Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Mtani umefanya nimecheka saa hii. Lol.Mtani usinione hvi!!
Ninajua kuyachezea Maji zaidi ya samaki!!
Hivyo ni vi maji tu kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera. Mana umefanya nawaza saa hiyo unacheza na hayo maji inakuwa ndio unaenda uendako au unarudi? 🤣🤣🤣