Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Kile kipindi ambacho Mo aliongea shit kwenye video conference ya chama, mimi sikukubaliana na ishu hiyo eti kwakua yeye ni tajiri basi ugomvi wake yeye na manara anataka iwe hivyo hivyo na kwa wachezaji eti kwakua yeye ndio anawalipa mishahara

Na ndio maana magufuli alisema kwenye utawala wake tajiri anaweza kufanywa chochote, na jamii ilishangazwa kwasababu haikua kawaida kuona tajiri akiwajibishwa

We must stop being asskissers, mtu asemwe madhaifu yake bila kujali wadhfa wake, hii tabia ya kuona watu waliosaidiwa na matajiri wao kua ndio wenye wajibu wa kuwa wanyonge hata pale ambapo wanaonewa dhana hii ina mentality ya kitumwa
Hahaha mbona hata wewe una bias na matajiri, acha nongwa tajiri kupambana kuzipata tafta na wewe zako utambe. Kuwa neatral ujenge hoja inayoeleweka kama ni ushauri au maoni
 
nimechoka kubishana ujinga
mbona basi alipokosa tuzo za kili je kina mange hao waliwashikia.kura mashabiki wasimpigie kura diamond nchi nzima?

unachoongea ni nonsense
Ndio kisha jitoa kwani tuzo bila Mondi hazifanyiki wapo wasanii kibao,wanaweza shiriki.
 
Ndio tatizo la wabongo unakomment kitu wakat undani wake hujui ,Ni wapi harmo kasema anaibiwa? Yeye alikubal kiroho Safi hiyo 40 na kapambana Sana awe sawa na mond Ila mondi akawa kiburi ,issue ya harmo Wala sio hiyo 40 ,nenda kasikilize interview alafu uje kukoment upya ,ushabik utawaua nyie wanaume wa dar .
Kasome comment niliyo mjibu then utaielewa hii.
 
Mondi ni mswahili haswaa, kwani yeye hamjui, kipindi yuko wcb si aliona kilichokuwa kinamsibu ali kibakuli.

Mmakonde ni msanii mzuri, wasiwasi wangu ni kama anaweza kujiendesha kibiashara na kama pia anaiweza vita ya kibiashara. Diamond yuko smart katika vitu hivi, mmakonde anasafari mdefu kidogo, lakini anajitahidi anatoa ngoma tamu ni vile watu wako kwenye masuala ya utimu.

Ingekuwa Ni zaman kwa figisu za mond, KONDE angekuwa ashazikwa kitambo sema ndio Ivo saiz utandawaz ndio shida utambania redion watu wapo YouTube ,watu wapo insta ,watu wapo boom huko ,kwa kifupi yule mmakonde kwasasa hawezekanik Hilo ni tishio kwa dai.

Sasa wameona waje na plan B ,Ila naamin hawez kumshusha uzur yuko na watu smart km akina jembe Ni jembe elimu imelala pale alafu Raman za mjin jembe Ni jembe anazijua sana tu ,kikubwa harmo akazane kutoa mawe ya kutosha kila mara
 
Ingekuwa Ni zaman kwa figisu za mond, KONDE angekuwa ashazikwa kitambo sema ndio Ivo saiz utandawaz ndio shida utambania redion watu wapo YouTube ,watu wapo insta ,watu wapo boom huko ,kwa kifupi yule mmakonde kwasasa hawezekanik Hilo ni tishio kwa dai ,Sasa wameona waje na plan B ,Ila naamin hawez kumshusha uzur yuko na watu smart km akina jembe Ni jembe elimu imelala pale alafu Raman za mjin jembe Ni jembe anazijua sana tu ,kikubwa harmo akazane kutoa mawe ya kutosha kila mara
Wakati huo diamond mameneja wake darasa la saba
 
Ila watanzania tuna shida sana, unamshangaa harmonize kwa lipi English sio first language kwake, hatakama anaimba broken ameonyesha uthubutu

Kukosoa kila kitu ndo kunawapa uoga hata watoto wetu kujaribu wakijua wakikose watakutana na mashambulizi ya kukoselewa tuna jamii ya ajabu sana

