Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Kuwa kikundi sio sababu mzee mbona hao Hezbollah pia wanatengeneza silaha. Hamas, Hezbollah na hao houth nao pia wana washirika wao hawajazuiwa kwenda kuwalinda,
 
Kuwa kikundi sio sababu mzee mbona hao Hezbollah pia wanatengeneza silaha. Hamas, Hezbollah na hao houth nao pia wana washirika wao hawajazuiwa kwenda kuwalinda,
Mbona unakua mzito sana wa kuelewa? Nchi ikiwa kama nchi inayotambulika inakua na ruhusa rasmi ya kununua silaha au kuuziwa silaha,

Yani unafananisha Israel na vikundi kama Hamas na Hizbullah!

Israel analindwa coz wazungu hawawataki wakimbilie huko kwao,wanawataka wakae hapo hapo.
 
wazungu hawataki wakimbilie uko kwao? hivi huwa mnalishwa nini huko? mnaaminishwa vitu vya uongo. wazungu gani wanaogopa waisrael wasikimbilie kwao ila wanakaribisha waafrika na waarabu wazamie ulaya? kwa taarifa yako, nusu ya waisrael aidha wana ndugu nje ya nchi au wana makazi nje ya nchi, ila hapo wapo kiimani, kwa kuamini hiyo ni ardhi yao walipewa na Mungu na walifukuza toka hapo sasa wanarudi kwao.ndo maana wapo tayari hata kuumia ila hawaondoki.
 
Ndio maana hua mnaitwa Kondoo,
Walipewa ardhi na Mungu yupi? yule waliyemtesa na kumsulubu? hujui ku hao wayahudi kwanza walipelekwa Uganda kisha huko wakakataliwa? kama wanawapenda kwanini wasingekaa nao wao?

Kwa akili hizi ndio maana hua mnauziwa maji na chumvi ya upako ili eti mtajirike kimiujiza bila kufanya kazi.
 
Hahahaha ndio nyie mnambiwa myahudi anaona mpaa sisimizi na mnamini kwa ujinga wenu. Hakuwaona matekwa zake hapo Gaza mpa anaasaidiwa na ndege za UK, Germany, France na US, India kuspy anga la Gaza. Hazioni Missiles za Hezbullah, Al Houth, Iran na Hamasi ambazo ukubwa wake ni kuliko ndege za kivita na zingine majino ya tembo akaone tochi 😄

Jifurahishe tu ingekuwa ni Hezbullah ndio walizitumia wao kama unavyo dai na kile kiischana kilio kufa nacho ni Hezbullah hakifiki hata miaka 10.

Alio husika ni Hungary wala sio Myahudi kama mnavyo kuza hao Hungary walipo ona Taiwan kapata order ya pager 5000 wakajua wazi Hezbullah ndio katoa order, hawakujua wengi Lebanon wanatumia pager.

Mwambie basi azuie Missiles zisiruke si anauwezo huo unao sisimizi na tochi, kwanini wanakimbilia kwenye mashimo huko Tela Aviv mulize Nyau kalala wapi jana na leo.
 
Allah amewasaidia mayahudi , alafu wamelenga "pale kunako "ili jamaa wakienda kukabidhiwa ma-bikra zao 72 wakose kifanyio.
 
sio myahudi tu, hata TCRA ya kibongo tu hapa, ikitaka kukufuatilia, inajua upo morogoro, dsm na mtaa gani kutokana na minara, panapowaka na kama wanajua namba yako ndipo wanarusha bom. nimeamua kukufafanulia kirahisi hivi kwa mazingira ya bongo kwasababu akili yako ngumu kuelewa. kama hauamini, fanya kosa la kutisha hapa bongo, alafu endelea kutumia simu, afterall simu zimesajiliwa kwa nida. sembuse kwa myahudi ambaye tech ipo juu zaidi? ni elimu tu. nendeni shule.elimu dunia pia ni ya muhimu.
 
Nimekosea kutype sa kosa liko wapi 1940 na 1948 si hilo hilo group la 40 sio 50
Disregard variation ya 10 years, umefundishwa huko MADRASA na waarabu kuwa mwaka 1948 ndio ISRAEL iliundwa?
Kabla ya hapo hao wayahudi walikuwa ni watu wa nchiu gani ?
Walikuwa wanaishi wapi?
Kwanini walikwenda hapo?
Kabla yao walikuwa wanaishi akina nani?
 
History ipi unatoa kwenye Wikipedia, dunia nzima inajua wazi Israel kabla ya 1940 hakuna taifa linaitwa Israel 😄
Ni kweli kabisa kwamba kabla ya hapo (1948) Israel haikuwepo ila palikuwepo na Jamii ya Wayahudi ambao walikuja kuanzisha taifa lao.
Ikumbukwe, hapo yanaongelewa mataifa yaliyosajiliwa rasmi kama nchi na kutambuliwa na league of nations, kama ilivyokuwa kwa Israel kutokuwepo, Hata Palestina haikuwahi kuwepo.
 
Sawa tutaona mwambie basi America asimsaidie na hao Western kama atabaki hapa hata nusu siku. Anasaidiwa na America na Western na bado anaharisha.
Kwani unafikiri anamsaidia bure? Wewe unadhani Israel hana anachowasaidia? Kaangalie uwekezaji wa kiuchumi na kiteknolojisa, kijadusi n.k wanaoshirikiana. Ukiona anaingilia ujue hiyo ni sehemu ya malipo kwa mujibu wa mikataba yao.
 
wanaongea hivyo wakati palepale israel kuna kaburi la Daudi mfalme wa Israel, Mji wa Yerusalem uliojengwa na Daudi na waisrael, kaburi la Absalom mtoto wa Daudi Mfalme wa Israel, Nazareth alipoishi Yesu, Bethlehem alipozaliwa Yesu n.k.

upande wa pili, hakuna hata kaburi la kuazima tu la mfalme yeyote wa kipalestina, rais au malkia. kwasababu hapajawahi kuwepo nchi inaitwa palestina, jina hilo lilikuwa protectorate ya Waingereza ambao walitawala lile eneo baada ya ottoman empire. na wakati huo waisrael walikuwepo kama raia huku waarabu wahamiaji toka misri na kwengine wakiwepo pia na ndio wanaoitwa wapalestina.
 
Kuna tofouti hapo wewe unapo tumia mobile lazima wachukue details zako ndio wanakujua wewe nani, bwege wewe. Nikanunue simu nisitumie nisiweke simcard/au hutumii Wi Fi watanijua nipo wapi? Kwani mitambo ya simu ni mali zao hao. Wanacho fanya ikiwa wakisha pata details zako kamili na hapo lazima shirika la simu liwe limehusika kutoa data zako. Hivi hivi ni uharo mtupu. Wewe ndio nenda shule ukosome

Wewe kanunue simu iweke tu usitumue watakuona wapi, akili zingine noma sana. Hivi kichwani pako salama kweli.
 
Unakuta Mpalestina anadai kwamba pale Judea ni ardhi yao. Jina tu ni Judea inamaana Wapalestina wamekuwa Wayahudi kwa mujibi wa jina Judea
 
Mkuu, nlikuwa nampelekea moto taratibu mpaka aiskilizie tumboni, aah sasa ushampa majibu.
 
Huna akili wewe,umekaririshwa haya matakataka na wewe ukameza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…