Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Konde ni yule Ex unaona kabisa ka move on ila bado anampenda bwana ake basi tu hawawezi kurudiana akikumbuka alivyotendwa ila anampenda na anakubali mchango wake kwenye maisha yake.
 
Mi simpendi Domo but hili limakonde hapa limezingua kinoma!....yaan likishavuta mabangi yake na miziki ikigoma linakuja kulipuka kwenye media za kukusanya airport [emoji57][emoji57]

Shame on him! Kwa mtu aliyekuokota jalalani kama lile jamaa lenye mijichoo

Hata kama Domo anamfanyia fitina lkn hatuon live kama yy, hili linamuota Domo asee!

Maanaake nini ? Ukorofiiii huo

Evelyn Salt
Sina timu ila nimeangalia mahojiano ya konde ana hoja ya msingi yeye amekubali kwamba D amemfanyia wema ila anachopinga D kuendelea kumuwekea vikwanzo hata kama mtu umemsaidia akishindwa kukupa shukrani ndio umtengeze zengwe la Fitina hii si sawa.
 
Harmonize ameyatoa ya moyoni ya muda mrefu mno. Amesema ukweli maana wanaendelea kumuandana na chawa wa Diamond anaowalipa kwa KAZI hiyo. Diamond ana wivu hataki mtu ampite au kufanikiwa. Kwa kuangalia tu usoni ana roho mbaya mno.
Sasa Harmonize amefanikiwa. Hao WCB si walisema atakufa kimziki? Mbona hajafa. Tena kwa elimu yake Darasa la 7 amepambana mpaka lugha ya malkia. Na akiendelea hivi miaka 3 ijayo atakuwa na English safi sana.
Yaani watanzania tujifunze kuwa na appreciation. Yaani ni kuongea negative tu. So far tulitakiwa tumsifu Harmonize yuko nje ya WCB lakini yuko vizuri na ninaamini atakuwa vizuri zaidi
Bravo #Harmonize#kondeboy#kondegang#tembo#Jeshii#AfroEast#Highschool.
Kwa hili Diemond ache roho mbaya kama alikuwa anahitaji hasa shukrani asingechukua pesa zake mtu kalipwa pesa why ana muandama kuna watu wana comments sidhani kama hata wameangalia mahojiano ya Hamo
 
Sina timu ila nimeangalia mahojiano ya konde ana hoja ya msingi yeye amekubali kwamba D amemfanyia wema ila anachopinga D kuendelea kumuwekea vikwanzo hata kama mtu umemsaidia akishindwa kukupa shukrani ndio umtengeze zengwe la Fitina hii si sawa.
Rudi na uende ukamuulize ni fitna gani hizo amefanyiwa?
 
Huyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.

Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.

Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.

Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.

Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.

Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.

Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
Yameisha.
 
Kwa hili Diemond ache roho mbaya kama alikuwa anahitaji hasa shukrani asingechukua pesa zake mtu kalipwa pesa why ana muandama kuna watu wana comments sidhani kama hata wameangalia mahojiano ya Hamo
Yan mm na shiandwa kuelewa watu wa jamuhuri hii. Sidhan kama vidoes wameangalia kwa kwel. Kuna comment zingine unasoma unakna kabixa huuyu mwezi ni mchanga
 
Kwa hili Diemond ache roho mbaya kama alikuwa anahitaji hasa shukrani asingechukua pesa zake mtu kalipwa pesa why ana muandama kuna watu wana comments sidhani kama hata wameangalia mahojiano ya Hamo
Leo hii unashida ya Pesa na hauna ila unaenda kukopa kwa jirani na anakukopesha na wakati wa kurejesha huwa tunasema ahsante kwa mkopo wako na pesa ya marejesho hii hapa

Aliingia kwenye label kwa kusaini mkataba na kama aliona mkataba ni wa kinyonyaji na akaamua kuuvunja basi anajua sheria na taratibu za kuvunja mkataba wake

Nenda kamwambie afanye kazi nzuri na aachane na kutafuta public sympathy
 
Rudi na uende ukamuulize ni fitna gani hizo amefanyiwa?
Sina mda ila nitajibu swali lako kwa maelezo yake Hamo kazemat endapo atashirikiana kimuziki na wasanii wengine nyimbo hawaipigi Wasafi, wakisikia anataka kushirikiana na msanii wanaenda kuweka Fitna mbaya zaidi D anawatuma kina baba levo wamtukane ile video ya uchi wa Hamo, D alimtuma Van avujishe kwa ufupi.
 
Leo hii unashida ya Pesa na hauna ila unaenda kukopa kwa jirani na anakukopesha na wakati wa kurejesha huwa tunasema ahsante kwa mkopo wako na pesa ya marejesho hii hapa

Aliingia kwenye label kwa kusaini mkataba na kama aliona mkataba ni wa kinyonyaji na akaamua kuuvunja basi anajua sheria na taratibu za kuvunja mkataba wake

Nenda kamwambie afanye kazi nzuri na aachane na kutafuta public sympathy
We hivi unajua au unaelewa comments zangu au U timu umekuchanganya ubongo Tanzania hii hakuna msanii anayefanya vizuri wote ndio walewale mziki biashara na Fitna
 
Yan mm na shiandwa kuelewa watu wa jamuhuri hii. Sidhan kama vidoes wameangalia kwa kwel. Kuna comment zingine unasoma unakna kabixa huuyu mwezi ni mchanga
Mtu ukishajiwekea u timu kuna shida sana😀😀😀
 
Leo hii unashida ya Pesa na hauna ila unaenda kukopa kwa jirani na anakukopesha na wakati wa kurejesha huwa tunasema ahsante kwa mkopo wako na pesa ya marejesho hii hapa

Aliingia kwenye label kwa kusaini mkataba na kama aliona mkataba ni wa kinyonyaji na akaamua kuuvunja basi anajua sheria na taratibu za kuvunja mkataba wake

Nenda kamwambie afanye kazi nzuri na aachane na kutafuta public sympathy
Mbona unampambania Simba kiasi hichi, anakulipa.
 
