Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

Mambo ya Nyakati wa 2, 18:18-21, inasema
18 Mikaya akasema, Sikieni basi neno la Bwana; Nalimwona Bwana ameketi katika kiti chake cha enzi na jeshi lote la mbinguni wamesimama mkono wake wa kuume na wa kushoto.

19 Bwana akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu mfalme wa Israeli, ili akwee Ramoth-gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi.

20 Akatoka pepo, akasimama mbele za Bwana, akasema, Mimi nitamdanganya. Bwana akamwambia, Jinsi gani?

21 Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo vinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka, ukafanye hivyo.
Hawa waliokuwa na Bwana wako nai walikua dini gani?

Ni wazi hapa mikaya anamfafanulia mfalme juu ya tabiri zote za uongo kutoka kwa manabii 4000,kwamba zinatoka kinywani mwa manabii ambao wamejazwa uongo na pepo,isipokuwa anachomwambia yeye ndio uhalisia wenyewe.

Biblia ni kitabu kizuri sana ila soma kwa utulivu usiresite(kariri)kama kasuku,utauona ukuu wa yaliyomo humo.
 
Acha uongo kwenye hiyo video hakuna sehemu aliyosema Ibrahim alikuwa muisrael,, bali ni muhamiaji tu kutoka uru ya wakaldayo (Iraq ya sasa)
 
SIna shida na uislam,nina shida na upumbavu wa waislam,nashangaa mtu timamu anakuwaje muislam,hivyo tu yaani.
BASI NAKUTOA MASHAKA NA UISLAMU.
AYUBU, 4:5-6 Inasema...
5 Lakini sasa haya yamekufikilia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.

6 Je! Dini yako siyo mataraja yako, Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?

3:19, QUR-AN. DINI YA MUNGU NII HII, WEWE KAFIRI FUATA YA KWAKO MWENYEWE...

19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

QUR-AN 43:68-70. Matarajio ya Waidslamu ni kwenda PEPONI Wewe baki na wivu wako...

68. Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika.

69. Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu.

70. Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu; mtafurahishwa humo.

Sasa wewe kama una dini basi lete andiko kama dini yako itakupeleka peponi.
 
Ni wazi hapa mikaya anamfafanulia mfalme juu ya tabiri zote za uongo kutoka kwa manabii 4000,kwamba zinatoka kinywani mwa manabii ambao wamejazwa uongo na pepo,isipokuwa anachomwambia yeye ndio uhalisia wenyewe.

Biblia ni kitabu kizuri sana ila soma kwa utulivu usiresite(kariri)kama kasuku,utauona ukuu wa yaliyomo humo.
Ninaifahamu bibilia viziri, kwanza unatakiwa uekewe kwamba Bibilia sio kitabu cha Mungu. Yesu alifunuliwa INJILI na sio bibili, hakuna mtume/nabii yeyote duniani alifunuliwa bibilia
2) Katika bibilia kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo, hata hilo neno tu "BIBILIA" halimo.
3) Ktk bibilia pia hakuna hata neno UKRISTO.
KTK bibilia kuna BAADHI ya maneno matakatifu ya Mungu na BAADHI ni maneno ya watu. Mfano wa maneno ya Mungu (YOHANA, 8:40) na ya watu (LUKA 1:1)
 
BASI NAKUTOA MASHAKA NA UISLAMU.
AYUBU, 4:5-6 Inasema...
5 Lakini sasa haya yamekufikilia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.

6 Je! Dini yako siyo mataraja yako, Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?

3:19, QUR-AN. DINI YA MUNGU NII HII, WEWE KAFIRI FUATA YA KWAKO MWENYEWE...
Mungu hana dini wewe mobaz,hiyo ni dini ya Allah na mtume.
19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

QUR-AN 43:68-70. Matarajio ya Waidslamu ni kwenda PEPONI Wewe baki na wivu wako...
Muhammad mwenyewe hajui hatma yake,ndio kiongozi wa mfano ktk uislam😄
68. Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika.

69. Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu.

70. Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu; mtafurahishwa humo.
Sasa wewe kama una dini basi lete andiko kama dini yako itakupeleka peponi.
kwahiyo wewe umeamini uislam sababu quran imejiandika ndil dini ya kukupeleka peponi😁
kobaz jau sana.
 
Nimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo anasema Ibrahimu alikuwa Muisrael, na kizazi chake ndio cha Wayahudi. Sasa mimi najiuliza Ibrahim anakuwaje Muislamu na Hekalu linakuwaje la Waislamu.

Hilo Hekalu la Suleiman sio mali waislamu. Uislamu umekuja baadae sana karne ya 7 baada ya Kristo. Unasemaje kwamba HEKALU ni mali ya uislamu wakati uislam umeletwa na Mtume Mohamad baadae kabisa baada ya Yesu kufa ambapo miaka yote hiyo Hekalu lilikuwepo.

Anasema tena eti Ibrahim alikuwa ni Muislamu, kivipi wakati Uislam umeletwa na Mohamad karne ya 7 baada ya YESU.



