Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Haiwagi hivyo mkuu, jifunze upyaSio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
Mtanzania ni kama punda, bila bakora haendi.Jamaa ametoa wazo zuri sana, lakini mi tatizo ni mfumo wa hii nchi umekaa kwa kumnyonya masikini zaidi ya alienacho.
Sasa hasara vipi wakati madaktari wanapata ajiri kupitia sie?Nyie hamlipagi chochote, nyie ni hasara kwa taifa, sanasana mnatuongezea idadi ya vilema mitaani.
Iwe chini ya 1M asikatwe kodi maana mtu wa salary ya laki 6 hapo akikatwa mengineyo tu anarudi na laki 4 na kiduchuWakuu
Mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hanspaul Group, Satbir Singh Hanspaul amependekeza mwananchi anayepokea mshahara wa laki tano kushuka chini asikatwe kodi.
Hanspaul ameyasema hayo siku ya Jumatano, Januari 08, 2025 katika Mkutano wa Wafanyabiashara na Wamiliki wa kampuni wa Kuhakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 uliofanyika katika Serena Hotel, Dar es Salaam.
View attachment 3195925
Ana modify magari ya utalii, zile cruiser za utalii ndio kazi yake HanspaulAbarikiwe huyo tajiri. Je, Anamiliki viwanda vya aina gani?
Aah, basi sawa!Sasa hasara vipi wakati madaktari wanapata ajiri kupitia sie?
Wake za watu wanapati migegeso kupitia sie,
Apewe maua yake!Wakuu
Mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hanspaul Group, Satbir Singh Hanspaul amependekeza mwananchi anayepokea mshahara wa laki tano kushuka chini asikatwe kodi.
Hanspaul ameyasema hayo siku ya Jumatano, Januari 08, 2025 katika Mkutano wa Wafanyabiashara na Wamiliki wa kampuni wa Kuhakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 uliofanyika katika Serena Hotel, Dar es Salaam.
View attachment 3195925
Wewe wasemaHaiwagi hivyo mkuu, jifunze upya
watanzania ni wajinga sana eti wanachekelea yeye kuzungumza huo ujingaSio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
Acha wehu,umemsklza?!Sio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
We ni mjinga…laki 5 ikatwe kodi ila milion 200 za wabunge hazikatwi kodi wala mishahara ya marais wenu hakuna kodi..watanzania ni wajinga sana eti wanachekelea yeye kuzungumza huo ujinga
hawa watu wanaumia sana roho nchi ikikua kiuchumi lengo lao si serikali kujimudu na watu wake huyu china angenyongwa kwa ujinga aliozungumza mbele ya viongozi wa serikali kwa ufupi ni adui kiuchumi kwa taifa na amulikwe
mtu anazungumza kuwe na wanaolipa kodi na wengine wasilipe kodi na watu wanaona anawatakia mema, ndio mana ilikua raisi sana kwa afrika kutawaliwa na na hii jamii
kwa ufupi kazungumza upuuzi wa hali ya juu usio na afya kwa taifa linalotaka kusonga mbele
Kwa hiyo jamaa katuona sie mambususu tuuwatanzania ni wajinga sana eti wanachekelea yeye kuzungumza huo ujinga
hawa watu wanaumia sana roho nchi ikikua kiuchumi lengo lao si serikali kujimudu na watu wake huyu china angenyongwa kwa ujinga aliozungumza mbele ya viongozi wa serikali kwa ufupi ni adui kiuchumi kwa taifa na amulikwe
mtu anazungumza kuwe na wanaolipa kodi na wengine wasilipe kodi na watu wanaona anawatakia mema, ndio mana ilikua raisi sana kwa afrika kutawaliwa na na hii jamii
kwa ufupi kazungumza upuuzi wa hali ya juu usio na afya kwa taifa linalotaka kusonga mbele
Hawalipi kodi?!! Duh hatari mbona sie huku ata mbususu tunailipia kodiWe ni mjinga…laki 5 ikatwe kodi ila milion 200 za wabunge hazikatwi kodi wala mishahara ya marais wenu hakuna kodi..
Eff off.Acha wehu,umemsklza?!
Fatilia mkuu …hawa wapuuzi wanatunyonya mnoooHawalipi kodi?!! Duh hatari mbona sie huku ata mbususu tunailipia kodi
Na serikali itafanya hivyo pia kwa waajiriwa wake?Sio kwamba jamaa anajitetea yeye? Mfano alikuwa akikulipa 500,000 wewe unachukua 400,000 halafu 100,000 inakuwa kodi. Wakisema chini ya 500,000 haina kodi anaanza kuwalipa watu wake 400,000 tu.
Wewe unapata 400,000 yako ile ile na yeye anaokoa 100,000 akiwa na wafanyakazi 100 hio ni 10m kwa mwezi savings.
Na serikali itafanya hivyo pia kwa waajiriwa wake?