Kumbe we ni demu? nilijuaga ID ya kiume.
Aaah!! Sema kweli bwana. Huyo ni wewe.Hahaha hapana sio mimi..mimi siwezi kubebwa aisee bora nisombwe na maji, labda unibebe wewe unipeleke kukogaaβ€β€π
Mimi huwa sidanganyi kabisa....wengi wa hvyo ni masharti ya mganga, sasa mimi siamini uganga uchawi wala mungu.Aaah!! Sema kweli bwana. Huyo ni wewe.
Mungu au mungu?Mimi huwa sidanganyi kabisa....wengi wa hvyo ni masharti ya mganga, sasa mimi siamini uganga uchawi wala mungu.
Huyu mama either katokea Ugweno au RoryaKama mkishindwana na mkeo uniPM namba yake nimemwelewa sana na nywele zake za kisabato
Hata minyoo hukakamaa pia. Labda familia ya uyogaHalafu mnafika nyumbani unaanza kusema kichwa cha familia....labda kama ni familia ya minyoo.
WoteMungu au mungu?
Mtani wa Nyumbani umejua kuua hapa. Saafi. ππHahah asante kwa hongera nyingi!!
Sisi watu wa Pwani,...ninapocheza na hayo maji naweza nikawa kati siendi popote bali nafanya nakshi tu zile za masamaki
Ushawahi ona mtu akivuka kutoka upande mmoja wa bahari kwenda upande mwingine!?? Kama hujaona mtani mie hiyo ndio ilikuwa michezo yangu wakati wa ukuaji!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa!! Naona jbu limekuwa gumu. Lol.Hahaha shadeeya wewee
Duuh!!!Tatizo ni kulowana na kusababisha fangus
Hahah mtani umeshaamka kumbe!!!Mtani wa Nyumbani umejua kuua hapa. Saafi. [emoji3][emoji3]
Nilale kwa raha gani Mtani. Narauka ili niwahi kwenda kulijenga Taifa.
πππmi nafurahi kusikia hivyo Mungu akuzidishieHahahaaa!! Naona jbu limekuwa gumu. Lol.
Haya mi sijambo aisee.