Sina mda ila nitajibu swali lako kwa maelezo yake endapo atashirikiana kimuziki na wasanii wengine nyimbo hawaipigi Wasafi,wakisikia anataka kushirikiana na msanii wanaenda kuweka Fitna mbaya zaidi D anawatuma kina baba levo wamtukane ile video ya uchi wa Hamo,D alimtuma Van avujishe kwa ufupi.
Hiyo video ya Harmo ya uchi, huyo Van aliitoa wapi?

Kuna ulazima wowote wa video za Harmo kupigwa wasafi ndio ajulikane?

Kuhusu collaboration na Msanii wa nje kinacho matter huwa kiasi cha pesa utakachoweka mezani ili aimbe na ww, kumzunguka huko unakosemea ndio kupo vipi?

Kuhusu Babalevo kutumwa kumtukana Harmo, je vipi kuhusu mwijaku kumtukana Diamond kila siku anatumwa na nani?

Ukijiuliza haya maswali na kupata majibu yake nenda kamwambie msanii wako aache kutafuta public sympathy na aendelee kufanya kazi
 
Aliyegombana nae hapo, kidogo labda unaweza kusema Ommy Dimpo...

Shetta hajagombana nae, bali katombewa mke wake... nae ni ya kujitakia!!

Yaani mtoto wa kiume, huku ukiwa na mke mzuri kutwa kutwa unashinda kwa vito.mbi... ukigongewa ulalamike?!!

Chanzo cha tofauti na Nay wa Mitego ambacho kinatafsiriwa kwamba ni bifu wala haikuwa bifu per se bali mitazamo ya kisiasa iliyokuwa imemfanya Diamond ajali zaidi maslahi yake kuliko ushikaji!!

Na tatizo lilianza wakati Instagram inawaka moto kweli kweli... huku akina Mange wakimshambulia Makonda na JPM, hususani baada ya issue ya dawa za kulevya...

As we all know, Mond alikuwa upande wa Makonda na Serikali kwa ujumla huku Nay wa Mitego kama umjuavyo, alifikia hadi kukamatwa kipindi kile kutokana na mashairi yake!!

Sasa katikati ya lile songombingo, Nay wa Mitego akaachia track... na haina haja ya kuumiza kichwa kutaka kufahamu kwa wakati kama ule Nay angeachia track yenye maudhui ya aina gani...

Mond, akashindwa kui-post ile ngoma ya Nay wa Mitego...

Yaani akaacha kui-post ngoma ya mshikaji wake kwa kile alichoamini angemkwaza Makonda na Presdaa kwa ujumla!!

Na kwavile Mond ni maslahi ya biashara zake kwanza, akaona "kama vp, poa tu"!
Hapo kwa Shetta acha kabisa, ugomvi wao na waliyofanyiana acha tu chief, mengine noma [emoji3]
 
Hiyo video ya Harmo ya uchi, huyo Van aliitoa wapi?

Kuna ulazima wowote wa video za Harmo kupigwa wasafi ndio ajulikane?

Kuhusu collaboration na Msanii wa nje kinacho matter huwa kiasi cha pesa utakachoweka mezani ili aimbe na ww, kumzunguka huko unakosemea ndio kupo vipi?

Kuhusu Babalevo kutumwa kumtukana Harmo, je vipi kuhusu mwijaku kumtukana Diamond kila siku anatumwa na nani?

Ukijiuliza haya maswali na kupata majibu yake nenda kamwambie msanii wako aache kutafuta public sympathy na aendelee kufanya kazi
Msanii wangu mimi na simama kwenye ukweli Kifupi swala la Diemond kuwa na roho mbaya hata Ommy aliwahi kuzungumza hili hapendi msanii mwezie afanikiwe
 
Inasemekana jamaa alipigiwa mama yake kwanza,alichofanya yeye ni kulipiza tu,

jamaa kagombana na wengi tu ila watu hawaweki ugomvi wao na jamaa hadharani kwasababu wataonekana wao wanatafuta kiki na mashabiki maandazi watawaandama sana
Hii story ilinisikitisha sana, basi tu
 
We hivi unajua au unaelewa comments zangu au U timu umekuchanganya ubongo Tanzania hii hakuna msanii anayefanya vizuri wote ndio walewale mziki biashara na Fitna
Kwani ili msanii mpk afanye mziki mzuri hapa nchini Tanzania inabidi afanye kitu gani special, au afike level gani?, au apate mafanikio gani? Ili tuseme amefanya vizuri kwenye mziki

What are qualities of a good musician/Artist

Usikimbile kwenye mambo ya u team sijui nn, na hiyo ni point of weakness uliyonayo kichwani kwako
 
Msanii wangu mimi na simama kwenye ukweli Kifupi swala la Diemond kuwa na roho mbaya hata Ommy aliwahi kuzungumza hili hapendi msanii mwezie afanikiwe
Kwani Diamond ni nani mpk afike level ya kuzuia mafanikio ya mtu? Na uwezo huo anatoa wapi ili kuzuia hayo mafanikio

Kwahyo tuseme Ommy, sheta, Ney wa mitego, Rich maboko, Harmonize wote hawa mafanikio yao yameshikiliwa na D? How come?, Au yy ni Mungu

Use your brain girl
 
Back
Top Bottom