Upo na mwenza wako!?Nimekosa bonanza leo.
Nimekuja Zenji kwenye full moon party.
Hata kama unamjua fresh tuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bwana wee ika simjui akii
Hapana. Unataka kuja kunipa kampani? Au uongezeke kwenye kampani niliyonayo?Upo na mwenza wako!?
Ohooooooo jamen yashakuwa haya tenaaHappy birthday Mahondaw.
Swali langu ni hili:
Ni kweli hii akaunti yako na ile ya Smart ni za watu tofauti?
Kwa udogo wangu wa akili nimegundua unaandika kama mwanaume and sijawahi amini kama hizi akaunti mbili haziendeshwi na mtu mmoja.
Ahsante
Etii ee hakiharibikii kituHata kama unamjua fresh tuu.
Ningefurahi kweli yani....Hapana. Unataka kuja kunipa kampani? Au uongezeke kwenye kampani niliyonayo?
Haaahaaa [emoji16]
Haaahaaahaa [emoji1787]
Kuna watu hawalijui hili[emoji22] Poor them
Mi ukinijudge Jf mbona utakoma kwenye uhalisia wangu[emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Asante Joanah . kama nilivosema nyuma ya keyboard kumejificha mengi mno! anyway zile annirversaries zilikua ndani ya ndoa my dia, I got married 2016 na mzee wa mwongozo tulikwaruzana badae tukafahamiana ki jf jf 2017.
Kumbe mzigua ana timu humuππKwakua team yako baaedhi walishatia maguu humu tayari wanafukunyua! Hapa ni kheri tu aisee
Bukoba umehamia lini my?Ebu kwanza,,Hapa unaongelea nani kwani?? Mimi nimeolewa na muhaya amenihamishia kikazi bk jamani!
Hebu nitafute my dear jomoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Witty[emoji119]Baadaye nitakuomba mahali tuna jambo letu.
Unatuumiza wenginenitumwe nanani?? its my birthday nimeamua tu niisherekee kihivi!
Ahaaaahaaaa [emoji16][emoji1787][emoji16][emoji1787] jf shikamookuna siku nilicomment hizi cc inaonekana mna stress ww na smart wako....ulinijibu vibaya sana hatimaye mmeachana safi sana ........
no more cc tena sasa hivi nikiona cc najua ccm
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Yani usaliti kama usaliti?Ni cheating kama cheating nyingine mkuu!
Iwe bojooooo...garuka bwanaaa[emoji22][emoji22]Jamani niulizeni mengine kunihusu mimi tu pullliiizz! Kama hakuna basi nawashukuru wote. Akhsanteni namuwe na jioni njema!! Aure voir!
Usinigombanishe jamani nikachambwa maana mweeeOhooooooo jamen yashakuwa haya tenaa
Kumbe id ni moyaa [emoji2303][emoji2303]