Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo video hapo juu hamo anajibu vijembe vya domo.Aliyeanza vijembe ni Harmonize na Dimondi alikuwa kimya akarudisha majibu kwa kumuita mjomba nchumali, Harmonize akatoa wimbo wa Wapo akiwa analalamika.
Juzi huzi tena kwenye album yake karusha vijembe vya kutosha, kasema mpaka yeye ana nguvu ya kumuua simba akamuita Rayvanny paka anayejiita chui, Dimondi akarusha kijembe eti mihadharati jamaa akajaa upepo akaandika gazeti na press conference juu....mtu pekee anayemuweza Dimondi na WCB ni King Kiba....utamrushia vijembe na yeye anakutumia kijembe hajai upepo tena kuna muda anakufanyia dharau wazi wazi kabisa [emoji205]
Hainishtui, Kushoto kulia, hujani komoa ,Diamond alijibu baada ya nyimbo ya "Ushamba ",kupitia bado sana na ndipo jina la Mjomba mchumali kilipo ibuka baada ya Harmo kumwita "Simba Zee".Mashabiki wa Diamond wanapenda kumuattack Harmonize kwasababu wana tabia ya kuwa na chuki zao tu.
Hata kabla hajasema mimi nilijua mkorofi ni domo kutokana na scenario moja niliyowai ishuhudia kati yao hapo nyuma. Harmonize ni mstaarabu sana ila mashabiki wa domo wanamfatafata sana.
Lakini dogo amesimama vema sasa hawataweza kumwangusha zaidi ya kumwongezea fans.
Kwa watoto hawa wadogo wanaokua sasa wanamfaham zaidi hamo kuliko domo.
Mashabiki wa domo wanazeeka wakati mashabiki wa amo wanakua.
Hivyo mahesabu yanaonyesha ni wapi hawa miamba wawili wanaelekea.
.Hainishtui, Kushoto kulia, hujani komoa ,Diamond alijibu baada ya nyimbo ya "Ushamba ",kupitia bado sana na ndipo jina la Mjomba mchumali kilipo ibuka baada ya Harmo kumwita "Simba Zee".
Sasa dogo amesimama vema mbona analamika kila siku, yy afanye mziki wake awa prove watu kupitia hadhi ya shows anazopata,Streams, Collabo na Nomination kubwa,sio maneno dunia ya sasa ukifanya vizuri unaonekana.
Kiba katoa album 5 weeks mfululizo Boomblay namba moja.
Hainishtui, Kushoto kulia, hujani komoa ,Diamond alijibu baada ya nyimbo ya "Ushamba ",kupitia bado sana na ndipo jina la Mjomba mchumali kilipo ibuka baada ya Harmo kumwita "Simba Zee".
Lakini ameajiri watu na anahudumia famila yake vizuri. Amesema kamjengea mamake na kamnunulia gari. Hongera kwake kwa hayo mambo makubwa.Hainishtui, Kushoto kulia, hujani komoa ,Diamond alijibu baada ya nyimbo ya "Ushamba ",kupitia bado sana na ndipo jina la Mjomba mchumali kilipo ibuka baada ya Harmo kumwita "Simba Zee".
Sasa dogo amesimama vema mbona analamika kila siku, yy afanye mziki wake awa prove watu kupitia hadhi ya shows anazopata,Streams, Collabo na Nomination kubwa,sio maneno dunia ya sasa ukifanya vizuri unaonekana.
Kiba katoa album 5 weeks mfululizo Boomblay namba moja,tunataka figure hizo sio maneno, ww namba moja hata kufanya show za clubs hapa Tz hufanyi vizuri, tours yake ya mikoa 19 konde in da Clubs ambayo aliitangaza mwanzoni mwa January mwaka huu kapiga mkoa mmoja, baadae kasema, anaumwa Daktari kamshauri apumzike,kumbe shows zimebuma.
Hapo uliposema kuwa Mond ndo aliyeanza vijembe kwa harmo, ndio point ambayo imenifanya nione kuwa unaongea kishabiki tu.Sitaisema kwasababu zangu binafsi. Lakini siku ile nilishangaa kuona domo anaonyesha chuki kiasi kile kwa mtu ambaye nilijua ni tim yake,, baadae nikaambiwa dogo amejitoa huko pengine ndio sababu. So hata baadae nilikuwa nikisikia story zao nilikuwa nakumbuka hiyo issue najua kuwa nani ni tatizo.
Na domo ndo alianza vijembe kama una kumbukumbu vizuri.
Na unga ndo haufai kabisa heri mihandaratiSema matumizi ya mihadarati sio mazuri hasa kwa mashabiki wake kushindwa kumwambia ukweli wake Mjomba Nchumali
Kwani nani amesema haja ajiri mtu, aache number ziongee na si kelele.Lakini ameajiri watu na anahudumia famila yake vizuri. Amesema kamjengea mamake na kamnunulia gari. Hongera kwake kwa hayo mambo makubwa.
Mlikuwa mnasema anajipendekeza akimtaja kwenye nyimbo zake. Unakumbuka?Hapo uliposema kuwa Mond ndo aliyeanza vijembe kwa harmo, ndio point ambayo imenifanya nione kuwa unaongea kishabiki tu.
Harmonize katoka WCB naenda kuachia Album Mond akashare akaonekana ana shobo, baada ya hapo Mond akaandaa shoo kigoma ya bila kiingilio harmo nae akaitisha shoo mtwara yenye kiingilio Kisha baada ya shoo akadai yéyé kafanya shoo na watu wamelipia sio kama ule mkutano wa hadhara (shoo ya mond)
Katika ngoma zote alizotoa harmo tangu atoke WCB, kama hakuna yenye kijembe kwa Mond basi hazizidi mbili, zote ni vijembe tupu.
Kumbe amesema? Nilifikiri umeona.Lakini ameajiri watu na anahudumia famila yake vizuri. Amesema kamjengea mamake na kamnunulia gari. Hongera kwake kwa hayo mambo makubwa.
So much hate. You will burnKumbe amesema? Nilifikiri umeona.
Kama ni kusema, nafikiri hata ile Audi ya kijani alisema ni yake, baadae tukasikia ni ya sugar mummie wake.
Tulisena hivyo kwakua alimtaja baada ya kuwa ameshampiga vijembe vya kutosha bila kujibiwa. Unakumbuka ???Mlikuwa mnasema anajipendekeza akimtaja kwenye nyimbo zake. Unakumbuka?
Huwezi kumzuia mtu kusema, ila Mondi ushawahi kumsikia akisema hivyo.Mlikuwa mnasema anajipendekeza akimtaja kwenye nyimbo zake. Unakumbuka?
Hate zote hizo kwasabu gani?Tulisena hivyo kwakua alimtaja baada ya kuwa ameshampiga vijembe vya kutosha bila kujibiwa. Unakumbuka ???
Hata hili hatajibiwa, ili tuone litamsaidiaje kimziki.
If saying the truth is taken as hate, then we gotta burn forsure.So much hate. You will burn
huyu naye kwa kuvaa takataka
Wewe umeleta hoja nimekujibu umekimbia kwenye swala la HATE, ulitaka nikujibu vipi ili nisionekane kuwa nina chuki?Hate zote hizo kwasabu gani?