'Hangover' ya propaganda za utawala wa Magufuli zitadumu kwa baadhi ya watu milele

'Hangover' ya propaganda za utawala wa Magufuli zitadumu kwa baadhi ya watu milele

Magufuli ndani ya miaka 5 amekopa til. 10
Mama kwa mwaka 1 amekopa til. 9

Na wewe chawa uko hapa kumsifia
Mama akikopa anasema Magufuli hakuwa kusema kwamba anakopa.. alitudanganya kwamba pesa zile ni za ndani kwamba nchi hii ni tajiri sana.
 
Magufuli ndani ya miaka 5 amekopa til. 10
Mama kwa mwaka 1 amekopa til. 9

Na wewe chawa uko hapa kumsifia
Alikuta deni la taifa likiwa 39t, ndani ya 5yrs likafikia 57t. Hadi anaelekea motoni hali ilikuwa hiyo.
 
Huwa mnatuhumu ufisadi wake bila kuthibitisha.

Makamba naye anagawa majiko, mbona watu hawampendi kama Magufuli?

Magufuli aliwapenda wanyonge na kuwatendea haki: wakulima, mama nitilie, machinga, bodaboda na Watanzania tunaoipenda nchi yetu hutuambii chochote kumhusu Jemedari tukakuelewa.

Alijenga miundombinu ya hii nchi kuliko Mtanzanzania yeyote kuwahi kutokea. Akaleta nidhamu na uwajibikaji. Akaanzisha miradi mingi ya Kimkakati, n.k.

Nyie vyeti feki, wauza madawa ya kulevya, mafisadi, vibaraka wa mabeberu na walamba asali wote endeleeni tu kufurahia awamu yenu hii, kutesa kwa zamu.

Ila mnaujua ukweli - Magufuli alikuwa mzalendo wa kwelikweli, hilo halina ubishi.

Kwani magufuli akikuwa anapendwa au au ilikuwa ukisema hapendwi unatekwa? Kama alikuwa anapendwa kipi kilimfanya anajisi uchaguzi?
 
Upo sahihi. Propaganda zake zitaishi daima miongoni mwa wa TZ . Binafsi kwenye maisha yangu sijawai kuona MTU muongo duniani Kama MAGUFULI
 
Jibu liko wazi kwa sababu mnamchukia, we fikiria hivyo vifo vya kuokota maiti za kwenye viroba ni kipi kilichofanya hadi hivyo vifo vihusishwe na Magufuli? Utagundua ni chuki tu ndio hufanya mumpa hiyo tuhuma.

Kuna wengine wanakwambia alikufa kwa corona ila hana sababu yeyote ya msingi ya kushawishi kuwa kweli alikufa kwa corona na ajabu unakuta mtu anaamini hivyo na humwambii kitu, unagundua hii ni athari ya chuki yani mtu anaona kusema Magufuli kufa na corona ni jambo la kumdharirisha ni kama adhabu.
Kwanini , mawazo Yako yaende hoko?

Corona siyo kifo Cha aibu , ingekua kipindupindu tungeo aibu kama Taifa.

Tukubali TU kwamba kufa ni siku inakua imewadia hayo mengini ni kukamilisha TU.
 
JMP ameondoa shida gani kwa Wananchi? Magufuli ameondoka watu hawana fedha, deni la ndani limekuwa zaidi kwa kuchukua fedha za watu na kuwekeza katika miradi mikubwa ambayo haina faida ya moja kwa moja kwa watu.

Ndani ya miaka mitano amekopa over 10 trillion, wewe huogopi? Ndege, SGR, Mwendokasi na miradi yote mikubwa amekopa nje bila approval ya Bunge. Kupeleka mji Mkuu Dodoma ni mpango wake wa kutoa zabuni kwa makampuni ya ujenzi ya Kichina ili apate 10%, acheni upuuzi huyu jamaa was filthy thief.
10% inaweza isiwe Kweli.
 
Kama ni vile viwanda vya cherehani tatu sawa.
Wewe hujaenda mwaka gani mkoa wa pwani. Tembelea kule one. Viwanda vya vifaaa vya ujenzi alikuwa anazindua mara kwa mara. Na na Mara ya Mwisho BiTozo kazindua Cha nyaya za umeme mwaka Jana kula mkuranga na kingine kigamboni.

Mwanza, JPM alizindua viwanda kikiwemo Cha Kutengeneza Madawa.

Mara ya Mwisho kabisa alizindua kiwanda kikubwa ka Bei Isa pale Moro Cha kuchakatav
mpunga.

Mkishindwa kazi mailaumu waliopita. JPM kagoma kabisa kukufa
 
Huwa mnatuhumu ufisadi wake bila kuthibitisha.

Makamba naye anagawa majiko, mbona watu hawampendi kama Magufuli?

