Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Hahahahaha mkuu unayachoma MATAGA bila hurumaSo far kama ni ngumi tundu lissu ameshinda kwa TKO tunamtafutia bondia mwingine kutetea ubingwa wake.
Pili siasa zetu ziko very dy namic miaka minne ni mingi any thing might happen
Mwisho watanzania tunataka haki.kama mama anatenda haki acha atawale milele wapinzani tutagombea ubunge tu
Mama ni malkia mtarajiwa i love mama
Mama Kayasema, bado hajayafanya.Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake
Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku
ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake
Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike
mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Kwani kabla ya Magufuli kuwa rais,Lissu hakuwa maarufu?Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake
Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku
ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake
Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike
mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Ila dhuluma ya uchaguzi mkuu 2020 imelipwa. Kwa hiyo kuingia barabarani hakuna haja tena.Hakuna mzigo wowote lissu aliopunguziwa,lissu alitegemea kinywa chake kinge wapeleka watu barabarani. Ukweli ni kwamba hauwezi kuimba huku ukitafuna karanga. Watu wanaingia barabarani automatical pasipo kuambiwa na mtu yeyote yule aswa pale tu maslaihi yao yanaponyang'anywa au kuporwa na viongozi au serikali.sio kisa tu lissu anataka aingie ikulu then anatoka from no where eti tuandamane hiyo ni NEVER. Watanzania sio wajinga.
😁😁😁Ila dhuluma ya uchaguzi mkuu 2020 imelipwa. Kwa hiyo kuingia barabarani hakuna haja tena.
Njia mbadala imepatikana.
Akikujibu kwa ufasaha nistue mkuu 🤣Kwani kabla ya Magufuli kuwa rais,Lissu hakuwa maarufu?
Hahhaa eti amepumzika. Kwa zile dhambi zote alizoondoka nazo anapumzikaje kwa mfano?Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake
Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku
ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake
Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike
mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Haswaaaa,umaarufu wa Lissu ulikuwepo lakini uliongezeka baada ya shambulizi.Kama ulianza kumjua/kumfahamu Tundu Lissu kipindi cha pombe, hapo sawaa. Unaweza sema hayo uliyoyasema.
Yap anayoyafanya mama yanayomkwamisha lissu? Kuna mahali popote mama amesema ataruhusu uchunguzi kuhusu shambulio la lissu, kuhusu viroba vya maiti kwenye fukwe, kuhusu kupotea kwa akina azory Ben sa8 na wengine, katiba mpya je? tume huru ya uchaguzi, kiufupi lissu bado ana hoja nyingi sana ambazo hata mama hajui aanzie wapi na ametuonyesha kuwa ni mpenda haki sasa BILA kufanya hata wachache Kati ya niliyoyataja hapo mama atakuwa na wakati mgumu sana kwani tutambana sana na ikiwwzekana na uovu wake tutauanika hadharani kwani na yeye sio malaika labda abadilike atumie ubabe kama wa mwendazake ili ukumbane na nature ya wanadamu na ulimwengu vizuri kabisa KUPANGA NI KUCHAGUAHoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake
Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku
ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake
Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike
mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Au ulikuwa ni ukweli au kulitangazia Taifa kuwa Raisi amekata roho Nairobi ni dhihaka?dhihaka
Nonsense. Humjui Lissu.Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake
Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku
ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake
Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike
mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi