Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa vyema kama we ndio ungembeba mkeo na sio kuachia wenzio wanamshika tu.
Muwage na wivu hata kidogo maji mafupi hayo.
Umeanza!!Tungoje akishafika nyumbani na mkewe amalizie kutusimulia raha ya kubebwa mgongoni.....
Ila raha ya kubebwa mgongoni shurti ubebwe na mbelekoo... Mgongo mtamu Bwana asikwambie mtu.
Umeanza!!
Oooh!! Sawa Mkuu.
Linini hilo? 😎
Hivyo ukikutana na maji ka hizo utafanyaje? Au ndio utaghairi uendako?
Umeanza fujo zisizokera, mana huishiwagi vitimbi wewe.!!Aahahahahahaaaa nimeanza kufanyaje jamani Damian..!!???
Mamboo.
Nilivo na wivu naanzaje muacha mtu ampakate wife namna hiyo asee.Hivyo ukikutana na maji ka hizo utafanyaje? Au ndio utaghairi uendako?
Umeanza fujo zisizokera, mana huishiwagi vitimbi wewe.!!
Poa, usalama upo lakini!?
Niajiri boss
Haha usijali kabisaUkiajiriwa na huyo bosi unikumbuke.
Haha usijali kabisa
Mtani usinione hvi!!Hivyo ukikutana na maji ka hizo utafanyaje? Au ndio utaghairi uendako?
Swadaktaaa!!!!.Aahahahahahaa ni Matata kiasi cha mboga tuu si saanaaa eehehehheeee.
Usalama upo mia ya mia bin bidhaa yenyewe yenye kukinga Mahaba yasipotee kwa kukosekana kwa bidhaa japo utamu unakjwa umefunikwa aahahahahaaa..
Ndio hapo sasa eti. Tena mdada mwenyewe ka huyo kajazia jazia. 😀😀Nilivo na wivu naanzaje muacha mtu ampakate wife namna hiyo asee.
Vitu vingine sio vya kujaribu oh, sa hapo wakikutana tena na huyo jamaa alombeba watatazamana vipi si ndo mwanzo wa kwenda kumalizia sasa huo.
Swadaktaaa!!!!.
Tunda la zamani ila ladha na utamu ni ule ule haujawahi chuja iwe masika iwe kiangazi bado ni burudani ya kasi 5G.