Hapa ndipo inapotoka nguvu ya Kanisa Katoliki

Hapa ndipo inapotoka nguvu ya Kanisa Katoliki

Kumbe wakatoliki walishawahi kuvamia sehemu na wakaiba, kweli mkataa asili ni mtumwa
Kanisa ni taasisi ya Mungu, hivyo tumia lugha ya staha na heshima, usiseme kuiba, itaonekana ni wezi, tumia neno loot, hata Mungu ameruhusu.

Ile siku Waisraeli wanaondoka utumwani Misri, kila mtu aliagizwa kuazima dhahabu na vito vya thamani vya jirani yake kwa ahadi ya kwenda kuabudia tuu na baada ya ibada watarudisha!, kumbe ndio kimoja!, kufika asubuhi, jamaa hawapo, wame yeye!. Ndipo Pharao akachukua farasi na majeshi yake kuwafuata, wakawakuta wanavuka bahari ya Sham, huku maji yamesimama!. Majeshi yalipoingia baharini kuwafuata, yale maji yakarudi na kuwaangamiza wote!.

P
 
Kanisa ni taasisi ya Mungu, hivyo tumia lugha ya staha na heshima, usiseme kuiba, itaonekana ni wezi, tumia neno loot, hata Mungu ameruhusu.

Ile siku Waisraeli wanaondoka utumwani Misri, kila mtu aliagizwa kuazima dhahabu na vito vya thamani vya jirani yake kwa ahadi ya kwenda kuabudia tuu na baada ya ibada watarudisha!, kumbe ndio kimoja!, kufika asubuhi, jamaa hawapo, wame yeye!. Ndipo Pharao akachukua farasi na majeshi yake kuwafuata, wakawakuta wanavuka bahari ya Sham, huku maji yamesimama!. Majeshi yalipoingia baharini kuwafuata, yale maji yakarudi na kuwaangamiza wote!.

P
We pascali acha kuremba tukio, haya wali loot, ila ukweli unajulikana walifanya tukio gani
 
Yaani Bandari zote zinamilikishwa kwa kampuni moja tena ya jamii fulani.
Na viongozi wetu wanakubali kirahisi tu kwa ndelemo na kicheko. Hivi wanajitambua kweli.

Jamii ambayo miaka ya nyuma ilimiliki baadhi ya maeneo na kuyadunisha katika hali ya kutisha.
Na wakatimuliwa kwa kumwaga damu za Watanzania.
Leo mapenzi ya ghafla yametokea wapi?
Mbona sisi hatuna taarifa ya huu Uswahiba Jadidi.


Bandari zote za nchi za Bahari, Maziwa na Mito anamilikishwa jamii flani mmoja na watu wamekaa pale wanachekelea.

Tena anamilikishwa bila ukomo halafu kundi fulani linaloaminiwa na watu linahalarisha kwa Shangwe kabisa.

Na viongozi tuliowapa dhamana ya kuilinda jamii yetu na raslimali zake wanatia saini mkataba kama huu kwa ushawishi gani?
Wa Dola ngapi ?

Mi nadhani kuna ajenda ya siri hapa.

Hivi kiongozi kukabidhi mamlaka yako kwa watu fulani inakufalia nini?

Umekosa nini hadi uthubutu kufanya hivyo kwa jamii yako. Mapenzi yalitoka lini na kwanini.
Je unamwamini sana Mwarabu kuliko watu wako waliokuchagua?

Ndio Makubaliano ya aina gani hayo?

Ndugai aliliongea hili akaonekana ni msaliti.
Hapa Nchi ishauzwa tayari.

Halafu inatokea jamii inapinga tamko la Kanisa Kanisa katoriki. Inamaana inaafiki malango ya Maji yote apewe Mwarabu, hivi kuna utimamu kweli hapa.

Huu mkataba haukuandikwa kwa nia njema ni wa kutupwa. Uliandikwa kwa hila huku viongozi wakifumbwa akili.

Tanzania ni nchi inayojitegemea na itaishi kwa uwezo wa Mungu na sio wa jamii flani.

Nahamia rasmi Kanisa Katoriki.
Hawa Wasabato hamna kitu kabisa.
Na Mkome kuwaponda Wakatoriki kuanzia leo.
 
We pascali acha kuremba tukio, haya wali loot, ila ukweli unajulikana walifanya tukio gani
Kuna tofauti kati ya kuiba na ku loot, kuiba ni dhambi, ku loot ni baraka, ndio maana proceeds za loot ya hekalu la Constantinople zimejenga St. Peters Basilica na kanisa Katoliki limebarikiwa.
P
 
Kanisa Katoliki ndilo dhehebu tajiri kuliko madhehebu yote duniani!.
Utajiri mkubwa wa kwanza ni Warumi walivamia hekalu la Constantinople kule Uturuki waka loot kila kitu, wakaliteketeza, hizo loot wakaenda kujengea St. Peter's Basilica, Vatican!. Hiyo meza hapo ukutani ni pure gold!.

