reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Yaani nimeshangaa sana[emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji16]!!!Leo Harmo anashambuliwaa balaaa...Teh teh teeeeh!!
Mbona clouds hamkuwatetea hivyo hivyo[emoji1787][emoji1787]
In short diamond,sallam ,tale tale(anaacha kuhudhuria bungeni anahangaika na kina Vannyboi ulaya...mpk anakosea kutaip ndege anaadika nyege[emoji4][emoji4][emoji16][emoji16][emoji16])wanyonyaji wakubwa sana kimziki ingawa ktk mafanikio Mondi is no 1,2,3,4.....hilo sikatai Ila hatuachi kusema ukweli kwamba ni wanyonyaji na dream killers tooo!!! Mavoko yuko wapi Leo?!!!