Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

I'm too old to subscribe in this kind of shit
 
Wee!kiba yupi?mbona kashampondaga sana mondi!angalia interview yake na mkasi TV miaka kadhaa nyuma!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mwisho kabisa ,"sura ya mond inaonesha Hana furaha kabisa japo yupo na utajiri ,anakula ngada huyu jamaa"
Well said. Mwisho wake unakuja na utachangiwa na laana za aliowatesa. Yaani Jana Harmonize alilia na Mimi Jitu zima nikainamisha kichwa kwa huzuni mno. Harmonize kiumri ni mdogo kupita my last born. Nimeona upambanaji wake. Alikaa kimya kiume kabisa huyu. Wakamchokonoa akaamua kutapika ukweli. Bravo Harmonize.
 
Nimesikiliza intavyuu ya konde boi!daah!!nimegundua Salaam na tale wale ni wachawi na wanamroga sana dogo!!wale mambwa tena mambwa mwitu!wanajifanya wema kumbe mashetani sana wale ndo wanamfanya simba aonekane mbaya!!na yeye anajaa...daahh!term until contract mpk apigiwe simu rais?!!looohh!

Hii dunia sio kabisaa....heshma ndogo nlokua nawapa nimeondoa shenzy hawa!![emoji19][emoji19][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]!!!!maksai kabisaaa....!!!
Ht Vannyboi wala hawampendi sema wanaogopa akiondoka na yeye watu watajua ukweli lakini ipo siku ,waswahili wanasema La kuvunda halina ubani!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Nasikia kila mwezi anachinja kondoo
Nina mtu wa karibu na ile familia ya Diamond. Yaani ushirikina umezungukwa kila biashara. Mama yake na bàadhi ya machawa wanatumwa kwenda kuloga. Waganga wanakuja nyumbani na kwenye biashara zake. Alimtishia Harmonize kuwa kwa Uchawi hamtamuweza.
Hivyo hata show zake zinajazwa kimisukule tu. Anatumia ndumba mpaka za Nigeria ili kuvuta mashabiki.
 
Chukua ten mkuu. Umeiweka vizuri mno. Kifupi harmonize ni chuma cha pua. Walitaka kukimaliza wakashindwa. Konde anachanja mbuga kama Tembo mwenyewe kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wamevurugwa na jua kali, plus mgao wa umeme na maji bas ni varangati tupu lol.
Hahah...jumlisha bando liko juu we!you tyubu kwa manati!!

Yaani huu mgao wa umeme mwaka huu tutaomba poo!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…