Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hapana mkuu wity kakaa kimbea mbea na kifukunyuku zaidi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu wity kakaa kimbea mbea na kifukunyuku zaidi!
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]nmeumia sanaKhakhaa! Hapana. Ki jf Ilikua real and kiuhalisia I was cheating on mzee wa miongozo hakujua kama nimeolewa nauongo mwingine mwingi tu.
Aisee,basi hata kuleta keki tuhahaha siwezi rudia hili suala inafika wakati mtu unatulia, nimepunguza dhambi aisee nyie mlikamilika hongereni sana!!
Niliolewa 2016 na mume wangu hayupo jf wala havijui vya jf!
Thanks,Niliolewa 2016 na mume wangu hayupo jf wala havijui vya jf!
Mbona kama ni calculated risks, mtoa mada ameona alimalize hili siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake .Ukisikia Harusi imegeuka msiba ndio uchangiaji huu unaoendelea hapa!
Heri ya kumbikizi ya kuzaliwa mahondaw
Hello guys!
Nawashukuru wanajf wote walio pamoja nami katika lolote liwe zuri liwe baya mungu awabariki wapendwa. Pia nawale wote walioikomaza akili yangu positively or negatively shukrani sana. Bila kuwasahau wafukua makaburi seriously huwa mnanihahahaha na kuniremind sometimes. Sambamba na wachochea kuni wote tupo pamoja mazee nyie pia kheri iwe nanyi.
Karibuni mnipikie mniimbie mniswalike mnichekeshe na kunizawadia pia.
Warmly welcome
Hala hala Wajumbe wasikupe Kura zero 😅Akikujibu kama lipo wazi nitag,niandae safari ya bukoba kulikomboa jimbo
Ni zaidi ya usenge kudadadeki[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Mapenzi ya mtandaoni bana, Usenge mtupu..!!!
Khaaa!Ni zaidi ya usenge kudadadeki
Hahahaa hapana sababu nyingine kabisa ndio ilisababisha! By the time nipo dar kuna kipindi I told him the truth but he didnt believe because muda mwingi aliokuwa akinihitaji alinipata na baba watoto yupo sudani! Niliendelea kumweleza ukweli alikuja kuamini baada ya kujifungua mtoto wapili 2019 kwakua nilipasuliwa, nilizaa kwa oparesheni nikamuonesha mshono kabisa! Tuligombana kwa mengine kabisaAlivyojua umeolewa ndio akakasirika
Kwa hiyo jimbo lipo wazi kwakeHahahaa hapana sababu nyingine kabisa ndio ilisababisha! By the time nipo dar kuna kipindi I told him the truth but he didnt believe because muda mwingi aliokuwa akinihitaji alinipata na baba watoto yupo sudani! Niliendelea kumweleza ukweli alikuja kuamini baada ya kujifungua mtoto wapili 2019 kwakua nilipasuliwa, nilizaa kwa oparesheni nikamuonesha mshono kabisa! Tuligombana kwa mengine kabisa
Wajumbe sio watu wazuri mkuuHala hala Wajumbe wasikupe Kura zero 😅