Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Aiseee!!! Inaumiza sana yaani ishu ya contract termination mpaka Rais aingilie kati, Diamond siyo mtu mzuri, kwanza angalia alivyo mkataa baba yake mzazi, angalia hizi za harmonize, na bado hatujui yaliyo chini ya kapeti huko.

Nchi ngumu sana hii.
 
Magufuri ameondoka tutajua ccm ina nguvu kiasi gani hapo 2025. Tuliokuwa upande wa Magufuri na si ccm tutajulikana hadharani tutaonyesha nguvu yetu
 
Diamond na ushirikina ni Kama chanda na Pete

Hata huyo Harmonize

Kimsingi wasanii wote unaowajua bongo fleva na bongo movies washirikina kishenzi

Wananuka matunguli

Wengine wamepikwa kwenye vyungu

Huwezi amini hata hao wanaojifanya smart and classy ni wazee wa vilinge Kama kawa.

Labda wale wa hip hop Ila nao kuna wazee wa matunguli Kama kawa
 
Hivi harmo alivyotoka wasafi si diamond aliendelea kumsuport tena akawa anapiga ngoma zake kwenye media? Harmo alivyoanza kumtumia hbaba sijui mwijaku kumtukana diamond ndo mambo yalipoharibika sasa diamond kujibu mapiga anaonekana mbaya?
Chawa kila comment unadakia ,duuh haya tumekuelewa mama tiffah
 
HARMONIZE NDIO ALIKUWA ANAINYONYA WCB SABABU,KITENDO CHA KUPEWA 40% WAKATI PALE LEBO INATAKIWA IJIENDESHE NI UNYONYAJI, ILIPE KODI MBALIMBALI,ILIPE WAFANYAKAZI,IBOLESHE VIFAA VYA STUDIO,MALADHI KWA WASANII WAKE WAKATI WA KUSHOOT,KUENDESHA TAMASHA LAO, NA NK ,
MJADALA UISHE,
 
Nimemkubali na nitaendelea kumkubali Harmonize kwa hili la kuvunja mkataba kwa amani tu yaani kalipa milion 600. Kuna msanii gani hapa Tz mwenye ubavu kama wa kufanya jambo hili bila kuteteleka kiuchumi?

Big up Harmonize kwa kujiajiri, sasa hivi unapata 100% ya jasho lako kuliko kuendelea kukatwa tozo ya 60% ya mapato kwakweli inaumiza sana
 
Daah leo umeongea kiume Sana ,hizi ndio nondo za kiume Sasa hujaegemea upande ,kongole Sana mwamba
 
1.pesa ya kuvunja mkataba ilitolewa na sayona crdb bank na jembe ni jembe sio kama tulivyoaminishwa kuwa sarah alihusika
2.diamondi ni mtu mwenye roho mbaya sana rejea kauli za ommy dimpoz,belle 9 ,shettah rich
Naunga mkono huu uzi 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…