Kwa haraka haraka wameshakusanya 10 kwa hesabu za buku2 2Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakidha kuto press Release kama mfanyavyo kwenye matukio mengine. Zaid kongole kwa camera man wa kujitegemea.
View attachment 3202252
Nilikuwa najua na wewe upo mjini? Hiyo nilishasikia kitambo kwamba hayoo ni maisha ya kawaida na kila siku huko mjiniHapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakidha kuto press Release kama mfanyavyo kwenye matukio mengine. Zaid kongole kwa camera man wa kujitegemea.
View attachment 3202252
Hawana mishahara? Walimu nao wale wapi manesi nao wale wapi, wahasibu nao? End of the day nchi inanuka rushwa, subiri upate shida inahitaji haki itendeke tuone kama utaongea huu upupu.rushwa taam sn jmn waachwe tuu...mnataka wale nnn dah
Kuna wale nao wanaokula mabilion nao 😄Jamaa wanakula kwa urefu wa kamba zao kama Chura Kiziwi alivyoruhusu, ila wao mbona hufanya ukuda wengine wanapokula kwa urefu wa kamba zao?
Walimu labda waibe chaki na peni,makaratasiHawana mishahara? Walimu nao wale wapi manesi nao wale wapi, wahasibu nao? End of the day nchi inanuka rushwa, subiri upate shida inahitaji haki itendeke tuone kama utaongea huu upupu.
Kwahiyo waachwe au sioAcheni u snitch mnataka wenzenu wakale wapi?
Acha kutetea ujingaJapo sipend rushwa ila hii sio njia sahihi sana kuwaadhibisha wahusika..
Kuna maisha baada ya hichi kitu ulicho post.
Tunahangaika na vidagaa tunawaacha mapapa serikalini waokwapua mabilioni ya hela kwenye miradi .
Tena hela ambazo zimekusanywa tayari.. Si bora huyu ni hela ambayo hata haijaingia serikalini..
Mkuu,Walimu labda waited chaki na peni,makaratasi
Ova
Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakidha kuto press Release kama mfanyavyo kwenye matukio mengine. Zaid kongole kwa camera man wa kujitegemea.
View attachment 3202252
Nimeshangaa kweliAcheni u snitch mnataka wenzenu wakale wapi?
Kwa hiyo unataka rushwa ihalalishwe!!?ati kwa kuwa maisha magumu!!,,na mtoa rushwa inamaana maisha yake si magumu??!,,watu wengine bhana!!Serikali iliahabariki hayo wala wasitale kuwaadhibu. Na hizo ni za kusafishia viatu tu wala sio mamilioni.
Bongo bila dili kusurvive ni ngumu.
Aliyeposti kaamua kuanza na Dagaa, wewe post hao Papa.Japo sipend rushwa ila hii sio njia sahihi sana kuwaadhibisha wahusika..
Kuna maisha baada ya hichi kitu ulicho post.
Tunahangaika na vidagaa tunawaacha mapapa serikalini waokwapua mabilioni ya hela kwenye miradi .
Tena hela ambazo zimekusanywa tayari.. Si bora huyu ni hela ambayo hata haijaingia serikalini..