Hapa jirani yangu pana nyumba haijawahi kukaliwa na watu tokea ikamilike kujengwa. Ni mwaka wa 10 huu, mpaka geti linaanza kuoza. Nijitwalie?

Hapa jirani yangu pana nyumba haijawahi kukaliwa na watu tokea ikamilike kujengwa. Ni mwaka wa 10 huu, mpaka geti linaanza kuoza. Nijitwalie?

Muwe mnawapa ndugu taarifa au mke au mme taarifa kwamba nina nyumba sehemu, wanaume wengi wanaogopa kugawana mirathi na mke unakuta anajenga ghorofa au nyumba ya kifahari kimya kimya, liktokea tatizo ghafla ukafariki watu baki warithi nyumba yako, watoto wanateseka.
Ubinafsi, ubinafsi wa baadhi ya wanaume, hawataki wanawake wafurahie Mali..
 
Dunia ni ya Mungu, na kilicho ndani yake pia ni cha Mungu. Mwanadamu yeye ni wa kupita tu, ikitokea amepita na hakuna alierithishwa mali yake, watarithi wanadamu wenzake. Hakuna eneo litakaa milele kwa kudhaniwa kua hili eneo ni la mtu flani ambae hatumjui na hatufahamu kaenda wapi wala anaishi wapi na kwamba hatuwezi kulichukua.

Huyo haipo, dunia hii tunaishi kitambo kidogo na tutaiacha waishi wengine.

Okota hiyo nyumba iendeleze. Na unaweza enda ardhi kutoa taarifa kua huna makazi na haoo jirani kuna nyumba haina mtu mwaka wa 10 sasa. Nao watakupa mwongozo nn cha kufanya.
 
Kuna nadharia mbili hapa.

1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.

2. Mmiliki alipoikamilisha alipiga kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.

Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Mi niko ndani nakuona tu ukiangalia angalia na kumeza mate.
Subutu uingie ndio utajua ahera ikoje, hutatoka.
 
Dunia ni ya Mungu, na kilicho ndani yake pia ni cha Mungu. Mwanadamu yeye ni wa kupita tu, ikitokea amepita na hakuna alierithishwa mali yake, watarithi wanadamu wenzake. Hakuna eneo litakaa milele kwa kudhaniwa kua hili eneo ni la mtu flani ambae hatumjui na hatufahamu kaenda wapi wala anaishi wapi na kwamba hatuwezi kulichukua.

Huyo haipo, dunia hii tunaishi kitambo kidogo na tutaiacha waishi wengine.

Okota hiyo nyumba iendeleze. Na unaweza enda ardhi kutoa taarifa kua huna makazi na haoo jirani kuna nyumba haina mtu mwaka wa 10 sasa. Nao watakupa mwongozo nn cha kufanya.
Achague moja; ama aende Ardhi ikachukuliwe na wengine(haswa maafisa ardhi) ama asiende ardhi ili aweze kuimiliki iwapo mwenyewe hatokuja.
 
Back
Top Bottom