View: https://youtu.be/VsDUEU09gkQ?si=rU1ddqIHlxXkN7Dq


Hapa ndipo Uislamu siuelewagi kabisa, yani umekuja badae alafu unalazamisha kwamba ulikuwepo toka mwanzo.

Basi hekalu ni la wakristo 😃
 
Ubishi wako hauna cha kufanya na hilo jambo.
Usihamie kwa ibrahim maana kiasili wayahudi wote yule ni baba yao kikabila na hata kiimani,wachana na Muhammad tapeli huyo kaja kukuharibu akili miaka 4600 baadae.

SIsi wakristo tuna akili hatuzolewi kama mifugo,tunajua Yesu hakuaa mkristo sisi tulio wake ndio wakristo,sasa wewe unaambiwa Muhammad ndio muislam wa kwanza halafu unasema na ibrahim alikuaa muislam!!!😄😄
Tatizo lako wewe hauna elimu juu ya imani yako nwenyewe, ndio maana una chuki dhidi ya waislamu wenye dini ya kweli mbele ya Mungu.
QUR-AN, 3:67
67. Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
Kuwa na chuki dhidi ya waislamu hakuta kusaidia chochote ktk maisha yako.
Kamaunahitaji elimu juu ya ibada ya HIJA sema uelimishwe juu ya hiyo ibada.
Kama kuhusu kusujudu basi elewa kuwa waislamu popote duniani, wanamsujudia Mungu, wakielekea uelekeo mmoja wakielekea iliko AL-KAABA, kwajina jengine tukiwa nje ya Makka tunaita KASKSZINI.
USIWE KTK WENYE KUPOTOSHA.
 
Ninaifahamu bibilia viziri, kwanza unatakiwa uekewe kwamba Bibilia sio kitabu cha Mungu. Yesu alifunuliwa INJILI na sio bibili, hakuna mtume/nabii yeyote duniani alifunuliwa bibilia
Unaifahamu biblia vizuri na hujui biblia ni nini😆😆😆,yaani huu utangulizi tu ni ishara kwamba wewe ni kibungo ktk biblia.
2) Katika bibilia kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo, hata hilo neno tu "BIBILIA" halimo.
Haliwezi likawemo sababu kilichomo ndani ya biblia sio biblia,sawa kobaz???
ndani ya biblia kuna torat,zaburi,injili.
Umeelewa sasa kobaz??
3) Ktk bibilia pia hakuna hata neno UKRISTO.
Ukristo umekuja baada ya content zinazoifanya biblia kuwepo tayari,inatakiaa ujifunze zaidi ili ujue namna ya kujenga hoja.
KTK bibilia kuna BAADHI ya maneno matakatifu ya Mungu na BAADHI ni maneno ya watu. Mfano wa maneno ya Mungu (YOHANA, 8:40) na ya watu (LUKA 1:1)
Quran inasemaje kuhusu maneno ya Mungu??
Je yanaweza kuchanganyaa,kubadilishwa ama kufutwa??au huu ni msimamo wako binafsi??
 
Mungu hana dini wewe mobaz,hiyo ni dini ya Allah na mtume.

Muhammad mwenyewe hajui hatma yake,ndio kiongozi wa mfano ktk uislam😄


kwahiyo wewe umeamini uislam sababu quran imejiandika ndil dini ya kukupeleka peponi😁
kobaz jau sana.
Nini maana ya ALKAH?
WEWE DINI YAKO INAKUPELEKA WAPI, MBONA HUSEMI?
 
Tatizo lako wewe hauna elimu juu ya imani yako nwenyewe, ndio maana una chuki dhidi ya waislamu wenye dini ya kweli mbele ya Mungu.
Yeyote anayechambua uislam huchukuliwa ni mwenye kuuchukia,hata anaweza kuuawa.
Huu ndio ufanano wa akili za mbu,i na za muislam yeyote,hawajui kutofautisha mtu anayechambua kitu na anyekichukia.
QUR-AN, 3:67
67. Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
Kuwa na chuki dhidi ya waislamu hakuta kusaidia chochote ktk maisha yako.
ibrahim hakuwa mkristo sababu alikuwepo miaka 4000 kabla ya ukristo ila ni myahudi,tafadhali behave kama mtu aliyetafiti kidogo usiwe kiazi kama mtume na Allah,walishindwa hata kujua kwam a ukristo ni mchanga kuliko ibrahim.
Kamaunahitaji elimu juu ya ibada ya HIJA sema uelimishwe juu ya hiyo ibada.
wewe kiazi unielimishe hija mimi🤣🤣🤣,
Kama kuhusu kusujudu basi elewa kuwa waislamu popote duniani, wanamsujudia Mungu, wakielekea uelekeo mmoja wakielekea iliko AL-KAABA, kwajina jengine tukiwa nje ya Makka tunaita KASKSZINI.
USIWE KTK WENYE KUPOTOSHA.
Namimi ndivyo nilivyosema,kwamba unasujudia ALLAh ambahe yuko ktk kaaba.
 
