Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Niseme tu usiamini kila tunachoandika humu au mitandaoni mingine mpaka uwe na ukaribu na kumjua huyo memba ile ya face to face yani nje ya jf katika uhalisia wake. Nyuma ya keyboard Kuna uongo na ufeki mwingi sana.
Kwa hiyo na Leo sio birthday yako? Nitaamini siku tukionana...[emoji6][emoji6][emoji6][emoji854][emoji854]
Have a blast one hun....[emoji3060][emoji3060]
 
Una umri gani leo Mahondaw kipenz??
 
Niseme tu usiamini kila tunachoandika humu au mitandaoni mingine mpaka uwe na ukaribu na kumjua huyo memba ile ya face to face yani nje ya jf katika uhalisia wake. Nyuma ya keyboard Kuna uongo na ufeki mwingi sana.
Kwahiyo ile mihela iliyokuwa inapostiwa humu kipindi kile ilikuwa ni kamba?[emoji3]

By the way happy birthday my friend.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…