Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Harmonize anavyoongea utafikiri anatamani amtwange makofi Mond
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fighter kwa wamakondeNani huyo alikuomba uandike malala wewe , au unajitekenya na kucheka alone? Whatever the case Kondeboy ni fighter
HaterKuanzia Bob Junior,Shetta ,Ommy Dimpoz ,Alikiba ,Diva enzi hizo akiwa clouds ..hao wote kwanini Diamond tu? Vijembe aliyokuwa anamtupia Ruge na Mawingu sasa hivi ndo vinamrudia yeye.
Ajikaze tu ila hafai kama ni mfupa haufai hata kwa supu
Mnafiki ni rayvanIla Harmonize ni mnafiki sana yule jamaa pia anapenda sana kuonewa huruma na kuonekana mwema sana wakati sio kweli, yani wanaume mnaongea then wewe unarecord ili iweje? kanishangaza sana jamaa hivi leo hii hata akiwa na ishu sensitive nani mjinga anaweza kubali kuongea nae ikiwa anajua nitarecodiwa, yeye kaona vyema but kwa watu wenye akili kaharibu vibaya mno.
Kutwa kumsema diamond yeye akirudishiwa moja anashusha magazeti na press anaita hahaha.. kamchonganisha vanny na serikali enzi za paula leo tena anachonganisha serikali na Diamond.
Tumuone sasa akifikia ukubwa na diamond si katoka wcb mbona hakui yuko pale pale anaongezeka mwili tu.
Mkimuingiza huyo shetani wenu aliyepo kuzimu mtaharibu maudhui ya huu uzi.Magu alikuwa Rais wa wanyonge, na Hamonizer alikuwa mnyonge huoni Dimondi alivyomtishia kwamba hamuwezi kwa chochote
View attachment 2016146
Daaah[emoji28][emoji1787][emoji1787]Fikiria hata kama ungekua ni wewe
umerudi kutoka marekani na msweta wako unakutana na joto nyuzi 999... gogo lilikubana kwenye ndege unafika airport maji yamekata...
Albamu imebuma
umeme nao umekatika unarudi country wiz ameuza genereta la studio...lazma umuwaze simba
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umeandika niniMsikilizeni harmonize hadi mwisho alafu ondoa utimu kabisa .angalia kinachozungumzwa utagundua pale wcb kuna fitna kubwa sana .haswa hao wazee wakina fella.sallam hapo ni majungu na kuvunjiana nazi.mimi sipendi mziki na siwafuatiliii sana lakin alichoongea harmonize na alichofanyiwa manara simba kama vinataka kulandana hivi .sema tu manara hakulipa milion 600.
Kwa maelezo ya harmonize ni kuwa hapo wcb mondi anapelekeshwa na hao wenye vitambi .kuwa harmonize atamuua mond kimziki.ila hadi sasa mond sion anachoimba katika miaka hii miwili iloyopita
Full time
Harmonize 7 vs wcb 0
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Mwambieni kijana wenu a move on na maisha yake. Miaka miwili sasa kila akiona amepoa anaibuka na tuhuma wasafi walininyanyasa.......,, so what?Mimi mtu akisikiliza Interview ya Harmonize ya jana halafu bado anamtetea Diamond, napata wasi wasi wa akili yake.
Diamond ana roho mbaya hataki azidiwe, ila nyimbo zake nzuri mwee nazipenda sema karoho kake ndiyo maana hanenepi!!
Mtu anamkunjia mwenzie kama nini!! asingesaidiwa angefika alipo?
Watu leo wanasahau diamond alivyopitia kwa Bob Junior ,enzi hizo wimbo wa kwanza wa Ommy Dimpoz unasikika tu akajifanya chawa na kusukuma piki piki mbovu ya ommy Dimpoz inayozimika. Alivyosikika tu akajitenga.Diamond ametumika kama njia tu,na hata kama asingemsaidia harmo ni jambo la wakati tu.
Mtafutaji hachoki na akichoka kapata.
So naamin harmo hata asingesaidiwa na mond asingechoka.
Mfano kama angesikiliza ushauri wa kina ritta wa bongostar search ungekuta kashaachaga mziki zamani.
Wapigane tani yao!tushachoka siyeKabisaaa yaan [emoji23][emoji23]
Naona watu wanaropoka sana siku hizi....!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe umejua hili?
hii ndo aina ya mashabiki wa harmonize et diamond kabania show ya darasa oman [emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa maku sana,unabana hadi collaboration zisitoke za Shomadjozi na master KG zisitoke.
Nasikia hata Darrasa walibana show yake Oman,wakasema jamaa waachane nae eti ni mvuta bangi.Roho mbaya sana Domo
unafiki wake nini yeye kwa mda ule alikua upande wa Harmonize msanii mwenzie hapo unafiki uko wapi?Mnafiki ni rayvan