Hasara za kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa kumshambulia mtu badala ya hoja zimemmaliza Tundu Lissu baada ya Mtesi wake kupumzika

Hasara za kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa kumshambulia mtu badala ya hoja zimemmaliza Tundu Lissu baada ya Mtesi wake kupumzika

Warumi 3 : 23
" kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu; "

Hata wewe Mr. Ibilisi, usijihesabie haki.

Ni ibilisi peke yake anaeshangilia na kufurahia dhambi za wanadamu.

Hapa nammuona ibilisi katika ubora wake.

1 Petro 5 : 8
"Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze. "
Mkuu si maneno yangu bali ni maneno ya Paulo huyo mimi nime nukuu tu andiko takatifu jukumu lako ni kulikubali andiko au kulikataa
Lakini Yesu wa Nazareth anasema "ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake kuwa mabaya kwa maana kwa matunda yake mti utatambulikana" mathayo 12:33
Sasa nyinyi mnataka mtulazimishe mtu kafanya mabaya kusema kafanya mema acha uzuri au ubaya wake ujidhihirishe wenyewe
 
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Navyofahamu wore mliokuuwa na mitazamo ya kutopenda haki mnaumia Sana kwa dalili mnazozishuhudia majira haya,jifunzeni kuwa watu wa haki ,popote mtakubalika.
 
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Kwani umaarufu wa tundu lisu umeanza 2015-2021? Hahaaaa!!!waliuze wanaomfahamu toka enzi za mwinyi, eti meko kuondoka ndio umaarufu wake utaishaaa(samahani lakini una umri gani)nisije kukulaumu kumbe tatizo ni umri wako!!!kwa taarifa yako lisu kuja kumalizwa umaarufu ni mpaka pale dhuruma za nchi hii zitakapokwisha zote, kwa kuondoa sheria kandamizi zote, kitu ambacho hakiwezekani kamwe chini ya ccm!!mama atajitahidi kadri ya uwezo wake lakini kuna baadhi ya mambo atakwamishwa tu na WAHAFIDHINA , walioko ndani ya chama, kwani isije ikawa mwisho wa chama!!kwa akili zako hata kama mama ana nia nzuri anaweza kukubali ile katiba ya warioba ndio ipite??thubutu!!!!na kwa taarifa yako lisu hashambulii mtu binafsi bali ni mfumo, sema meko alijifanya yeye ndio nchi, makosa yake, binafsi anayachanganya eti ni ya nchi!!!
 
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Hana shida na mama wako vizuri naye. Kumbuka mama alienda kumwona alpokuwa anapatiwa matibabu Nairobi.
 
Niliwahi kuandika hapo nyuma nairudia...

"Jamaa ameamua kupambana na marehemu kupunguza maumivu."
 
Mataga shkamoo
fatilia clip za lissu akiwa bungeni kabla uyo mwendazake hajawa rais ksha ukae chumban utafakari je ni kweli umaarufu wa lissu ulitegemea matendo ya magu. Kwa yale yote utakayoyaskia kwny hzo clip.

Ukmalza kamata clips za campain za lissu 2020 kwa yale yote aliyokuwa anasema je yalikuwa yote yanamhusu magu ama vp
ksha rud chumban kwako au maporin huko ukae utafakari
kama ubongo wako unautumia vema utalia sn kwa huu ujnga ulioweka humu.
 
Niliwahi kuandika hapo nyuma nairudia...

"Jamaa ameamua kupambana na marehemu kupunguza maumivu."
ona jinga lingne wewe
ndo maana mnaitwa mataga akili hamna kbs

Kama ccm inapendwa mnaogopa nn tume huru, katiba mpya, mnaogopa nn mikutano ya hadhara
naona mtu wenu anawashughurikia ksawasawa mmegeuka kuwa wapngaji sasa.
 
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Lissu yupi unaemiongelea au wa kwenye ukoo wenu?

Kama ni Tundu A. M. Lissu, huyu amekuwa maarufu tangu miaka ya 90 kwa kuanika maovu yanayofanywa na watawala wa CCM.

Tafuta hoja nyingine ya kuleta humu sio kuandika uharo kama uharo wa fisi na kuutuma humu.
 
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Naona TL anakusumbua sana mkuu. Tulia. "Introspection" itakuumiza na kushusha kinga ya mwili hasa wakati huu wa Covid-19. "Take care. You are vulnerable for a viral attack".
 
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Fikiri kwa makini.Uwezo na umaarufu wa Lissu haukutegemea ubaya wa Mwendazake.Lissu alianza harakati muda mrefu labda kama umezaliwa miaka ya 1990
 
Fedha na Madaraka ulevya. Ulevi huu uhathili yeyote asiyejitambua. Siyo swala la kundi Fulani tuuu, ni kwa jamii yote kuliona ili Kama fundisho na ukumbusho. Vijana watakuwa wamekumbushwa na kujifunza zaidi katika mkanganyiko huo. Tusitegemee nafsi, Bali tutegemee uwezo wake Mungu.
 
So far kama ni ngumi tundu lissu ameshinda kwa TKO tunamtafutia bondia mwingine kutetea ubingwa wake.
Pili siasa zetu ziko very dy namic miaka minne ni mingi any thing might happen
Mwisho watanzania tunataka haki.kama mama anatenda haki acha atawale milele wapinzani tutagombea ubunge tu
Mama ni malkia mtarajiwa i love mama
I second you, kweli kama mama atatenda haki basi atawale milele
 
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi

Utter non sense ,Tundu Lissu ameibuka maarufu kwa kutetea wananchi wa migodini huko enzi hizo MEKO anaenda kunywa kikombe kwa babu,issue ya ugomvi wake na MEKO ni kwasababu ya kupigwa risasi.
 
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Tatzo umemfahamu lisu alivyopata ubunge, pole sana MATAGA
 
Kwa taarifa yako JK mwenyewe kipindi cha kampeni cha Urais awamu ya kwanza na Lissu na yeye alikuwa anagombania ubunge jimboni kwake,basi JK alifikia hatua kusema ni bora yeye akose urais kuliko Lissu kuwa mbunge.
Hapo maana yake Lissu alikuwa maarufu na tishio hata kabda JK hajawa Raisi.
 
Back
Top Bottom