Suala sio first language hata ingekuwa ni fourth language, kwa msanii mkubwa kama yeye anatakiwa aimbe kitu kinachoeleweka, angekuwa hata na mtu anayepitia hizo verse zake na kumpa ushauri, shida ni kwamba anaimba kitu ambacho huko kwenye ngazi za kimataifa hakieleweki na huku kwetu sisi waswahili tunajikuta hatuelewi.

kwa level yake sio muda wa kuonyesha uthubutu ni muda wa kufanya kitu kinachoeleweka kama anataka kutoboa kimataifa maana mziki wetu waliopo kwenye mainstream lugha ni shida ila wenzake wanajitahidi kuficha kidogo madhaifu yao kwenye hiyo lugha ya mzungu
 
Harmonaize ni kijana Muoga na mbinu anazotumia kufanya media bias ili ahurumiwe nizakijinga. Fitina ni kitu cha kawaida kama mtoto umemkuza mwenyewe harafu anaanza kukujambia hua inauma hata kama ungekuwa wewe. Kijana atulie tu asioneshe kujitutumua , afanye kazi kwa weledi na sio mambo ya disi kwenye nyimbo zake, kushtumiana ni ujinga tu, kijana ana kipaji apambane kuongeza kipunda kusaidia wenzake kama alivyo saidiwa
Angekuwa muoga wa kutaka Kiki angeongea siku zile nyuma wakati anatoka. Tatizo watu ni uteam unawasumbua hata kwenye kweli mnabaki kumponda mtu
 
Ingekuwa Ni zaman kwa figisu za mond, KONDE angekuwa ashazikwa kitambo sema ndio Ivo saiz utandawaz ndio shida utambania redion watu wapo YouTube ,watu wapo insta ,watu wapo boom huko ,kwa kifupi yule mmakonde kwasasa hawezekanik Hilo ni tishio kwa dai ,Sasa wameona waje na plan B ,Ila naamin hawez kumshusha uzur yuko na watu smart km akina jembe Ni jembe elimu imelala pale alafu Raman za mjin jembe Ni jembe anazijua sana tu ,kikubwa harmo akazane kutoa mawe ya kutosha kila mara
Hiyo vita mmakonde mchanga sana he has no match with diamond the dude is very strategic.

Anachokifanya mmakonde ni ujinga tu kwa sababu vita anaeweka wazi hivyo inaweza kumplekea kukosa baadhi ya madili ya ndani.

Mashabiki zake mpeni ushauri mwamba mbinu anazotumia kuua character ya mondi utamchafua yeye hata kama ana haki
 
Ingekuwa Ni zaman kwa figisu za mond, KONDE angekuwa ashazikwa kitambo sema ndio Ivo saiz utandawaz ndio shida utambania redion watu wapo YouTube ,watu wapo insta ,watu wapo boom huko ,kwa kifupi yule mmakonde kwasasa hawezekanik Hilo ni tishio kwa dai ,Sasa wameona waje na plan B ,Ila naamin hawez kumshusha uzur yuko na watu smart km akina jembe Ni jembe elimu imelala pale alafu Raman za mjin jembe Ni jembe anazijua sana tu ,kikubwa harmo akazane kutoa mawe ya kutosha kila mara
Wakati huo diamond mameneja wake darasa la saba
 
Hapana sio kiki, amezungumza ukweli ambao hajawahi kuzungumza kwenye media yeyote
Ni mara yangu ya kwanza kumsikiliza akiongea muda mrefu namna hii, nilichogundua kwake anajua kujieleza tofauti na wasanii wengi.

Hata kama nyimbo zake si nzuri kuzidi za Diamond mshirika na boss wake wa zamani na mshindani wake wa sasa katika muziki, kwa namna anavyoongea ni MUUNGWANA na watu wengi nadhani wanamuhukumu pasi kujua uhalisia wa mambo.
 
Mondi ni mswahili haswaa, kwani yeye hamjui, kipindi yuko wcb si aliona kilichokuwa kinamsibu ali kibakuli.

Mmakonde ni msanii mzuri, wasiwasi wangu ni kama anaweza kujiendesha kibiashara na kama pia anaiweza vita ya kibiashara. Diamond yuko smart katika vitu hivi, mmakonde anasafari mdefu kidogo, lakini anajitahidi anatoa ngoma tamu ni vile watu wako kwenye masuala ya utimu.
Utimu unaharibu sana Sana'a...akina Barnaba wameishia njiani,aslay n.k Marioo yaani anaumiza kichwa sana majimbo yake kama angekua wasafi angekua juu zaidi.

