Hapa pa ni mimi na wife tunavushwa darajani

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji54] wewe liongo sana
Wenzenu mikoani tunatembea na mitumbwi kwenye begi. Ukifika sehemu ya hivyo iliojaa maji unatoa mtumbwi wako unapiga kasia chap hadi upande wa pili. Unakunja mtumbwi kwenye begi maisha yanaendelea..

Sasa vijana wa dar wanywa alkasusu sijui mkoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo watu wanayaona hayo maji kwa camera yametulia

Yanakasii ya umeme

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unalijua vzr hili daraja kweli? Ishort walisha fiapo watu wengi tu waliojaribu kupita wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh!! Hivyo Mkuu uoga wako ni kufa tu? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ na aliyekubeba je hajapita mwenyewe au ndio aliweza kupita sababu ana mzigo mgongoni? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Je hao wa pembeni nao? πŸ€”
 
Kudharau vya kwetu, hapo tunaongoza duniani.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Ni kweli kabisa ila mabadiliko hua yanaanza na mtu binafsi, wewe umefanya nini ilikutengeneza mabadiliko au unashauri nini maana wengi Tanzania ni washauri, wakosoaji na waongeaji wazuri tunakwama utendaji kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…