Yaani nimeshangaa sana[emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji16]!!!Leo Harmo anashambuliwaa balaaa...Teh teh teeeeh!!
Mbona clouds hamkuwatetea hivyo hivyo[emoji1787][emoji1787]
Chige I know you duude....unampenda mnoo diamond tena haswaa and I can understand you vzr tu because Kwa mafanikio yake Dangote ktk carrier ya mziki Afrika mashariki hakuna alomfikia Ila hatuacho kusema ukweli ile team yake Salaam,tale tale na wengineo wale jamaa they r good in business lakini wana roho mbaya!Hivi ukiacha hao waliotajwa, hao wengi ni akina nani?!
Tatizo watu wanachanganya kati ya ugomvi na issue za kibiashara...
Kwa mfano, kulikuwa na misunderstanding kati ya Diamond na EATV... that's purely business!!!
Na EATV walikasirika zaidi baada ya kuandaa tuzo za muziki lakini Wasafi wakawaondoa wasanii wake wote waliokuwa nominated including Mond mwenyewe!!
Zile tuzo zikafia hapo hapo!!
Sasa sijui katika kulinda ajira ama vp, baadhi ya Watangazaji wa EATV wakauchukua ugomvi wa EATV na Diamond, wakaufanya wao!!
Wafanyakazi wa shishifood!ndio kina nani hapa daslamu mjini?
Kwa hilo la Nay wa Mitego siwezi kuita kukosekana... it's all about kulinda maslahi yake!!!Sawa ndo tayari ana shida sasa!kwanini akosane na hao washkaji zake wote ht kwa hayo makosa madogo au makubwa pia!
Tulikuwa tunasema au una-assume kwamba tulikuwa tunasema?!Mlikua mnasema Ruge mnyonyaji kwa dai imekua tofauti...!!![emoji55][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji1]
Kama akina nani kwa mfano?!Nazungumzia wasanii wenzie achana na hizo mambo za clouds sijui eatv
Hii nchi wewe tengeneza tu kigenge chako cha watetezi kama alivyofanya mwendazake yaani hata ukianguka watasema umeamua kulala chini upumzike kidogo. Ndio hii ya mondi sasa. Hawa wasanii wao wana majina makuuubwa ila mafanikio yao kimaisha hayaonekani.Yaani nimeshangaa sana[emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji16]!!!Leo Harmo anashambuliwaa balaaa...
In short diamond,sallam ,tale tale(anaacha kuhudhuria bungeni anahangaika na kina Vannyboi ulaya...mpk anakosea kutaip ndege anaadika nyege[emoji4][emoji4][emoji16][emoji16][emoji16])wanyonyaji wakubwa sana kimziki ingawa ktk mafanikio Mondi is no 1,2,3,4.....hilo sikatai Ila hatuachi kusema ukweli kwamba ni wanyonyaji na dream killers tooo!!! Mavoko yuko wapi Leo?!!!
Issues ya Dai na Ruge na Dai na Harmo tofauti, Ruge hakumtoa kimziki wala kuwekeza hela yake Diamond, ilikuwa ni biashara. Kama hujui Mondi alifukuzwa THT kipindi yupo underground. Aliye wekeza hela na kumwamini Diamond Papa Misifa na alipo vunja mkataba Diamond alimlipa milion 50 (alizungumza papa Misifa kwenye Shilawadu),Ruge na Mondi ni kama wafanya biashara.Sawa ndo tayari ana shida sasa!kwanini akosane na hao washkaji zake wote ht kwa hayo makosa madogo au makubwa pia!
Mlikua mnasema Ruge mnyonyaji kwa dai imekua tofauti...!!![emoji55][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji1]
Man,Chige I know you duude....unampenda mnoo diamond tena haswaa and I can understand you vzr tu because Kwa mafanikio yake Dangote ktk carrier ya mziki Afrika mashariki hakuna alomfikia Ila hatuacho kusema ukweli ile team yake Salaam,tale tale na wengineo wale jamaa they r good in business lakini wana roho mbaya!
Tuzo mshindi anajulikana na hata hizi team za muziki zilianza kwenye tuzo za Kilimanjaro Kiba, Jokate na Wema plus Mange ndio walio haribu hizi tuzo.Hivi ukiacha hao waliotajwa, hao wengi ni akina nani?!
Tatizo watu wanachanganya kati ya ugomvi na issue za kibiashara...
Kwa mfano, kulikuwa na misunderstanding kati ya Diamond na EATV... that's purely business!!!
Na EATV walikasirika zaidi baada ya kuandaa tuzo za muziki lakini Wasafi wakawaondoa wasanii wake wote waliokuwa nominated including Mond mwenyewe!!
Zile tuzo zikafia hapo hapo!!
Sasa sijui katika kulinda ajira ama vp, baadhi ya Watangazaji wa EATV wakauchukua ugomvi wa EATV na Diamond, wakaufanya wao!!
🤣🤣🤣 Konde mnyonyaji.Harmonize alikua ana wanyonya WCB, ina kuaje msanii anachukua 40%?
Pale pale waandishi wange muuliza wasanii wake Konde Gang wana mikataba ya miaka mingapi? na wanakatwa asilimia ngapi?Manake kaongea ya WCB ila ya label yake hayaja ya ongea.Jamaa kanishangaza sana yaani mtu anakuchukua hujulikani umekataliwa mpaka kwenye shindano kubwa huna kitu ,anakulisha,anakuvisha,unarekodi bure,unashoot video za gharama bure,production bure ma promo bure mwisho wa siku anakupa 40% ya unachoingiza bado unaleta shombo..duh hapa Konde nimemkataa.
Upumbavu si ni watu ndio wanapiga kura? Alishindwa acheni visingizioTuzo mshindi anajulikana na hata hizi team za muziki zilianza kwenye tuzo za Kilimanjaro Kiba, Jokate na Wema plus Mange ndio walio haribu hizi tuzo.
Wanamnyima tuzo ya mburudishaji bora Kilimanjaro mwezi wa sita, mwezi wa 7 2015 ana chukua tuzo ya mtumbuizaji bora MTV MAMA.
Ndio maana akaamua kujitoa kwani si lazima kushiriki tuzo hata ulaya baadhi ya wasanii hujitoa.
Nakumbuka kiroja cha zile tuzo...Tuzo mshindi anajulikana na hata hizi team za muziki zilianza kwenye tuzo za Kilimanjaro Kiba, Jokate na Wema plus Mange ndio walio haribu hizi tuzo.
Wanamnyima tuzo ya mburudishaji bora Kilimanjaro mwezi wa sita, mwezi wa 7 2015 ana chukua tuzo ya mtumbuizaji bora MTV MAMA.
Ndio maana akaamua kujitoa kwani si lazima kushiriki tuzo hata ulaya baadhi ya wasanii hujitoa.
Chawa wa Mondi wote hao kaka.. Boss wao anakula sembe wanajichekesha tu na kumjaza.. Harmonize wanamuonea tu Diamond ana shida sana basi tu rejea ugomvi wake na Shetta, Ommy Dimpoz n.kJe mtu kusema yake ya moyoni ndio kigezo cha mziki kumshinda?
Sidhani kama uwezo wako wa kufikiri ndio umefikia kikomo na kufikia hilo hitimisho eti muziki umemshinda.