Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”
Huko ndani inaonekana kuna wajinga wengi kweli. Yaani kwenda kutengeneza uwongo kama huu wanaona wamefanya kazi kubwa na kutumia akili sana.
Namwonea huruma Rais Samia kwa kukosa watu wenye akili wa kuweza kumsaidia.