stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Waislam wanasema Adam ndio aliweka msingi wa KaabaUislam haujaanza kwa Muhammad s.a.w umeanza kwa Adam na mitume wote walikuja kueneza imani moja ya Allah pamoja na ujumbe maalum wa kuacha mabaya waliyokua wakiyafanya na kuhimizwa kufanya mambo mema, na ndiyo maana siyo Abraham pekee hata yesu ni muislam pure, ila nyie ndo hamtaki sijui ni wa wapi πππππ
Sipingi dini yao ila mimi nilichanganywa zaidi kuwa Ishmaeli ndo alikua anataka kuchinjwa/kutolewa sadaka na sio Isaka.Yani wananichanganya kabisa kusema Ibrahim alikuwa muislam na YESU alikuwa muislam.... Wakati uislam umekuja juzi juzi tu hapo
Kaisoma na Qur'an. Maida 5:82 utapata uelewa mpana.surah al baqarah 2:62
Nipe ufahamu juu ya ihyo surah Al baqarah.
Eti Mungu alimwambia Ibrahim wewe ndio msiri wangu, ila Waislam π π π π πNimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo anasema Ibrahimu alikuwa Muisrael, na kizazi chake ndio cha Wayahudi. Sasa mimi najiuliza Ibrahim anakuwaje Muislamu na Hekalu linakuwaje la Waislamu.
Hilo Hekalu la Suleiman sio mali waislamu. Uislamu umekuja baadae sana karne ya 7 baada ya Kristo. Unasemaje kwamba HEKALU ni mali ya uislamu wakati uislam umeletwa na Mtume Mohamad baadae kabisa baada ya Yesu kufa ambapo miaka yote hiyo Hekalu lilikuwepo.
Anasema tena eti Ibrahim alikuwa ni Muislamu, kivipi wakati Uislam umeletwa na Mohamad karne ya 7 baada ya YESU.
View: https://youtu.be/VsDUEU09gkQ?si=rU1ddqIHlxXkN7Dq
Hapa ndipo Uislamu siuelewagi kabisa, yani umekuja badae alafu unalazamisha kwamba ulikuwepo toka mwanzo.
Ibrahim alikuwa mkurdi siyo muisraeli.Nimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo anasema Ibrahimu alikuwa Muisrael, na kizazi chake ndio cha Wayahudi. Sasa mimi najiuliza Ibrahim anakuwaje Muislamu na Hekalu linakuwaje la Waislamu.
Hilo Hekalu la Suleiman sio mali waislamu. Uislamu umekuja baadae sana karne ya 7 baada ya Kristo. Unasemaje kwamba HEKALU ni mali ya uislamu wakati uislam umeletwa na Mtume Mohamad baadae kabisa baada ya Yesu kufa ambapo miaka yote hiyo Hekalu lilikuwepo.
Anasema tena eti Ibrahim alikuwa ni Muislamu, kivipi wakati Uislam umeletwa na Mohamad karne ya 7 baada ya YESU.
View: https://youtu.be/VsDUEU09gkQ?si=rU1ddqIHlxXkN7Dq
Hapa ndipo Uislamu siuelewagi kabisa, yani umekuja badae alafu unalazamisha kwamba ulikuwepo toka mwanzo.
Hii inaelezea upande wa pili wa uhasama juu ya Jews. Surah abaqarah 2:62 mbona hujanijibiaKaisoma na Qur'an. Maida 5:82 utapata uelewa mpana.
Kaziunganishe sasa hizo aa mbili uzisome kwa pamoja.Hii inaelezea upande wa pili wa uhasama juu ya Jews. Surah abaqarah 2:62 mbona hujanijibia
FaizaFox nakuhurumia sana.Wake up,Mohamed amewadanya sana.Actually aliyemtokea Mohamed kwenye pango sio MUNGU,it is Satan himself,remember what the so called Angel Gabriel did to him in the cave?A messenger of a true God can't do that.Nitajaribu kukusaidia with more information,may at a point utafunguka.Tatizo lako badala ya kuisoma Qur'an uujuwe Uislam unaanza kufata porojo za kwenye miuandao.
Mbina sisi tunaisoma biblia ili tusidanganyike, na tukishaisoa tunawafundisha wakristo, ka maana tunauhakika hawaisomi ipsavyo.
Wewe wachana na mimi binfasi, pambana na hoja zangu. Sipo kufurahisha au kufurahishwa na mtu. Nipo hapo kupata elimu na kuelimisha.FaizaFox nakuhurumia sana.Wake up,Mohamed amewadanya sana.Actually aliyemtokea Mohamed kwenye pango sio MUNGU,it is Satan himself,remember what the so called Angel Gabriel did to him in the cave?A messenger of a true God can't do that.Nitajaribu kukusaidia with more information,may at a point utafunguka.
View: https://youtube.com/shorts/eCo-Pwxtaf8?si=MFvyf5LXQmfbHddO
FaizaFox, I am addressing you in totality,that is your spirit and soul, na ni kweli hatugombani na sijagomba, ila I just want you to see the truth and work on it.Wewe wachana na mimi binfasi, pambana na hoja zangu. Sipo kufurahisha au kufurahishwa na mtu. Nipo hapo kupata elimu na kuelimisha.
