Hapa ndio Mwanga Kaskazini mkoani Kigoma

hii nchi inawatu wa hovyo sana,kumbe Kigoma iko vizuri namna hii na hamsemi,mmekazania kuitajataja Dodoma wee wakati Dodoma ni vumbi tupu!
 
Sasa unabishia tafiti!!!
Endelea kupiga kampeni upate maji




Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu shukrani sana kwa ufafanuzi huu murua kabisa[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Unahisi hii mada ina justify kutokuwepo warundi na wakongo Kigoma? Unahisi hii mada ina justify uhalali wa wewe kupinga tafiti?
 
Jiji la Kigoma
 
Kazura Mimba kwa kina Mwijaku sijasikia mbona
 
Wadada wa kigoma wamejaaliwa ngozi nzuri na nywele nzuri, sema tu wakapewa ufupi.
 
huko kote napajua vizuri sana ila mpaka wa Kigoma unao pakakana na nchi za Burundi na Kongo unaongoza kupitisha wahamiaji haramu zaidi na wengi wao wanaishi Kigoma bila kuwa na vibali.
Ukienda kibirizi utakutana na wavuvi wa kikongo kibao wanaishi hapo, waendesha bajaji wengi ni warundi, wakulima wa mashamba wengi ni warundi wote hao wanaishi kinyume kabisa.
 
Daah Kigoma bado sana labda fukwe za ziwa victoria na Gombe pekee.
Miji yao kuanzia kigoma mjini na wilaya zake hakuna mvuto kabisa.
Uvinza, Kasulu nk hakuna mvuto kabisa


Mvuto wa nini, wewe unataka Kigoma iwe na mvuto kama demu??!😏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…