Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Kuanzia Bob Junior,Shetta ,Ommy Dimpoz ,Alikiba ,Diva enzi hizo akiwa clouds ..hao wote kwanini Diamond tu? Vijembe aliyokuwa anamtupia Ruge na Mawingu sasa hivi ndo vinamrudia yeye.

Ajikaze tu ila hafai kama ni mfupa haufai hata kwa supu
 
Mnafiki ni rayvan
 
Fikiria hata kama ungekua ni wewe
umerudi kutoka Marekani na msweta wako unakutana na joto nyuzi 999... gogo lilikubana kwenye ndege unafika airport maji yamekata.

Albamu imebuma, umeme nao umekatika unarudi country wiz ameuza genereta la studio...lazma umuwaze simba
 
Magu alikuwa Rais wa wanyonge, na Hamonizer alikuwa mnyonge huoni Dimondi alivyomtishia kwamba hamuwezi kwa chochote

View attachment 2016146
Mkimuingiza huyo shetani wenu aliyepo kuzimu mtaharibu maudhui ya huu uzi.

Kama mnaamini hivyo mfuateni Gwajima amfufuwe kwa sababu Gwajima ana uwezo wa kufufuwa wafu.
 
Daaah[emoji28][emoji1787][emoji1787]
 
Inaonekana huyu mmakonde anatumia Wasafi kutafuta kiki na huruma kwa jamii

Kila siku yeye analia na wasafi tu utadhani walimuondolea na mdomo wa kuimbia

Move on kijana miaka miwili sasa bado unalilia kuonewa na wasafi?
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umeandika nini
 
Mwambieni kijana wenu a move on na maisha yake. Miaka miwili sasa kila akiona amepoa anaibuka na tuhuma wasafi walininyanyasa.......,, so what?

Ana lebo yake sasa kasini wasanii kibao anakwama wapi hadi abaki analilia mambo ya miaka miwili nyuma?
 
Watu leo wanasahau diamond alivyopitia kwa Bob Junior ,enzi hizo wimbo wa kwanza wa Ommy Dimpoz unasikika tu akajifanya chawa na kusukuma piki piki mbovu ya ommy Dimpoz inayozimika. Alivyosikika tu akajitenga.

Kila fighter ana njia zake za kutoka kwahiyo hata harmonize angetoka
 
Jamaa maku sana,unabana hadi collaboration zisitoke za Shomadjozi na master KG zisitoke.

Nasikia hata Darrasa walibana show yake Oman,wakasema jamaa waachane nae eti ni mvuta bangi.Roho mbaya sana Domo
hii ndo aina ya mashabiki wa harmonize et diamond kabania show ya darasa oman [emoji23][emoji23][emoji23]
kwamba ili uweze kufanya show unapita kwa D kuomba go ahead ama?
kila msaani kweny bio yake kaweka email na kwa msisitizo hua wana andika for booking contact ....@gmail/yahoo. 07×××
sasa iweje D azuie Darasa kwenda kufanya show?
mna akili ndogo kama ubongo wa sisimizi (middleF)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…