Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Hivi Hilo wowowo la kwako?!
Ile profile pic uliyokuwa unang'ata kidole ndiyo nilikuwa naipenda
Ile profile pic uliyokuwa unang'ata kidole ndiyo nilikuwa naipenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashite atowasahau wajumbe aisee,jamaa watu wabad kinyama😅
Hatari sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Zile 2-3 anniversaries na smart zilikuwa ni kabla ama baada ya ndoa yako ya sasa?
BTW happy birthday my dia
ha ha haaaBashite atowasahau wajumbe aisee,jamaa watu wabad kinyama
Ushapigia puchu smithHivi Hilo wowowo la kwako?!
Ile profile pic uliyokuwa unang'ata kidole ndiyo nilikuwa naipenda
Hahha sijatumwa we si umekubali kuacha lakin wenzio waingie 😂😂😂😂 kama naona pm yake hukooiTehteh ebu mambo yake tumuachie mwenyewe! Wee dina umetumwa si bure lol!
Cc BehaviouristHahaha hapana nilitoe wapi wowowo miye! Kimbaumbau chahovyo kabisa!
Imeisha tukanunue nyingine basiBabe.....
Hivi ile keki uliimaliza..😋😋
Thanks dear, twende Brajec leo tukakate keki 🥂Happy birthday mpendwa
Acha wanaume tuwe na umri mfupi wa kuishi hapa duniani, tunakufa kwa mengi..Hahahaa hapana sababu nyingine kabisa ndio ilisababisha! By the time nipo dar kuna kipindi I told him the truth but he didnt believe because muda mwingi aliokuwa akinihitaji alinipata na baba watoto yupo sudani! Niliendelea kumweleza ukweli alikuja kuamini baada ya kujifungua mtoto wapili 2019 kwakua nilipasuliwa, nilizaa kwa oparesheni nikamuonesha mshono kabisa! Tuligombana kwa mengine kabisa
Na wanapenda hao jamani. Siamini Madenge kashikwa vile maana hasikiagi yule naeHappy bday mamiiiii
Daaa kapo yenu ilikua bomba sana,kwa sasa imebaki moja huko twiraa ya denge na coco
Bado upo kwenye mahusiano na smart 4 G ?Hello guys!
Nawashukuru wanajf wote walio pamoja nami katika lolote liwe zuri liwe baya mungu awabariki wapendwa. Pia nawale wote walioikomaza akili yangu positively or negatively shukrani sana. Bila kuwasahau wafukua makaburi seriously huwa mnanihahahaha na kuniremind sometimes. Sambamba na wachochea kuni wote tupo pamoja mazee nyie pia kheri iwe nanyi.
Karibuni mnipikie mniimbie mniswalike mnichekeshe na kunizawadia pia.
Warmly welcome
Mzee baba upo ?Happy birthday. ..uishi miaka mingi
Jibu swali watu tujue aiseeTehteh ebu mambo yake tumuachie mwenyewe! Wee dina umetumwa si bure lol!
Hivi umetumwa na nini kuanzisha huu uzi! Happy birthday lakiniJamani niulizeni mengine kunihusu mimi tu pullliiizz! Kama hakuna basi nawashukuru wote. Akhsanteni namuwe na jioni njema!! Aure voir!
Hiyo pic ni yako ogShukrani best longtime aisee. Nafurahi pia kukuona tena.