Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Naona moto umelipuka kama Hawaii tusubili matokeo.
 
Mbona wachache?

Wale saba walomlaga mande?.
Aly Kiba je?

Na zile show za night standing?!!!
Harmonize umemdhalilisha sana Wolper!!!mpe idadi yake kamili
 
Njomba nchumali amekosea sana na amewakosea alio wataja...hii si njia nzuri anayo paswa kutumia mwanaume kulumbana na mwanamke....
Hii njia inaweza mgombanisha Harmonize na alio wataja....
Kwakweli kati ya jambo ambalo anatakiwa kuwa makini nalo mwanaume ni jinsi ya kulumbana na mwanamke...

Harmonize amekosea na sasa yeye ndio ameonesha si mwanaume kamili wa kimakonde mwenye chale na aliye kwenda unayagoni maana amedhihirisha hana kifua kabisa...
Kwa kweli Harmonize amejidhalilisha na kuwadhalilisha alio wataja labda kama alipata ridhaa yao.
Hakuna ambaye alikuwa hajui hiyo list tena kuna watu kawasahau lakini katika hili Harmonize ameonekana ni mjinga sana...
Njia pekee mwanaume anaweza kutumia kulumbana na mwanamke ni kukaa kimya...
Kama anavyofanya diamond
 
Mbona hajamtaja Kiba au ndio kaufyata hadi mkia eeeh kweli Makonde sio Ntu
 
Back
Top Bottom