Hapa jirani yangu pana nyumba haijawahi kukaliwa na watu tokea ikamilike kujengwa. Ni mwaka wa 10 huu, mpaka geti linaanza kuoza. Nijitwalie?

Ingia tu mkuu utolewe bikra na viumbe visivyoonekana.

Utapigwa katerero kila siku bila kumuona anayefanya hivyo ndio utajuwa dunia ni nzito.
 
Ulimuua rafiki yako
 
Humo wanaishi majini.

Ameitoa hiyo kama zawadi
.
 
Ushauri wangu,mtafute ndugu yako wa mbali mpange ajifanye kuja hapo kama hiyo nyumba ni yake then akuone jirani mtafute watu waifanyie usafi na ukarabati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…