ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #121
Mkataba wa kishenzi kama upi huo?pamoja na mapungufu yake kama binadamu. magu hakusaini mkataba wa kishenzi kipindi chake kama huyu mama alivyofanya. Alipoingia ikulu alikuta deal la wachina kujenga sgr kwa usd5mil kwa kilomita. magu akakataa akawapa waturuki kwa usd3mil kwa km.
deal la dp world si la magu hata kidogo. wanajua walikolitoa
Alete lipoti ya hiyo tume na atuambie ilipewa muda gani kukusanya maoni,Kwa hiyo unapingana na huyo aliyesema waliunda Timu Toka kitambo au?
Ungejua unataka kuongelea suala gani, ungetuliza kichwa kwanza ili ufikirie kabla hujaongea mbele ya watu.Mwanaume gani unaitwa johari !!?? Jinga kabisa,kwakuwa magufuri hawezi kujitetea ndo mnaona njia bora nikumuangushia jumba bovu marehemu.
Hivi ninavyocomment unajuwa kama hao wote watatu wapo Dubai?Acheni kupotosha
Kumbuka kuwa Hamza alikuwa mshauri wa JPM wa masuala ya kisheria kama alivyo mshauri wa SSH wa masuala hayo hayo.pamoja na mapungufu yake kama binadamu. magu hakusaini mkataba wa kishenzi kipindi chake kama huyu mama alivyofanya. Alipoingia ikulu alikuta deal la wachina kujenga sgr kwa usd5mil kwa kilomita. magu akakataa akawapa waturuki kwa usd3mil kwa km.
deal la dp world si la magu hata kidogo. wanajua walikolitoa
Kwani Kuna tatizo Wakiwa Dubai?Hivi ninavyocomment unajuwa kama hao wote watatu wapo Dubai?
Ripoti hupelekwa Kwa aliyewatuma sio kwakoAlete lipoti ya hiyo tume na atuambie ilipewa muda gani kukusanya maoni,
Magufuri hakuwa kilaza kiasi cha kinda tume kuchunguza mkataba,
Mmemuuzia muarabu nchi
Ukiona hivi ni maji ya shingo sasa wanatafuta mtu wa kumwangushia. Magufuli aliweka 1.3 Trilioni pale asingeweza kuweka hela kama ana mpango wa kubinafsisha. Pia asingeweza ingia mkataba wa hovyo namna katika karne hii 21 ya Sayansi na technologiA.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”
si kweli, ni vile marehemu hawezi kurudi duniani
Huyo Kitenge katoka Tabora vijijini huko kawakuta akina Ndyetabura wametamalaki Kuanzia Custom hadi kwa Janguo!Acheni kupotosha
Ikulu imezinduliwa lkn Jpm hakutajwa kama wananchi tulivyotaka atajwe lkn ya Dp World mumtaje?Daaah yaan na hili mnataka kumuangushia jumba bovu JPM? NB; Pambaneni na hali zenu kuna uovu ndan ya mkataba tafuteni namna ya ku solve!!
Tupe majina ya Mwenyekiti na Katibu wa Tume hiyo achana na wajumbe. Nakusubiri hapa.Ndio maana ya vetting,hakuna Cha milele ni wewe unazusha tuu na wapotoshaji wenzio.
Yohana ni kama vile umechanganyikiwa, rudi kwenye umakini wa kujadili hoja.Hamza hapa Tanzania ni mmoja tu
RIP Hamza
Wanasheria wanasema kwa Bunge kuridhia Ule Mkataba umeshakuwa SheriaYohana ni kama vile umechanganyikiwa, rudi kwenye umakini wa kujadili hoja.