Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kashindwa vita halafu anakalia maeneo ya aliyeshinda kwa mabavu na kujenga nyumba za settlers. Unamaanisha nini sasa hapo?Au kuchanganyikiwa?Israel kashindwa vita ila maeneo yote ya west bank mpaka sahivi anayakalia kimabavu na anazidi kujenga nyumba za walowezi
Israel kashindwa vita ila huwezi ingia msikiti wa al aqsa bila ruhusa yake
Ilileta madhara gnHuyo anasaidiwa na wanafiki kule Lebanon ndio wanampa infomation, hakuweza kuiona Hypersonic ya Yemen imetembea 2040 km, anatafuta tension tu aonekane bado yupo yupo kisha aibishwa na Yemen.
Hao kuukubali ukweli ni hadi wavunjike shingo.Ilileta madhara gn
Wamekufa vijana wa Hezbullah wawili na kuna msichana mdogo, wengi walizitupa hizo pager zilipo pata moto vijana wa Hezbullah.
View: https://youtu.be/KsbR3Nb2Alg?si=Avw_2Jq7TFETGA4i
Sasa hapa tunaizungumzia Tanzania au Israel dhidi ya Yemen ? Wakati kakombola cha Yemen kamekufanya ujinyee, wenzako Yemen wanastaajabu simu zimekuwa silaa zimeumiza watu, wewe unashangaa kombola la Yemen.Kama halikushangazi we Tanzania unalo? Tuache kuwa hujui kutengeneza hata la kununua tu.
Haya kakojowe ulale maana naona hata huelewi unachoongeaSasa hapa tunaizungumzia Tanzania au Israel dhidi ya Yemen ? Wakati kakombola cha Yemen kamekufanya ujinyee, wenzako Yemen wanastaajabu simu zimekuwa silaa zimeumiza watu, wewe unashangaa kombola la Yemen.
Sawa tutaona kama watu watatumia tena technology za US si wao wenyewe ndio wanajidhuru hapo. Kuhusu Hezbullah jibu halita chelewa.
A bigger kipigo chaja, msianze kulia lia. Na hamshindi ng'o mpaka wale waislam waliowanyofu ktk mioyo yao watakaposituka na kujitoa kwa AllSawa tutaona kama watu watatumia tena technology za US si wao wenyewe ndio wanajidhuru hapo. Kuhusu Hezbullah jibu halita chelewa.
Umesema vyemaNi US anafanya afu Israel anajisifia ni yeye kafanya, kama ile yakupiga Yemen π Any way ni vijana wawili wa Hezbullah ndio walio kufa wengine walizitupa hizo pager walipo ona zimechemka.
We tulizsns msije kulalamika mpa UN mmeuliwa civilian wenuA bigger kipigo chaja, msianze kulia lia. Na hamshindi ng'o mpaka wale waislam waliowanyofu ktk mioyo yao watakaposituka na kujitoa kwa All
Mbona unajifariji sana mkuuNi US anafanya afu Israel anajisifia ni yeye kafanya, kama ile yakupiga Yemen π Any way ni vijana wawili wa Hezbullah ndio walio kufa wengine walizitupa hizo pager walipo ona zimechemka.
Imechoma misitu ππIlileta madhara gn
Wewe mwenyewe unatumia technology ya US kubwabwaja humu JFππSawa tutaona kama watu watatumia tena technology za US si wao wenyewe ndio wanajidhuru hapo. Kuhusu Hezbullah jibu halita chelewa.
Kama kawaida yao wataishia kuchoma misituSawa tutaona kama watu watatumia tena technology za US si wao wenyewe ndio wanajidhuru hapo. Kuhusu Hezbullah jibu halita chelewa.
huwezi mkimbia mzayuni ww kama ww ulivo na itikadi siku ukiwa threat utauliwa kama mbwaKwa maana hiyo siku hizi tuwache kutumia bidhaa zenye mafungamano na Israel. Kama hatuwezi kutengeneza wenyewe basi tuhamie korea kaskazini,Urusi na Iran.
Yes... This means Israel wanataka Hezbollah waanze kutumia simu za kisasa ambazo ni Rahisi kuzihack.