Hahahaaa. Mtani umefanya nimecheka saa hii. Lol.Mtani usinione hvi!!
Ninajua kuyachezea Maji zaidi ya samaki!!
Hivyo ni vi maji tu kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha yenyewe screenshot " halafu unataka kutudanganya ni yako
Eewaa, huyu tayari huyu hadi aje kuondoka huko kijijini huko lazima tutaona manyoya tu hapo.Ndio hapo sasa eti. Tena mdada mwenyewe ka huyo kajazia jazia. 😀😀
Hahahaaa. Hatari.Eewaa, huyu tayari huyu hadi aje kuondoka huko kijijini huko lazima tutaona manyoya tu hapo.
Na huyo jamaa akimuacha hivi hivi atakuwa mzembe sana, huwezi baki na nyavu namna hiyo alafu unapaisha asee.
Nasema hapo lazima tuone manyoja tu hamna namna
Huyo alombeba mkeo anafaidi sana
Eeh yaani Mshale ukipigwa na mwindaji hodari huwa haukosi windo.Aaahaahahhahahaaaaa looh!!!
Wee Damii weeweee, utafanya jioni hii nibadili uelekeo wa njia kuja hapo ulipo mnara wa 5G....bila kujua nyumbani ntarejea saa ngapi eeheheheheheeee.
Yaani we subiri tu hapo tuandae tu sadaka za misa ya ushuhuda!!!Hahahaaa. Hatari.
Hahah asante kwa hongera nyingi!!Hahahaaa. Mtani umefanya nimecheka saa hii. Lol.
Hongera. Mana umefanya nawaza saa hiyo unacheza na hayo maji inakuwa ndio unaenda uendako au unarudi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eeh yaani Mshale ukipigwa na mwindaji hodari huwa haukosi windo.
Na Mara nyingi muelekeo wa windo huwa unategemeana na nguvu ya mshale windo linaweza kubadili muelekeo ikiwa mshale utapiga panapo takiwa na kutokana na nguvu ya mshale hapo windo lazima litabadili muelekeo wake na kumtii mwindaji na kujisalimisha.!!
Sasa sijui kama mshele huu utafakinikiwa kubadili mwelekeo wa windo au vipi.bado napima upepo hapa!!!!
Dooh!!!!Aahahahahaa umenikumbusha wimbo wa Juma Nature... "mshike mshike ndege tunduni..."
Naona kinanitokea eehehhee.
Picha yenyewe screenshot " halafu unataka kutudanganya ni yako
Dooh!!!!
Hujakosea hapo ngoja nikae bazani kabisaa nivute subira kidogo!!!
Kumbe we ni demu? nilijuaga ID ya kiume.Kutoka Dar mpaka kijijini
View attachment 1426075View attachment 1426076View attachment 1426077
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha shadeeya weweeLinini hilo? 😎
Tatizo ni kulowana na kusababisha fangusIngekuwa vyema kama wewe ndio ungembeba mkeo na sio kuachia wenzio wanamshika tu.
Muwage na wivu hata kidogo maji mafupi hayo.
Hahaha hapana sio mimi..mimi siwezi kubebwa aisee bora nisombwe na maji, labda unibebe wewe unipeleke kukogaa❤❤😋Huyo sio Hazard CFC kweli?