Hamza Johari: Timu ya Uchunguzi wa Mkataba wa DP World iliteuliwa na Hayati Magufuli, Rais Samia anaendeleza mchakato

Akwepe Kwa lipi hasa baya?
 
Wakishindwa wanamuangushia zigo Magufuli, hiyo ni hulka ya watu wavivu na incompetent, yaani Magufuli apugania Bomba la Mafuta ktk Uganda mpka Bandari ya Tanga halafu akaingie mkataba na kuizuia Bandari ya Tanga isisafirishe Mafuta?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu ChoiceVariable wewe ni "Dependent Variable" au "Independent Variable"? Mbona hamjibu swali langu la msingi Kwa nini Serikali ya JMT haikubariki MoU kati ya TPA, shirika lake, na DPW ya Dubai, iliyosainiwa 28/2/2022, badala yake ikaingia Mkataba wa IGA uliosainiwa 18/10/2022, tofauti na makampuni mengine yanayowekeza nchini?
 
NI DHAMBI KUMSINGIZIA ALIETANGULIA...
 
Siko Serikalini Wala TPA so siko kwenye nafasi ya kujibu Hilo.

Wa tag wahusika wapo kwenye social media..

Mimi ni independent variable
 
Akikujibu nistue mkuu
 
Huyu wa anga anaongelea ya bandari?
 
Uzuri JPM alishatusanua mapema kabisa. Kwahiyo tunajua. Nyie pambaneni na hari yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…