Jifunze usilolijuwa na fundisha unalolijuwa, hakuna ugomvi hapa wala nani zaidi.
Wewe ndo hujielewi. Ndug Uislam haukuletwa na Muhammad (S.A.W), ukiambiwa Muhammad ni mtume wa mwisho maana walimtangulia wengime wengi, hata yeye akawa wa mwisho.Nimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo anasema Ibrahimu alikuwa Muisrael, na kizazi chake ndio cha Wayahudi. Sasa mimi najiuliza Ibrahim anakuwaje Muislamu na Hekalu linakuwaje la Waislamu.
Hilo Hekalu la Suleiman sio mali waislamu. Uislamu umekuja baadae sana karne ya 7 baada ya Kristo. Unasemaje kwamba HEKALU ni mali ya uislamu wakati uislam umeletwa na Mtume Mohamad baadae kabisa baada ya Yesu kufa ambapo miaka yote hiyo Hekalu lilikuwepo.
Anasema tena eti Ibrahim alikuwa ni Muislamu, kivipi wakati Uislam umeletwa na Mohamad karne ya 7 baada ya YESU.
View: https://youtu.be/VsDUEU09gkQ?si=rU1ddqIHlxXkN7Dq
Hapa ndipo Uislamu siuelewagi kabisa, yani umekuja badae alafu unalazamisha kwamba ulikuwepo toka mwanzo.
Ingekuwa kweli uislamu umeanza kitambo hicho,muhammad asingekuwa wa kwanza katika walio silimu.Kumbuka quran ilishushwa enzi za muhammad na kipindi hicho muhammad hakuwa muislamu bado mpaka aliposhushiwa quran..inakuwaje quran iliyokuja baadae na iliyoshushwa kwa mtu ambaye hakuwa muislamu iwatambue waliopita mbele yake ni waislamu?Uislam haujaanza kwa Muhammad s.a.w umeanza kwa Adam na mitume wote walikuja kueneza imani moja ya Allah pamoja na ujumbe maalum wa kuacha mabaya waliyokua wakiyafanya na kuhimizwa kufanya mambo mema, na ndiyo maana siyo Abraham pekee hata yesu ni muislam pure, ila nyie ndo hamtaki sijui ni wa wapi πππππ
Unafata kanisa humfati Yesu.Na kuna shekhe mmoja alinambia mtume/nabii Issa(Yesu) kama wanavomuita atarudi mara ya pili na lazima atarudi na wanaamini hakufa bali alitwaliwa.
Nikasema kumbe uislamu wanaamini Yesu atarudi mara ya pili..
Ndo hivo mikanganyiko ndo mambo ya kiimani.
Msingi wa uislam ni Quran je unahakika kulikuwa na Quran wakati wa Suleiman?Wanasema Islam maana yake "submission to God". So kwasababu Ibrahimu alimuabudu Mungu, alikuwa Muislamu.
Hata mwenyewe sielewi kabisa. Kuhusu hekalu la Sulemani, eneo lilichukuliwa baada ya vita vikali Kati ya Waislamu na Crusaders kuigombania Yerusalemu , wakashinda wakajenga msikiti pale. Kusema ni mali yao mi sioni shida ila shida inakuja maneno kama hekalu ilikuwa msikiti.
Hiyo umeitoa wapi?Ibrahim hakuwa myahudi Wala mkiristo, sababu uyahudi ni ubunifu wa Wana wa Israel baadae Sana baada ya Ibrahim na ukiristo ni kazi ya Paulo,Ibrahim Imani yake ilikua ni juu ya Mungu mmoja,asiyezaa Wala kuzaliwa na Wala kufanana na chochote,Mungu muumba wa kila kitu,ambayo ni Imani ya kiislam
Na kama hakikuwepo walikuwa wanatumia kitabu gani..na hiko kitabu kiko wapi sasa hivi.Pia kama hakipo ina maana Ibrahimu sio muislamu..maana ujio wa quran ndio alipatikana muislamu wa kwanza nabii MuhammadMsingi wa uislam ni Quran je unahakika kulikuwa na Quran wakati wa Suleiman?
Wanajiundia historia yao wenyewe na wanalazimisha watu waiaminiNimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo anasema Ibrahimu alikuwa Muisrael, na kizazi chake ndio cha Wayahudi. Sasa mimi najiuliza Ibrahim anakuwaje Muislamu na Hekalu linakuwaje la Waislamu.
Hilo Hekalu la Suleiman sio mali waislamu. Uislamu umekuja baadae sana karne ya 7 baada ya Kristo. Unasemaje kwamba HEKALU ni mali ya uislamu wakati uislam umeletwa na Mtume Mohamad baadae kabisa baada ya Yesu kufa ambapo miaka yote hiyo Hekalu lilikuwepo.
Anasema tena eti Ibrahim alikuwa ni Muislamu, kivipi wakati Uislam umeletwa na Mohamad karne ya 7 baada ya YESU.
View: https://youtu.be/VsDUEU09gkQ?si=rU1ddqIHlxXkN7Dq
Hapa ndipo Uislamu siuelewagi kabisa, yani umekuja badae alafu unalazamisha kwamba ulikuwepo toka mwanzo.
Kipedo alitoa wapi?Wanasema mpaka Adam ni mvaa kobasi