Mashairi mamzito sote tu mamvumbini na uvumbi tutarudi hbdπ€£π€£Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Aminaπ
Heri ya mfanano wa siku ya kuzaliwa. Ishi sana mrembo.Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Aminaπ
[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732]
Ilo neno la mwisho hapo, nilisoma haraka haraka nikahisi umeandika kinenaπHappy birthday nkamu.
Tukumpala Kyala gwe akusajile ikyinja kinine
Mama la mama , sweetie , dada ake , mwamba wa kike , sisteri ishi sana huna baya dada ake sema nini ? Nipo Mbalizi police post fanya hata kunipa mualiko mwenzio niwe nimepata pa kula leo mchana [emoji848]Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu,
Asante Jehova
Asante Mama
Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi.
Tuitafute amani sikuzote
Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu kifanyike Kwa kias
Tusijione wabora kuliko wengine,maana sote tu wa mavumbini.
Mwenyezi Mungu atubariki sana wanaJF.
Amina[emoji120]
Unawaza ujinga tu[emoji16]Ilo neno la mwisho hapo, nilisoma haraka haraka nikahisi umeandika kinena[emoji23]