Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu kama lipo wazi nitag,niandae safari ya bukoba kulikomboa jimboKwa hiyo now jimbo lipo wazi [emoji23][emoji23]
Daaah, pole sana friend. Nimesikitika kweli.Thanks for the wish: one day we had a serious fight over love relationship and everything ended there.
Mtake radhi mkaka wawatu wity mimi ndie kivuruge niliemcheat kama ni kunitukana kama ni kunichamba nichambe mimi na si mkaka wawatu pullllizz! Muombe msamaha aisee!Mchuchu wake wa humu?
Sasa mbona ulimharibia mwenzako wakati hajaolewa while we una ndoa yako?
Kaswali ka mwisho dear..
Eti smart ni mdingi mtu mzima kisheti?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Yaaani wewe mimi haunitaki alafu leo ndio ukawe msuluhishi wa ndoa za watu?
[emoji1787][emoji1787]bila shaka hili Ni jiwe gizaniNiseme tu usiamini kila tunachoandika humu au mitandaoni mingine mpaka uwe na ukaribu na kumjua huyo memba ile ya face to face yani nje ya jf katika uhalisia wake. Nyuma ya keyboard Kuna uongo na ufeki mwingi sana.
Sio hivyo, ni hivi [emoji116][emoji116]Jamani niulizeni mengine kunihusu mimi tu pullliiizz! Kama hakuna basi nawashukuru wote. Akhsanteni namuwe na jioni njema!! Aure voir!
Akikujibu kama lipo wazi nitag,niandae safari ya bukoba kulikomboa jimbo
Emiir wa chura, nakuona [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Chura ipo?
Mtake radhi mkaka wawatu wity mimi ndie kivuruge niliemcheat kama ni kunitukana kama ni kunichamba nichambe mimi na si mkaka wawatu pullllizz! Muombe msamaha aisee!
🤣🤣🤣Emiir wa chura, nakuona [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Kuna MDA huwa nawaza witnessj na mahondaw nyie Ni mtu mmoja.Haaahaaa [emoji16]
Haaahaaahaa [emoji1787]
Kuna watu hawalijui hili[emoji22] Poor them
Mi ukinijudge Jf mbona utakoma kwenye uhalisia wangu[emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Akikujibu uni tag maana mimi hata swali moja kutoka kwangu hajajibuUlimcheat smart na mtu mwingine tofauti na mmeo au? Au ile hakujua kama umeolewa si ndio
Samahan,Asante Joanah . kama nilivosema nyuma ya keyboard kumejificha mengi mno! anyway zile annirversaries zilikua ndani ya ndoa my dia, I got married 2016 na mzee wa mwongozo tulikwaruzana badae tukafahamiana ki jf jf 2017.
Akikujibu uni tag maana mimi hata swali moja kutoka kwangu hajajibu