Ile fimbo ya Papa ni the oldest pure gold!.
Na kwa Tanzania ndilo dhehebu kubwa lenye waumini wengi kuliko dini zote, ni kanisa tajiri, na rais wa Tanzania anapokuwa ni Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki!.
P
Wewe Mzee noma Sana Sasa nakupa jina

Utaitwa Sigara Kali

Maanayake unawashika popote nyuma sawa mbele sawa
Maana yake hojazako ukizitoa hazina makosa kama Sigara Kali ilivyo na uhalali wa kuwashwa upande wowote

Niwie Radhi kama nime kukosea
Nipo tayari unieleweshe niondoe Ubatizo wangu
 
Hadi kufikia hapa namna pekee ya kuweka imani kwa watu ni kujitathmini.

Cheo ni dhamana. Raisi Mwinyi aliwahi kujiuzuru na akajenga heshima kubwa hadi kukabidhiwa mamlaka ya juu kabisa ya Uraisi.

Wote waliohusika na huu Mkataba wajitathimini kama wanatosha tena kwa maisha ya kesho ya Watanzania.
 
Huu uzi utafutwa sababu militia uzi Kama huu ukafutwa.
Ila nguvu kubwa ya kanisa ni mtandao wake kuanzia jumuhiya, kigango, parokia Hadi Jimbo.Hata kitendo cha serikali kuzuia waraka usisomwe hakikuweza kuzuia waumini wasiupate lakini hata wasio waumini wakataka kujua Nini waliandika.
Elimu kwao ni sehemu ya ibada na ndio maana viongozi wao sio tu Wana elimu ya dini Bali pia ya dunia ambayo inawawezesha kuchanganua Mambo mbalimbali.
 
Mc
Kanisa Katoliki ndilo dhehebu tajiri kuliko madhehebu yote duniani!.
Utajiri mkubwa wa kwanza ni Warumi walivamia hekalu la Constantinople kule Uturuki waka loot kila kitu, wakaliteketeza, hizo loot wakaenda kujengea St. Peter's Basilica, Vatican!. Hiyo meza hapo ukutani ni pure gold!.

Ile fimbo ya Papa ni the oldest pure gold!.
Na kwa Tanzania ndilo dhehebu kubwa lenye waumini wengi kuliko dini zote, ni kanisa tajiri, na rais wa Tanzania anapokuwa ni Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki!.
P
Mchonganishi na mnafiki P. Unajisikiaje DP world wanapewa bandari zetu bure milele na miundo mbinu yake kama sgr bandari kavu, nawe unafurahia!
 
Nyie watu hivi mmechanganyikiwa nini? Wana nguvu gani?

Hizo hoja ulizosema hapo zote hazina msingi. Hizo ni fikra mgando ambazo mmekuwa mkilishana katika vijiwe vyenu vya kahawa huko alafu unakuja kutudanganya humu wenze akili zetu?

Sicilia nikwambie mtoa mada. Hakuna nguvu ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Hawana nguvu yeyote ile. Hata kwa Wakristo tu kwa sasa nchini Tanzania wakristo wengi wapo kwenye madhehebu ya kiprotestant na haya ndo madhehebu yenye ukwasi nchini kwa sasa.

Hata ukija kwenye oradea ya matajiri wa Tanzania. Ambao hawa ndo watu ambao unaweza sema wanaweza tetemesha nchi wengi ni waislamu na wachache waliobaki ambao ni wakristo wengi ni wadhehebu ya kiprotestant hasa walutheri.

Hiyo nguvu ya kabisa katoliki mmeitoa wapi?
Kuna comment ukisoma unaishia kucheka tu,kwamba Makanisa ya Kiprotestant yana ukwasi kuliko Kanisa Katoliki.Hata kama umeamua kutudanganya,usingekuja na hii hoja.

Hao matajiri wengi Waislam hata hayana maana sana kwa kuwa pia hawana msaada wowote,vinginevyo tuwaone wakijenga mashule,Hospitali kubwa kama Bugando au KCMC,hospital kubwa ambazo Serikali imezifanya kuwa DDH achilia mbali vituo vya afya ambavyo Kanisa linavyo kila mahali hapa Nchini.Hao matajiri wa Ki Islam wasaidie kwa kujenga Vyuo vikuu vyenye nguvu kama SAUT, Chuo Kikuu cha afya cha Bugando na vyuo vinavyotoa Clinical Ofisas wengi kama vilivyopo kila mahari vilivyojengwa na Kanisa Katoliki.Hapo utaeleweka,lakini maneno matupu bado hujanishawishi.
 
Hawa watu ni wajinga tu. Amini nakwambia. Na kwa kuwa sasa tumeshajua kuwa ni wajinga sidhani kama atatokea tena Rais mkatoliki nchi hii.
Unaongea utadhani wewe ndiyo una mamlaka na Nchi hii,hebu tuendelee kupiga porojo hapa na Rais Mkatoliki atakuja tena na hutakuwa na la kufanya,sana sana utaishia kubwabwaja tu
 
Kuna comment ukisoma unaishia kucheka tu,kwamba Makanisa ya Kiprotestant yana ukwasi kuliko Kanisa Katoliki.Hata kama umeamua kutudanganya,usingekuja na hii hoja.

Hao matajiri wengi Waislam hata hayana maana sana kwa kuwa pia hawana msaada wowote,vinginevyo tuwaone wakijenga mashule,Hospitali kubwa kama Bugando au KCMC,hospital kubwa ambazo Serikali imezifanya kuwa DDH achilia mbali vituo vya afya ambavyo Kanisa linavyo kila mahali hapa Nchini.Hao matajiri wa Ki Islam wasaidie kwa kujenga Vyuo vikuu vyenye nguvu kama SAUT, Chuo Kikuu cha afya cha Bugando na vyuo vinavyotoa Clinical Ofisas wengi kama vilivyopo kila mahari vilivyojengwa na Kanisa Katoliki.Hapo utaeleweka,lakini maneno matupu bado hujanishawishi.
Wanatoa hizo huduma Bure hao nao wafanya biashara kama hao matajiri uliowaita wakiislam Kuna Clinical officer kasoma Bugando bure???
 
Nyie watu hivi mmechanganyikiwa nini? Wana nguvu gani?

Hizo hoja ulizosema hapo zote hazina msingi. Hizo ni fikra mgando ambazo mmekuwa mkilishana katika vijiwe vyenu vya kahawa huko alafu unakuja kutudanganya humu wenze akili zetu?

Sicilia nikwambie mtoa mada. Hakuna nguvu ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Hawana nguvu yeyote ile. Hata kwa Wakristo tu kwa sasa nchini Tanzania wakristo wengi wapo kwenye madhehebu ya kiprotestant na haya ndo madhehebu yenye ukwasi nchini kwa sasa.

Hata ukija kwenye oradea ya matajiri wa Tanzania. Ambao hawa ndo watu ambao unaweza sema wanaweza tetemesha nchi wengi ni waislamu na wachache waliobaki ambao ni wakristo wengi ni wadhehebu ya kiprotestant hasa walutheri.

Hiyo nguvu ya kabisa katoliki mmeitoa wapi?
Wanadekezwa mno

Kama huyu slaaa kasumbua sana wakati wa JK alipoingia wa RC mwenzake kila alichokifanya kibaya kizuri aliona kama Udi

Yanayomkuta Samia yalimkuta JK rejea ile 2005..... Slaa karudi barabarani kwa sabab zilezile kama 2005 mawaraka waraka kila inayoitwa Leo
 
Sawa boss
Wana nguvu wawaongeze watumishi mishahara nguvu ya kupiga Domo hakumsamdii Yeyote porojo zao

Wana nguvu watoe huduma Bure pyepyeke pyeke ukienda kupata huduma kwao unalipia wafanya biashara kama wafanya biashara Wengine hawana tofauti na bakhresa au Dangote akitetea malori yake
 
Wanatoa hizo huduma Bure hao nao wafanya biashara kama hao matajiri uliowaita wakiislam Kuna Clinical officer kasoma Bugando bure???
Kwa kukujuza tu,pale Bugando kuna wanafunzi wa Udaktari kamili na hao Clinical Officers achilia mbali kozi za Famasia na Nursing.Back to the point,sasa si wajenge hizo Hospital na Mashule na watozeshe pesa kwa huduma au kuna zuio kwao? Mbona Chuo Kikuu kile cha Morogoro mlichopewa majengo bure na Rais Mkapa wanafuzi wanalipia ada,fanyeni sasa na kwa huduma zingine ili tuone na si kulishutumu Kanisa Katoliki kwa kujenga miundo yake ya Mashule,Hospitals na kutozesha huduma.
 
Sasa si wajenge hizo Hospital na Mashule na watozeshe pesa kwa huduma au kuna zuio kwao? Mbona Chuo Kikuu kile cha Morogoro mlichopewa majengo bure na Rais Mkapa wanafuzi wanalipia ada,fanyeni sasa na kwa huduma zingine ili tuone na si kulishutumu Kanisa Katoliki kwa kujenga miundo yake na kutozesha huduma.
Tulia acha kutetea wafanya Biashara hakuna shule ya kiislam ya bure wala ya kikatoliki ya bure wote ukienda huduma zao utauziwa tuuuu wote wafanya biashara

Si hospital sio vyuo sio Shule
 
Back
Top Bottom