Magufuli aliwapenda wanyonge na kuwatendea haki: wakulima, mama nitilie, machinga, bodaboda na Watanzania tunaoipenda nchi yetu hutuambii chochote kumhusu Jemedari tukakuelewa.

Alijenga miundombinu ya hii nchi kuliko Mtanzanzania yeyote kuwahi kutokea. Akaleta nidhamu na uwajibikaji. Akaanzisha miradi mingi ya Kimkakati, n.k.

Nyie vyeti feki, wauza madawa ya kulevya, mafisadi, vibaraka wa mabeberu na walamba asali wote endeleeni tu kufurahia awamu yenu hii, kutesa kwa zamu.

Ila mnaujua ukweli - Magufuli alikuwa mzalendo wa kwelikweli, hilo halina ubishi.
Miundo mbini ipi hiyo? Mbona mna mtukiza kipita kiasi?
 
Ingia basi hata ajira portal uangalia?

Sasa kila kitu ukitaka tukuwekee hapa huoni tutakuwa tunarudia mambo? Unamiliki technolojia unashindwa kuji update?

Alizindua viwanda hadi mkalalamika, sijui hizi propaganda mnazipika za Nini! Tanzania ya Viwanda mmepotezea Sasa hivi kazi ni kulamba Asali tu. Kamba zimeshakatika kwa hiyo ni mwendo wa kula kokote tu.
Kwenye uzinduzi wa viwanda hapo usiseme, enzi za cherehani 10 , nikiwanda?

2018 , mwenge ulizindua kiwanda chenye miaka zaidi yakumi.
 
Kwenye uzinduzi wa viwanda hapo usiseme, enzi za cherehani 10 , nikiwanda?

2018 , mwenge ulizindua kiwanda chenye miaka zaidi yakumi.
Hizo zilikuwa ni miongini tu.

Wewe gugu basi? JPM azindua kiwanda. Utapata vingi.
 
Haha kipindi hicho nilikua hainipiti hotuba zake hata kidogo lakini Sasa hata dakika Moja siwezi kumsikiliza huyo mama

Alinijaza uzalendo wa kweli lakin Sasa .mmh
Yani unajazwa ujinga ndio unaita uzalendo?.
Nchi imejaa watu wa hovyo sana
 
Kwanini , mawazo Yako yaende
hoko?
Corona siyo kifo Cha aibu ,
ingekua kipindupindu tungeo
aibu kama Taifa.
Tukubali TU kwamba kufa ni
siku inakua imewadia hayo
mengini ni kukamilisha TU.
Wananasema alidharau corona ndio maana wanalazimisha kifo chake kuwa ni cha corona ili kuonesha kuwa hakuwa sahihi kwenye msimamo wake dhidi ya corona na kuidharau kwake corona ndio maana imemuondoa.
 
JMP ameondoa shida gani kwa Wananchi? Magufuli ameondoka watu hawana fedha, deni la ndani limekuwa zaidi kwa kuchukua fedha za watu na kuwekeza katika miradi mikubwa ambayo haina faida ya moja kwa moja kwa watu.

Ndani ya miaka mitano amekopa over 10 trillion, wewe huogopi? Ndege, SGR, Mwendokasi na miradi yote mikubwa amekopa nje bila approval ya Bunge. Kupeleka mji Mkuu Dodoma ni mpango wake wa kutoa zabuni kwa makampuni ya ujenzi ya Kichina ili apate 10%, acheni upuuzi huyu jamaa was filthy thief.
Ha ha haa hii nchi inafaa itawaliwe tena na wakoloni kama watz wenyewe Akili ndo kama hizi za kushikiwa.
 
Umeme Tanzania hautoshi na umeme mwingi unatumika katika viwanda. JPM, alitoa amri kwenye viwanda vipunguze uzalishaji na kufanya kazi mchana tu na kuachia matumizi ya umeme uende kwa Wananchi. Viwanda vilifungwa, watu wakakosa ajira na wawekezaji wakaondoka. Huyu ndiye JPM.

Kama ulifurahia umeme kutokatika, uje tu kuna viwanda vilifungwa na maelfu ya vijana wakapoteza ajira. Magufuli ameajiri watu gani? Amewalipa kitu gani kama kwa miaka mitano hajaongeza mshahara wala madaraja?
We nahisi ndo kilaza namba moja hapa JF. By the way mtete chief hangaya Kwa kupaisha bei ya bidhaa
 
mzimu wa magu bado unawatesa wengi sana..
 
Hii paragraph ya 5 ndio imefanya niwe na shaka KUBWA na Wewe kusema tunadhani SERKALI NA MAFISADI wanatuibia? Aisee kwahiyo ESCROW kwako ni halali, MELEMETA ni Safi kwako, upigaji bandari hadi gauge ya kupima mafuta kuchezewa ni SAWA kabisa, .
Wewe ni nani?
Chama gani kilikuwa omadarakani
 
Back
Top Bottom