Puyugu 01
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 573
- 455
Vita haina macho Mzee.Moto unaounguza hata wasiohusika?? hivi kwa sasa unadhani hao wengine wanajisikiaje? bora tu angetaja idadi lkn co majina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita haina macho Mzee.Moto unaounguza hata wasiohusika?? hivi kwa sasa unadhani hao wengine wanajisikiaje? bora tu angetaja idadi lkn co majina
Fita ni fita murraahMwanaume kupambana na mwanamke aliyekosa heshima,aliyechoka na muhuni mitandaoni haipendezi kabisA.
Kawaacha wengi njianiNa hapo kawaacha wengine
Kama anavyofanya diamondNjomba nchumali amekosea sana na amewakosea alio wataja...hii si njia nzuri anayo paswa kutumia mwanaume kulumbana na mwanamke....
Hii njia inaweza mgombanisha Harmonize na alio wataja....
Kwakweli kati ya jambo ambalo anatakiwa kuwa makini nalo mwanaume ni jinsi ya kulumbana na mwanamke...
Harmonize amekosea na sasa yeye ndio ameonesha si mwanaume kamili wa kimakonde mwenye chale na aliye kwenda unayagoni maana amedhihirisha hana kifua kabisa...
Kwa kweli Harmonize amejidhalilisha na kuwadhalilisha alio wataja labda kama alipata ridhaa yao.
Hakuna ambaye alikuwa hajui hiyo list tena kuna watu kawasahau lakini katika hili Harmonize ameonekana ni mjinga sana...
Njia pekee mwanaume anaweza kutumia kulumbana na mwanamke ni kukaa kimya...
Mitaa gani pale ccm, au bondeni kuleAli K ndo alikua anamyoosha hizo pande za Kijitonyama Alimau nyumba Namba SMB 122
Umeambiwa hio ni team A, bado B na C[emoji1] [emoji1]Na hapo kawaacha wengine
Halaf aje kusema wanaume ni vibamia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeambiwa hio ni team A, bado B na C[emoji1] [emoji1]
Kwa list hio[emoji87] [emoji87] [emoji87]Halaf aje kusema wanaume ni vibamia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kiba ana nini?Mbona hajamtaja Kiba au ndio kaufyata hadi mkia eeeh kweli Makonde sio Ntu
Bikra ya Wolper ndie aliotoa pale ndio Konde kaenda kupata harufu ya Taa tuuKwani kiba ana nini?
Ahahahah namsubiria wolper ataandika gazeti halaf na hivi hajui kuandika haahahahKwa list hio[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Ye ni kikosi b au cMbona ye hajajituaja au ndo kikosi B?
Mmmh wolper alikuja dar na bikra?Bikra ya Wolper ndie aliotoa pale ndio Konde kaenda kupata harufu ya Taa tuu