Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Happy Birthday Front enjoy this very special day with your loved ones and friends 🎈🎊🎉🛍
1622296965603.jpeg

Hello guys!


Nawashukuru wanajf wote walio pamoja nami katika lolote liwe zuri liwe baya mungu awabariki wapendwa. Pia nawale wote walioikomaza akili yangu positively or negatively shukrani sana. Bila kuwasahau wafukua makaburi seriously huwa mnanihahahaha na kuniremind sometimes. Sambamba na wachochea kuni wote tupo pamoja mazee nyie pia kheri iwe nanyi.

Karibuni mnipikie mniimbie mniswalike mnichekeshe na kunizawadia pia.

Warmly welcome
 
Alivyojua umeolewa ndio akakasirika
Hahahaa hapana sababu nyingine kabisa ndio ilisababisha! By the time nipo dar kuna kipindi I told him the truth but he didnt believe because muda mwingi aliokuwa akinihitaji alinipata na baba watoto yupo sudani! Niliendelea kumweleza ukweli alikuja kuamini baada ya kujifungua mtoto wapili 2019 kwakua nilipasuliwa, nilizaa kwa oparesheni nikamuonesha mshono kabisa! Tuligombana kwa mengine kabisa
 
Hahahaa hapana sababu nyingine kabisa ndio ilisababisha! By the time nipo dar kuna kipindi I told him the truth but he didnt believe because muda mwingi aliokuwa akinihitaji alinipata na baba watoto yupo sudani! Niliendelea kumweleza ukweli alikuja kuamini baada ya kujifungua mtoto wapili 2019 kwakua nilipasuliwa, nilizaa kwa oparesheni nikamuonesha mshono kabisa! Tuligombana kwa mengine kabisa
Kwa hiyo jimbo lipo wazi kwake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom