Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Konde ni yule Ex unaona kabisa ka move on ila bado anampenda bwana ake basi tu hawawezi kurudiana akikumbuka alivyotendwa ila anampenda na anakubali mchango wake kwenye maisha yake.
 
Sina timu ila nimeangalia mahojiano ya konde ana hoja ya msingi yeye amekubali kwamba D amemfanyia wema ila anachopinga D kuendelea kumuwekea vikwanzo hata kama mtu umemsaidia akishindwa kukupa shukrani ndio umtengeze zengwe la Fitina hii si sawa.
 
Kwa hili Diemond ache roho mbaya kama alikuwa anahitaji hasa shukrani asingechukua pesa zake mtu kalipwa pesa why ana muandama kuna watu wana comments sidhani kama hata wameangalia mahojiano ya Hamo
 
Sina timu ila nimeangalia mahojiano ya konde ana hoja ya msingi yeye amekubali kwamba D amemfanyia wema ila anachopinga D kuendelea kumuwekea vikwanzo hata kama mtu umemsaidia akishindwa kukupa shukrani ndio umtengeze zengwe la Fitina hii si sawa.
Rudi na uende ukamuulize ni fitna gani hizo amefanyiwa?
 
Yameisha.
 
Kwa hili Diemond ache roho mbaya kama alikuwa anahitaji hasa shukrani asingechukua pesa zake mtu kalipwa pesa why ana muandama kuna watu wana comments sidhani kama hata wameangalia mahojiano ya Hamo
Yan mm na shiandwa kuelewa watu wa jamuhuri hii. Sidhan kama vidoes wameangalia kwa kwel. Kuna comment zingine unasoma unakna kabixa huuyu mwezi ni mchanga
 
Kwa hili Diemond ache roho mbaya kama alikuwa anahitaji hasa shukrani asingechukua pesa zake mtu kalipwa pesa why ana muandama kuna watu wana comments sidhani kama hata wameangalia mahojiano ya Hamo
Leo hii unashida ya Pesa na hauna ila unaenda kukopa kwa jirani na anakukopesha na wakati wa kurejesha huwa tunasema ahsante kwa mkopo wako na pesa ya marejesho hii hapa

Aliingia kwenye label kwa kusaini mkataba na kama aliona mkataba ni wa kinyonyaji na akaamua kuuvunja basi anajua sheria na taratibu za kuvunja mkataba wake

Nenda kamwambie afanye kazi nzuri na aachane na kutafuta public sympathy
 
Rudi na uende ukamuulize ni fitna gani hizo amefanyiwa?
Sina mda ila nitajibu swali lako kwa maelezo yake Hamo kazemat endapo atashirikiana kimuziki na wasanii wengine nyimbo hawaipigi Wasafi, wakisikia anataka kushirikiana na msanii wanaenda kuweka Fitna mbaya zaidi D anawatuma kina baba levo wamtukane ile video ya uchi wa Hamo, D alimtuma Van avujishe kwa ufupi.
 
We hivi unajua au unaelewa comments zangu au U timu umekuchanganya ubongo Tanzania hii hakuna msanii anayefanya vizuri wote ndio walewale mziki biashara na Fitna
 
Yan mm na shiandwa kuelewa watu wa jamuhuri hii. Sidhan kama vidoes wameangalia kwa kwel. Kuna comment zingine unasoma unakna kabixa huuyu mwezi ni mchanga
Mtu ukishajiwekea u timu kuna shida sana😀😀😀
 
Mbona unampambania Simba kiasi hichi, anakulipa.
 
Hiyo video ya Harmo ya uchi, huyo Van aliitoa wapi?

Kuna ulazima wowote wa video za Harmo kupigwa wasafi ndio ajulikane?

Kuhusu collaboration na Msanii wa nje kinacho matter huwa kiasi cha pesa utakachoweka mezani ili aimbe na ww, kumzunguka huko unakosemea ndio kupo vipi?

Kuhusu Babalevo kutumwa kumtukana Harmo, je vipi kuhusu mwijaku kumtukana Diamond kila siku anatumwa na nani?

Ukijiuliza haya maswali na kupata majibu yake nenda kamwambie msanii wako aache kutafuta public sympathy na aendelee kufanya kazi
 
Hapo kwa Shetta acha kabisa, ugomvi wao na waliyofanyiana acha tu chief, mengine noma [emoji3]
 
Msanii wangu mimi na simama kwenye ukweli Kifupi swala la Diemond kuwa na roho mbaya hata Ommy aliwahi kuzungumza hili hapendi msanii mwezie afanikiwe
 
Inasemekana jamaa alipigiwa mama yake kwanza,alichofanya yeye ni kulipiza tu,

jamaa kagombana na wengi tu ila watu hawaweki ugomvi wao na jamaa hadharani kwasababu wataonekana wao wanatafuta kiki na mashabiki maandazi watawaandama sana
Hii story ilinisikitisha sana, basi tu
 
We hivi unajua au unaelewa comments zangu au U timu umekuchanganya ubongo Tanzania hii hakuna msanii anayefanya vizuri wote ndio walewale mziki biashara na Fitna
Kwani ili msanii mpk afanye mziki mzuri hapa nchini Tanzania inabidi afanye kitu gani special, au afike level gani?, au apate mafanikio gani? Ili tuseme amefanya vizuri kwenye mziki

What are qualities of a good musician/Artist

Usikimbile kwenye mambo ya u team sijui nn, na hiyo ni point of weakness uliyonayo kichwani kwako
 
Msanii wangu mimi na simama kwenye ukweli Kifupi swala la Diemond kuwa na roho mbaya hata Ommy aliwahi kuzungumza hili hapendi msanii mwezie afanikiwe
Kwani Diamond ni nani mpk afike level ya kuzuia mafanikio ya mtu? Na uwezo huo anatoa wapi ili kuzuia hayo mafanikio

Kwahyo tuseme Ommy, sheta, Ney wa mitego, Rich maboko, Harmonize wote hawa mafanikio yao yameshikiliwa na D? How come?, Au yy ni Mungu

Use your brain girl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…