Mi nashabikia mziki mzuri utimu sinaga Mimi, Na baba Zuu ajipange haswà sio kipolepole mpk atoboe!
 
Hiyo vita mmakonde mchanga sana he has no match with diamond the dude is very strategic. Anachokifanya mmakonde ni ujinga tu kwa sababu vita anaeweka wazi hivyo inaweza kumplekea kukosa baadhi ya madili ya ndani. Mashabiki zake mpeni ushauri mwamba mbinu anazotumia kuua character ya mondi utamchafua yeye hata kama ana haki
Ukweli umejulikana mambo ya kutetea ujinga wenu hayapo sasa.

Kiufupi watu wameshajua Diamond mkunjaji
 
Angekuwa muoga wa kutaka Kiki angeongea siku zile nyuma wakati anatoka. Tatizo watu ni uteam unawasumbua hata kwenye kweli mnabaki kumponda mtu
Mbona mgumu kuelewa wakati kitu kipo wazi, ukianza kulia mbele ya camera sio ukomavu huo, mziki ni biashara hujuma zipo mondi nae sio mjinga, angalia kipa anavyojiweka mbali na mondi anajua dogo ni nyoka. Aacha kulialia mwanajeshi shupavu anafia vitani sio kutafuta huruma kwa adui yako
Angekuwa muoga wa kutaka Kiki angeongea siku zile nyuma wakati anatoka. Tatizo watu ni uteam unawasumbua hata kwenye kweli mnabaki kumponda mtu
 
Na shida ni wale kina Salaam wale ndo mambwa kabisa wale tena wale hata Diamond wenyewe hawampendi baasi tu wanaishi nae kinaafk...walimtoa ruge kwenye ramani ili wabaki nae wao tu kimaslahi zaid,wanataka atawale milele peke yake kimziki kitu ambacho hakiwezekani..
Hizi kelele ndo zinazidi hizi sio kua zinaanza zitafika mwisho siku si nyingi hata kama miaka5 ijayo...!!!
Ingawa kwa sasa team Mondi hawataelewa,watakuja kuelewa siku akitoka msanii mwingine pale WCB kinachofanya wengineo wakae kimya wanaogopa kupoteza ushosti na kualikwa kwenye Ep za wasafi tu ila LA kuvunda halina ubani....!!!
Ungekuwa wewe usingetaka mameneja ambao wanawaza utawale milele? Au unafikiri wanalipwa kwa kazi gani
 
Ukweli umejulikana mambo ya kutetea ujinga wenu hayapo sasa.

Kiufupi watu wameshajua Diamond mkunjaji
Diamond sio malaika ni kama mimi na wewe, ana roho inaweza kuwa nzuri au mbaya ila mmakonde hana mbinu za kivita ndio maana analia hovyo anadhalilisha Jina jeshi, diamond mwenyewe kapigwa vita Sana mpaka media kubwa kumbania lakini ali survive.

Mmakonde apambane aache kubwekabweka atakosa endorsement coz diamond ana popularity kubwa
 
Ukweli umejulikana mambo ya kutetea ujinga wenu hayapo sasa.

Kiufupi watu wameshajua Diamond mkunjaji
Diamond sio mkunjaji bali vita yake kapigana mwenyewe hamna msanii aliye msaidia wa kumtetea kipindi ambacho apewi airtime na radio tatu.

Leo Diamond bila kuwa na roho ngumu, mziki angekuwa kishaacha kama Suma G na Ramadee.
 
Diamond sio malaika ni kama mimi na wewe, ana roho inaweza kuwa nzuri au mbaya ila mmakonde hana mbinu za kivita ndio maana analia hovyo anadhalilisha Jina jeshi, diamond mwenyewe kapigwa vita Sana mpaka media kubwa kumbania lakini ali survive. Mmakonde apambane aache kubwekabweka atakosa endorsement coz diamond ana popularity kubwa
Hizi Story zimepitwa na wakati si mlisema hatomaliza mwaka nje ya hiyo lebel ya majizi?

Huu ni mwanzo tu endeleeni kujipooza hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom