Hasara za kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa kumshambulia mtu badala ya hoja zimemmaliza Tundu Lissu baada ya Mtesi wake kupumzika

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
 
So far kama ni ngumi tundu lissu ameshinda kwa TKO tunamtafutia bondia mwingine kutetea ubingwa wake.
Pili siasa zetu ziko very dy namic miaka minne ni mingi any thing might happen
Mwisho watanzania tunataka haki.kama mama anatenda haki acha atawale milele wapinzani tutagombea ubunge tu
Mama ni malkia mtarajiwa i love mama
 
Hahahahaha mkuu unayachoma MATAGA bila huruma
 
Mama Kayasema, bado hajayafanya.
 
Kwani kabla ya Magufuli kuwa rais,Lissu hakuwa maarufu?
 
Ila dhuluma ya uchaguzi mkuu 2020 imelipwa. Kwa hiyo kuingia barabarani hakuna haja tena.

Njia mbadala imepatikana.
 
Mshahara wa dhambi ni umauti inasema biblia Yaan wewe uibe haki tena hadharani pili uuwe watu tatu udhulumu watu hela zao nne uteke watu na wasiojulikana la mwisho udanganye tunapata faida kumbe hasara kwa kupika data halafu mungu akuache salama asikuchukue Raisi alikuwa ana dhambi
soma warumi 6:23
Tendeni haki mkiwa katika uongozi maisha ya dunia tunapita
 
Hahhaa eti amepumzika. Kwa zile dhambi zote alizoondoka nazo anapumzikaje kwa mfano?
 
Yap anayoyafanya mama yanayomkwamisha lissu? Kuna mahali popote mama amesema ataruhusu uchunguzi kuhusu shambulio la lissu, kuhusu viroba vya maiti kwenye fukwe, kuhusu kupotea kwa akina azory Ben sa8 na wengine, katiba mpya je? tume huru ya uchaguzi, kiufupi lissu bado ana hoja nyingi sana ambazo hata mama hajui aanzie wapi na ametuonyesha kuwa ni mpenda haki sasa BILA kufanya hata wachache Kati ya niliyoyataja hapo mama atakuwa na wakati mgumu sana kwani tutambana sana na ikiwwzekana na uovu wake tutauanika hadharani kwani na yeye sio malaika labda abadilike atumie ubabe kama wa mwendazake ili ukumbane na nature ya wanadamu na ulimwengu vizuri kabisa KUPANGA NI KUCHAGUA
 
Upinzani kazi wanayo.kumsifia samia sio kazi ndogo.maana unalazimika kusifia kitu ambacho hutakiwi kukipa sifa.
 
Mtoa post UMEFIKILIA MBALI SANA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nonsense. Humjui Lissu.
 
Huwa nawashangaa sana mnaokesha kumponda Lissu kila kukicha
Kwa taarifa yenu hamumfikii kwa akili,ujasiri,msimamo,umaarufu ,mtafia humu jf hamjulikani popote ,Lissu anajulikana kimataifa na kwa Tz Lissu ndio mwanaume jasiri kuliko wote nyie wapuuzi mnaokandia hata havieleweki
Tokeni na nyie hadharan mtetee watanzania sio kujificha humu na kuandika uharo tu mxxxxxxxxiuuuu
 
Ukitoa mfano jinsi Lissu alivyoshambulia mtu badala ya hoja nipigwe ban.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…