Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

Pata elimu kuhusu kaaba, katika uislamu hakuna anayeabudiwa isipokuwa mungu mmoja na tunaamini mafundisho ya mitume yote iliyotumwa na mungu kwa vitendo
Nimekuonyesha mwanzo yesu alikuwa akisali kwa kusujudu vipi nyie nini kinawafanya msimsujudie mungu ? Ina maana hamfuati mafundisho ya yesu ,mzungu anawapotosha ,imefikia wakati hadi anawaambia muoane jinsia moja kweli japo kuna dini?
Huna elimu ya kaaba kunizidi,

Nenda kajifunze asili yake kisha urudi hapa,ukatae tena waislam hawasujudu kaaba,maa hutumii akili.
 
Yuko sahihi, hawasujudii kaaba, bai wanamsujudia Mungu wakiwawameekekea liliko kaaba. Tatizo lako wewe ni kafiri ndio maana hutaki kuelewa.
Lile jiwe ndio Allah kumbe🤔
 
Uislam haujaanza kwa Muhammad s.a.w umeanza kwa Adam na mitume wote walikuja kueneza imani moja ya Allah pamoja na ujumbe maalum wa kuacha mabaya waliyokua wakiyafanya na kuhimizwa kufanya mambo mema, na ndiyo maana siyo Abraham pekee hata yesu ni muislam pure, ila nyie ndo hamtaki sijui ni wa wapi 😁😁😁😁😁
Porojo.Petro alikuwa muislam?Vipi Yohane mtume?
 
Niwe kafiri jama wewe ili niende motoni?
Wakorintho wa 1. 15:18, inasema wazi
18 Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea.
hiyo sio hasara yangu,mimi kazi yangu ni kukuonyesha njia sahihi,wanasema ni jambo jepesi kupeleka punda mtoni,ila kuilazimisha kunywa maji ni jambo jingine😅😅😅
 
  • Thanks
Reactions: 511
Huna elimu ya kaaba kunizidi,

Nenda kajifunze asili yake kisha urudi hapa,ukatae tena waislam hawasujudu kaaba,maa hutumii akili.
waislamu tunasali kama alivyosali yesu kwa kusujudu na hapo maka pia huwa tuna sali sasa kwa nini hautaki tusujudu? Mungu lazima asujudiwe hata huyo yesu unayemwita mungu alikuwa akisujudu kwa mungu wake siyo wewe unayoenda kanisani kuimba
 
Ubishi wako hauna cha kufanya na hilo jambo.
Usihamie kwa ibrahim maana kiasili wayahudi wote yule ni baba yao kikabila na hata kiimani,wachana na Muhammad tapeli huyo kaja kukuharibu akili miaka 4600 baadae.

SIsi wakristo tuna akili hatuzolewi kama mifugo,tunajua Yesu hakuaa mkristo sisi tulio wake ndio wakristo,sasa wewe unaambiwa Muhammad ndio muislam wa kwanza halafu unasema na ibrahim alikuaa muislam!!!😄😄
Sikia we kafiri. Ili uwe muislamu ni lazima uamini vitabu vya Mungu na Mitume wa Mungu pia waislamu tunamuamini Yesu kua ni Mtume wa Mungu, ni mtoto wa kiume wa bikira Mariyam na ametahiriwa nangariba kama nilivyo tahiriwa mimi. Wewe una shida gani na uislamu?
 
Sikia we kafiri. Ili uwe muislamu ni lazima uamini vitabu vya Mungu na Mitume wa Mungu pia waislamu tunamuamini Yesu kua ni Mtume wa Mungu, ni mtoto wa kiume wa bikira Mariyam na ametahiriwa nangariba kama nilivyo tahiriwa mimi. Wewe una shida gani na uislamu?
SIna shida na uislam,nina shida na upumbavu wa waislam,nashangaa mtu timamu anakuwaje muislam,hivyo tu yaani.
 
waislamu tunasali kama alivyosali yesu kwa kusujudu na hapo maka pia huwa tuna sali sasa kwa nini hautaki tusujudu? Mungu lazima asujudiwe hata huyo yesu unayemwita mungu alikuwa akisujudu kwa mungu wake siyo wewe unayoenda kanisani kuimba
Sina shida na Mungu kusujudiwa,nina shida na kaaba kusujudiwa halafu mtu na miraba minne kukataa kwamba kinachosujudiwa sio kaaba ni Mungu.
Sisi sio wapumbavu kaka.
 
waislamu tunasali kama alivyosali yesu kwa kusujudu na hapo maka pia huwa tuna sali sasa kwa nini hautaki tusujudu? Mungu lazima asujudiwe hata huyo yesu unayemwita mungu alikuwa akisujudu kwa mungu wake siyo wewe unayoenda kanisani kuimba
Mbona wakristo pia wanasujudu
 
Sina shida na Mungu kusujudiwa,nina shida na kaaba kusujudiwa halafu mtu na miraba minne kukataa kwamba kinachosujudiwa sio kaaba ni Mungu.
Sisi sio wapumbavu kaka.
MUislamu ana sali popote na tunamsujudi mwenyezi mungu muumba mbingu na ardhi na kila kitu, kama wewe unalazimisha tunasujudia kaaba hayo ni ya kwako , ila waislamu wote dunia nzima tunamsujudia mungu mmoja ambae hana mshirika
 
Mpaka shetani ni muislam😁😁
Mambo ya Nyakati wa 2, 18:18-21, inasema
18 Mikaya akasema, Sikieni basi neno la Bwana; Nalimwona Bwana ameketi katika kiti chake cha enzi na jeshi lote la mbinguni wamesimama mkono wake wa kuume na wa kushoto.

19 Bwana akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu mfalme wa Israeli, ili akwee Ramoth-gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi.

20 Akatoka pepo, akasimama mbele za Bwana, akasema, Mimi nitamdanganya. Bwana akamwambia, Jinsi gani?

21 Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo vinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka, ukafanye hivyo.
Hawa waliokuwa na Bwana wako nai walikua dini gani?
 
Wa orthodox wanasujudu japo ni wakatoliki
Hao sasa ndio wakristo wanaofuata bible wengi wanapotoshwa na wazungu ambao hawataki hata kuisikia dini wanajaribu kuficha ukweli wote kwa maslahi ya kidunia
 
MUislamu ana sali popote na tunamsujudi mwenyezi mungu muumba mbingu na ardhi na kila kitu, kama wewe unalazimisha tunasujudia kaaba hayo ni ya kwako , ila waislamu wote dunia nzima tunamsujudia mungu mmoja ambae hana mshirika
MUngu mwenyezi,hana mshirika ila Allah anaye ni kaaba na Muhammad.
 
Hao sasa ndio wakristo wanaofuata bible wengi wanapotoshwa na wazungu ambao hawataki hata kuisikia dini wanajaribu kuficha ukweli wote kwa maslahi ya kidunia
Wazungu nao ni wapokeaji tu,walioanzisha ukristo sio wazungu.
 
Back
Top Bottom