Kweli ukweli mnaujua wawili tu. Umeamua kuchangamsha jukwaa bibie! Hakuna cha mume hapo na hakuna cha ndoa ingawa una watoto. Kagera ulikuwepo zamani Mleba ulipojifunza Katerero si sasa. Happy Birthday kimwanaNimeanza nini?? Nipo kwenye uzi wangu sitoki hapa aisee! Wakuchamba wanichambe weee wakunisema waniseme weeeee ukweli tunaujua wawili tu!!
Bila picha?Happy birthday to you mahondaw .
Hata mimi ningejidai siamini ungeniambia umeolewa kwa ulivyo mrembo.
Wapewe balon d orDoh! Wanawake mi 5 tena
Acha tu kwa maswalia anayojibu wanawake nomaWapewe balon d or
Watu wanatumia kwa siri wengine wakimaliza wanalogoutNi kweli...kuna siku niliazima simu ya mdada mmoja nigugo kitu ile kuingia tu kwenye chrome nikakutana na Jf..nilishanngaa maana huwezi kufikiria kuwa ni mwanaJf
Baba la baba nimekumissKauzi kametembea...kuna nn?
Ohooo.ndo hvyo.Aah hapana bana nawatetea smart na mahondaw wawe mtu 1 kweli ? Siamini[emoji19]
Ohoooo..Una uhakika?
Mahondaw na smart ni watu wawili tofauti nikwambie sasa [emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
HahahahahKhakhaa! Hapana. Ki jf Ilikua real and kiuhalisia I was cheating on mzee wa miongozo hakujua kama nimeolewa nauongo mwingine mwingi tu.
Mkuu hizo Cc ulivoziedit mi hoiππ Smata na mahandaziπAisee kweli mapenzi ya mitandaoni ni mauongo uongo mwingi......yaani mlivyokuwa mnarusha roho watu humu tukajua nyinyi ni '18 Bonnie and clyde wa kizazi kipya....Umetufunza kitu humu kuhusu mademu......Ni kweli hapo imeisha hiyo haiwezi tutokea mkarudiana maana wewe ndio uliyekoroga ila kama ingekuwa smart ndio kalikoroga mngerudiana.
Ngoja smart aje kutupa Muongozo ila mme wako huyo msudani akija kujua kwamba naye ulimcheat si anaweza pia akakupiga chini? au nayo umetupiga kamba? Kwa maelezo uliyoyatoa huyo msudani lazima atakujua ndio wewe.
Cc: Smata411 and mahandazi.
Hamna kitu mkuu, hapa naona mwali anashere hesha sikukuu ya siku yake ya kuzaliwa...ππKauzi kametembea...kuna nn?
Babe....Duh hayo maswali na majibu! Sikujua kumbe ka Mahondaw kana familia yake, kwa smart walikua wanatuektia tuπ€π€! Sawa bana mlituweza tukaamini mpo serious.
Aah hapo mkuu nakubishia! Huoni hata miandiko tofauti mzee wa miongozo na watu wabishi sana na mahondaw tofautiOhooo.ndo hvyo.
Hapana wanaume sio mbwa bana we love them[emoji8][emoji8][emoji8][emoji39][emoji39][emoji177]Ndugu hii inaweza kusadifu ule msemo wa wanaume wote mbwa??
Mambo babe, but don't call me babe unless you mean it, sitaki mambo ya Mahondaw mimiππBabe....
Naona sinema ya kihindi hapa, ebu uje gheto unisimulie..πMambo babe
Jaribu ujionee maajabu ya dunia[emoji16]siku moja nitajaribu kukutongoza mkuu
Mchato[emoji16]Eti mluga mluga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atakuwa wa mkoromije huyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]