuizuia Bandari ya Tanga isisafirishe Mafuta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…