Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Halafu hyo no 7 ndo ukweli mtupu,jamaa alilazimisha sana kukaa kwenye nyimbo ya "KWANGWARU" ilitakiwa akae davido lkn kijana wa tandale akatumia uboss wake kukaa kwenye ngoma kinguvu[emoji12]
Mond ana wivu. Sura yake inaonesha kabisa kuwa na karoho kakorosho ka kwa nini. Aendelee tu kuloga. Ila awe Makini asije eenda kinyume na masharti ya uganga na Freemason.
 
wale wazee ni wachawi inawezekana hata dimaond mwenyewe wamemloga ili asiwazingue, halafu wanajua kufitinisha
 
wale wazee ni wachawi inawezekana hata dimaond mwenyewe wamemloga ili asiwazingue, halafu wanajua kufitinisha
Yaani amekula limbwata mondi mpk baasi...wanamroga na kumchonganisha ila ipo siku tu kaahh!!nipe mkono nipe mkono!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Tena sallam na lile bichwa, kwenye msiba wa nan alikataa kusalimian na konde boy, lina roho mbaya lile jitu, sjui likoje khaaah
SK lazima akatae kumpa mkono maana mbinu zao za kichawi zishafeli,chezea Chitoholi moko weyee...wao km wa magharibi,mwenzao kusini!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] domokaya kavurugwa nyie jaman.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]yaani mmesikiliza intavyuu daahh!yaani kiukweli kushangaa lazima unabaki[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]....kavurugwa mpk baasi!
Ila Mondi mi bado nasema SK na yule mgane wa taifa ndo wachawi wake!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Halafu hyo no 7 ndo ukweli mtupu,jamaa alilazimisha sana kukaa kwenye nyimbo ya "KWANGWARU" ilitakiwa akae davido lkn kijana wa tandale akatumia uboss wake kukaa kwenye ngoma kinguvu[emoji12]
Lengo aonekane anawabeba
 
Kumbuka Diamond naye ni Binaadam. Unaweza kumsaidia mtu then ukaona naye anakaribia kupata umaarufu kama wako au zaidi.

Kwa tathimini yangu naona Diamond ni hofu tu na wivu kwa kasi ya umaarufu wa Kondeboy. Na ni kweli mashabiki wengi walishaanza kumfagilia Konde kwa kumlinganisha na Boss wake.

Hata Huyo Rayvanny pamoja na kwamba anafanya vema lakini sio Tishio kwa Mond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…