Nimesikiliza intavyuu ya konde boi!daah!!nimegundua Salaam na tale wale ni wachawi na wanamroga sana dogo!!wale mambwa tena mambwa mwitu!wanajifanya wema kumbe mashetani sana wale ndo wanamfanya simba aonekane mbaya!!na yeye anajaa...daahh!term until contract mpk apigiwe simu rais?!!looohh!
Hii dunia sio kabisaa....heshma ndogo nlokua nawapa nimeondoa shenzy hawa!![emoji19][emoji19][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]!!!!maksai kabisaaa....!!!
Ht Vannyboi wala hawampendi sema wanaogopa akiondoka na yeye watu watajua ukweli lakini ipo siku ,waswahili wanasema La kuvunda halina ubani!!
Sent from my Infinix X559C using
JamiiForums mobile app