Nini maana ya ALKAH?
WEWE DINI YAKO INAKUPELEKA WAPI, MBONA HUSEMI?
Mimi dini yangu itanipeleka alipo Yesu kwa sasa,huko hayuko Allah wala mtume.

Na atakuja kunifata siku ile,na lazima na Muhammad afufuke ajibu kwanini kaharibu watu kiasi hiki.
 
Yesu analalamika juu ya wachungaji wenu wanawapotezeni.
(50:6 Yeremiah)
Sasa shida iko wapi😁😁.

Hapa math 24:11
Anatuonya kuhusu watu kama Muhammad pia,sisi tunajua kila kitu.
 
Mimi dini yangu itanipeleka alipo Yesu kwa sasa,huko hayuko Allah wala mtume.

Na atakuja kunifata siku ile,na lazima na Muhammad afufuke ajibu kwanini kaharibu watu kiasi hiki.
Huyo Yesu unaye mtegemea yeye mwenyewe anaenda Motoni kwa mujibu wa ninilia yako. (WAGALATIA 3:13) Kweli wachungaji wamekupoteza. Ulisikia wapi aliye laaniwa na Mungu anaenda uzima wa milele?
Muislamu kufa sio ishu, maana ili uingie peponi lazima ufe kwanza. Ila peooni haingii kafiri.
 
Huyo Yesu unaye mtegemea yeye mwenyewe anaenda Motoni kwa mujibu wa ninilia yako.
Ni swala la kuelewa tu,najua unapata shida ntakuelewesha taratibu utaelewa.
(WAGALATIA 3:13) Kweli wachungaji wamekupoteza. Ulisikia wapi aliye laaniwa na Mungu anaenda uzima wa milele?
Yesu ni mkuu kuliko hiyo kuzimu.
Muislamu kufa sio ishu, maana ili uingie peponi lazima ufe kwanza. Ila peooni haingii kafiri.
Pepo ambayo mtume haijui na hana uhakika nayo,na ndiye alikuletea quran yenye muongozo na kisha akawa muislam wa mfano😁😁

Hivi ujasiri unautoa wapi??
 
Sasa shida iko wapi😁😁.

Hapa math 24:11
Anatuonya kuhusu watu kama Muhammad pia,sisi tunajua kila kitu.
Kama unajua kila kitu basi wewe ndo mungu mwenyewe maana Yesu yeye hajui kila kitu, wewe umemzidi hadi Yesu. Uko vizuri.
(Mathsyo 24:36) inathibitisha kua Yesu hajui kila kitu.
Wewe ni mzushi, na bibilia yako imenikataza kujibizana na mtu mzushi. (TITO,3:9-10) inaniamuru nikujatae, kwani wewe ni MUWONGO TENA UMEPOTOKA.
 
Kama unajua kila kitu basi wewe ndo mungu mwenyewe maana Yesu yeye hajui kila kitu, wewe umemzidi hadi Yesu. Uko vizuri.
(Mathsyo 24:36) inathibitisha kua Yesu hajui kila kitu.
Wewe ni mzushi, na bibilia yako imenikataza kujibizana na mtu mzushi. (TITO,3:9-10) inaniamuru nikujatae, kwani wewe ni MUWONGO TENA UMEPOTOKA.
Kwani Allah anajua kila kitu??😅😅😅.

Imagine tu anadhani sisi wakristo tunamwabudu mariam🤣🤣🤣,farasi sana.
 
Kwani Allah anajua kila kitu??😅😅😅.

Imagine tu anadhani sisi wakristo tunamwabudu mariam🤣🤣🤣,farasi sana.
WEWE NI MZUSHI. YESU KASEA HAKUA AJUAYE SIKU WALA SAA, WEWE UNAJUA KILA KITU, WEWE NI MZUSHI TENA UMEPOTOKA.

(TITO, 3:10-11)
10 Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae;

11 ukijua ya kuwa mtu kama huyo amepotoka, tena atenda dhambi, maana amejihukumu hatia yeye mwenyewe.

NINAKUKATAA KWA AMRI YA MUNGU KAMA ISEMAVYO BIBILIA.
 
Kwani Allah anajua kila kitu??😅😅😅.

64:4, QUR-AN
4, Anajua viliomo katika mbingu na ardhi, na anajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa yaliomo vifuani
 
WEWE NI MZUSHI. YESU KASEA HAKUA AJUAYE SIKU WALA SAA, WEWE UNAJUA KILA KITU, WEWE NI MZUSHI TENA UMEPOTOKA.

(TITO, 3:10-11)
10 Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae;

11 ukijua ya kuwa mtu kama huyo amepotoka, tena atenda dhambi, maana amejihukumu hatia yeye mwenyewe.

NINAKUKATAA KWA AMRI YA MUNGU KAMA ISEMAVYO BIBILIA.
Yesu alijibu hivyo na akataja dalili za siku hiyo,unaamini alikuwa hajui??

Huyu hapa ni Allah mwenyewe Quran 5:116-117

haujui msimamo wa imani ya kikristo nakuonyesha unasema mimi mzushi😁😁
 
Back
Top Bottom