Hapa pa ni mimi na wife tunavushwa darajani

Hapa pa ni mimi na wife tunavushwa darajani

Ingekuwa vyema kama we ndio ungembeba mkeo na sio kuachia wenzio wanamshika tu.

Muwage na wivu hata kidogo maji mafupi hayo.

Mimi pia nimewaza hivyo jamaa angekunja suruali yake anambeba mke wake, walee wanaondoka huyu jamaa kafeli big time [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ni kweli kabisa ila mabadiliko hua yanaanza na mtu binafsi, wewe umefanya nini ilikutengeneza mabadiliko au unashauri nini maana wengi Tanzania ni washauri, wakosoaji na waongeaji wazuri tunakwama utendaji kazi.

Nimefungua biashara zaidi ya tatu Tanzania, nimeajiri watu, na bado naendelea kufungua, wafanyakazi wangu wanaofanya vizuri kila mwaka wanakula safari kwenda nchi za nje Dubai, USA, Korea, Hong Kong, kula bata wapate exposure. Na mshahara nalipa vizuri sana kulingana na kazi wanayoifanya, ila they make profit so its a win win, ukiingia ofisi yangu yoyote ile watakupokea ka mfalme, top notch service unapewa na kahawa kabisa wakati unasubiri hata kama hutoi pesa ili siku nyingine urudi. Kila kitu kinaendeshwa na computer, ofisi zote zina unlimited internet, software zote zinazorun my companies nimetengeneza mwenyewe.

So yah, I'm doing something, ila mtu moja hawezi badilisha nchi nzima. Mindset ya wengi inasikitisha sana bongo
 
Ingekuwa vyema kama we ndio ungembeba mkeo na sio kuachia wenzio wanamshika tu.

Muwage na wivu hata kidogo maji mafupi hayo.
Au angekaa nyuma ili aliembeba mkewe awe mbele,hii kidogo inakuwa na tija...
 
Nimefungua biashara zaidi ya tatu Tanzania, nimeajiri watu, na bado naendelea kufungua, wafanyakazi wangu wanaofanya vizuri kila mwaka wanakula safari kwenda nchi za nje Dubai, USA, Korea, Hong Kong, kula bata wapate exposure. Na mshahara nalipa vizuri sana kulingana na kazi wanayoifanya, ila they make profit so its a win win, ukiingia ofisi yangu yoyote ile watakupokea ka mfalme, top notch service unapewa na kahawa kabisa wakati unasubiri hata kama hutoi pesa ili siku nyingine urudi. Kila kitu kinaendeshwa na computer, ofisi zote zina unlimited internet, software zote zinazorun my companies nimetengeneza mwenyewe.

So yah, I'm doing something, ila mtu moja hawezi badilisha nchi nzima. Mindset ya wengi inasikitisha sana bongo
Niajiri boss
 
Nimefungua biashara zaidi ya tatu Tanzania, nimeajiri watu, na bado naendelea kufungua, wafanyakazi wangu wanaofanya vizuri kila mwaka wanakula safari kwenda nchi za nje Dubai, USA, Korea, Hong Kong, kula bata wapate exposure. Na mshahara nalipa vizuri sana kulingana na kazi wanayoifanya, ila they make profit so its a win win, ukiingia ofisi yangu yoyote ile watakupokea ka mfalme, top notch service unapewa na kahawa kabisa wakati unasubiri hata kama hutoi pesa ili siku nyingine urudi. Kila kitu kinaendeshwa na computer, ofisi zote zina unlimited internet, software zote zinazorun my companies nimetengeneza mwenyewe.

So yah, I'm doing something, ila mtu moja hawezi badilisha nchi nzima. Mindset ya wengi inasikitisha sana bongo
Safi sana ndugu nafurai kusikia ivo, ni mfano mzuri sana wa mabadiliko na una mawazo chanya "Positive mind" Umewekeza katika soko (Industry) gani?. Naisi kama (Travel and Tours)
 
Dah mkuu kwamba uko na allergy ya maji yaendayo?
Anyway you got a good TAKO bended wife
 
Back
Top Bottom