Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wameishiwa pumzi πMtaalamu wa mamlaka ya anga aenda kuiokoa mamlaka ya bandari.πππππ·π·π·π·π·
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameishiwa pumzi πMtaalamu wa mamlaka ya anga aenda kuiokoa mamlaka ya bandari.πππππ·π·π·π·π·
Akwepe Kwa lipi hasa baya?
Labda Magufuli comedianπ€£magufuli yupi?
Ukiwa Raisi wewe ndio final say. Huwezi kubariki upuuzi halafu uchekewe kwa kichaka cha ilani ya CCM. Raisi ni top wa serikali na top wa CCM na ndio maana magufuli aliendesha nchi kwa namna ambavyo aliona sahihi na hakukuwa na mtu wa kumpinga.Tatizo tunamuona JPM kuwa ni shujaa wa taifa na tumeshalipa tafsiri potofu suala zima la DP World.
Tunadhani SSH kwa maamuzi yake mwenyewe alienda Dubai na kuingia mikataba, tunasahau kuwa hawa wawili ni wateuliwa wa chama kimoja cha siasa. Wanatekeleza ilani moja ya uchaguzi.
Tumembagua na kumtusi SSH tukisahau chanzo halisi cha huu mradi ni nani, tukashindwa hata kujiuliza gharama kubwa ya ujenzi wa SGR kwa kuilinganisha na mradi huu wa waarabu.
Siasa kuzitafakari inamtaka mtu atulize kichwa chake vizuri.
Rais wa awamu ya tano,hakuwa Malaika ,kuna maamuzi mengi alifanya kwa masilahi binafsi au Kijiji Cha Chato alichotoka,kwa mfano ujenzi wa Chato International airport,Chato Zonal Referral hospital, kununua ndege kwa Cash kinyume taratibu na kanuni za fedha za Umma, masuala ya makinikia ambayo watanzania tuliaminishwa kupata virukuu,lakini tumelipwa fedha kiduchu na wazungu wale.Kwa hiyo timu ya uchunguzi wa uendeshaji wa Bandari,ni miongoni mwa maamuzi ambayo hayakuwa sahihi,ndiyo maana wamependekeza bilateral- Agreement yenye mapungufu mengi (fundamental mistakes) yenye kuleta maswali mengi,kuliko majibu. Ushauri wajumbe wa timu ya uchunguzi wachunguzwe na wao,tunamashaka nao na wameipotosha Serikali ya awamu sita[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
βTimu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.β
ππππ ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
βTimu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.β
Rais anao washauri haamui peke yake. Hawa wanaosambaza chuki hawaongelei mchango wa wasaidizi wa Samia katika maamuzi yote anayoyafanya.Ukiwa Raisi wewe ndio final say. Huwezi kubariki upuuzi halafu uchekewe kwa kichaka cha ilani ya CCM. Raisi ni top wa serikali na top wa CCM na ndio maana magufuli aliendesha nchi kwa namna ambavyo aliona sahihi na hakukuwa na mtu wa kumpinga.
Sasa aangushiwe kwani yeye alikua mwenyekiti wa kijiji au rais wa nchi? Mbona migodi alibinafsisha au siyo rasilimali hiyo.Daaah yaan na hili mnataka kumuangushia jumba bovu JPM? NB; Pambaneni na hali zenu kuna uovu ndan ya mkataba tafuteni namna ya ku solve!!
Kwahiyo watu wakifungwa jela huwa hawatoki?Aibu hamna mnataka kumsingizia marehemu?
Mbona aliowaweka jela mmewatowa?
Ondoa imani potofu wewe wakati DP world inaanzishwa rostam alikua analima viazi kwao igunga huko tabora hao warabu wana pesa chafu waulize wamarekani.Yani nilivyoona Rostam Aziz amerudi basi nilijisemea tu huyu mtu safari hii ana hasira kuliko mwanzoni.
Sasa anatuibia mpaka bundle za Tigo, yani ukiweka GB moja usithubutu kufunguwa video utakoma ubishi, kwenye hili la DP kama Rostam hausiki mninyonge nife.
Certified fool.Ondoa imani potofu wewe wakati DP world inaanzishwa rostam alikua analima viazi kwao igunga huko tabora hao warabu wana pesa chafu waulize wamarekani.
Hahaha [emoji38]Yani nilivyoona Rostam Aziz amerudi basi nilijisemea tu huyu mtu safari hii ana hasira kuliko mwanzoni.
Sasa anatuibia mpaka bundle za Tigo, yani ukiweka GB moja usithubutu kufunguwa video utakoma ubishi, kwenye hili la DP kama Rostam hausiki mninyonge nife.
Ivi ni JPM aliye kwenda Dubai kufungua nchi, ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
βTimu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.β
MchaRipoti hupelekwa Kwa aliyewatuma sio kwako
Wanafikiri, au wameshauriwa, au wamedanganywa??Daaah yaan na hili mnataka kumuangushia jumba bovu JPM? NB; Pambaneni na hali zenu kuna uovu ndan ya mkataba tafuteni namna ya ku solve!!
ππππ ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
βTimu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.β