Mkuu mbona Uislam ni fix.Infact mimi nawashangaa sana Waislamu,because it is so clear.Yaani Shetani amewapumbaza na kuwapofusha kiasi kwamba hata uwape ukweli ulio wazi kiasi gani,hawazinduki.Look here,the Bible says kila amkanaye mwana hana Baba,so ni wazi hawana .
1 Yohana 2:23
23 Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia.
Na Katika Yohana 14:6 neno la Mungu linasema,
Yohana 14:6
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
So ni wazi kwamba Muislam asipogeuka,akatubu na kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi was maisha yake,jibu liko wazi,ni straight kwenye jehanamu ya moto,it is as plain as that.
Ishu ni kuwa Waarabu walijisikia vibaya sana walipo ona mitume wote ni Waisraeli.
Ukiisoma Qurani yote wahusika wote ni Wayahudi isipokuwa Muhammadi wakati imeandikwa Uarabuni Maka.
Muhamadi alipobashiriwa kuwa mtume na Padri Mwisraeli Mkatoriki Waraqa Bin Naufal, Waarabu walifurahi sana kupata mtume wa Kabila lao Mwarabu.
Wayahudi na Wakristo walipo enda Maka kuhakikisha kuwa Muhamadi ni mtume wa Mungu wao waliona kuwa hana sifa za kuwa Mtume.
Waarabu walimkubali tu Muhammadi bila ya kumhoji ili kumpima kama ni Mtume kamili au la, kwakuwa walichofurahi wao ni Kumpata mtume wa Kabila lao.
Hadi hii leo Uarabuni ukidiriki kumhoji Muhammadi adhabu yake ni Kifo tu.
Kiujumla Uislamu uligeuka kuwa Utamaduni wa mwarabu na ni marufuku kuukana wala kuhoji.
Ndio unaona kwenye Qurani Wayahudi na Wakristo wanatajwa kuwa ni maadui pekee wa Uislamu.
Ndio maana Magaidi wakigundua wewe ni Mkristo au Myahudi ni wa Kichinjwa tu.
Wa imani nyingine kama Wahindu na Wabudha, Freemasonry, Momonis nk, wao hawana madhara kwa uislamu na wanaheshimiwa katika Uislamu.
Hivyo Uislamu kuwa kama Utamaduni, basi Mwislamu yeyote analazimika kuutetea kwa hali na mali, kwa ukweli na uwongo, kwa zawadi au kwa kutoa roho ya mtu.
Kuuhama uislamu adhabu yake ni Kifo tu.
Ndio maana unawaona hivyo, wanalazimika kuwa hivyo.