Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
[emoji1787][emoji1787]
Jamaa Yuko UNAMID mjini Darfur ha ha ha

Maliziamalizia kwani mandate inaisha DECEMBER 31....

Watu wanaumia huko wakiwawekea MADOLALI mje kutanua nyie mnawaachia tu akina SMART looh [emoji1787][emoji1787]
Hahahaha...inauma sana Braza[emoji23]...Watu wanapiga kazi huko, kumbe baadhi ya wake zetu wanafanya yao! Hahahahah....Too sad.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Yes yes

Mahondaw alimpenda huyu kaka sana sana.

Duuh mapenzi haya[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂😂😂 majibu yepi tena wakati posts za kuonyesha kwamba walikuwa wanapitia kipindi kigumu zilikuwemo humu? Sina cha zaidi nilibahatika tu kuziona nikashangaa sana. Mimi niliwapenda kama couple walikuwa wako vizuri na mimi niliamini wote ni single hivyo nikategemea iko siku wangetutangazia harusi.
BAK nasubiri majibu kwa kina😎
 
Mjeda yuko zake darfuri huku nyuma mabaharia wanamtafunia [emoji23],halafu unawaweza kukuta demu kadi ya bank anayo yeye akienda kutoa pesa anaenda na mchepuko wake [emoji23]
Hahhahaha....Wanawake bhana[emoji23], ila ni baadhi...kwa hali hii siwezi muachia mke wangu kadi kirahisi rahisi.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 

Post zip hizo mi sikuona jamani
 
Reactions: BAK
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…