Hasara za kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa kumshambulia mtu badala ya hoja zimemmaliza Tundu Lissu baada ya Mtesi wake kupumzika

Hasara za kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa kumshambulia mtu badala ya hoja zimemmaliza Tundu Lissu baada ya Mtesi wake kupumzika

Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Tundu Lissu ni maarufu hata kabla huyo unayemtaja kutawala
 
Lisu hakuwa na ajenda wala ilani yeye aliomba kugombea uraisi ili tu apate platform ya kumporomoshea matusi Magufuli

Chadema hawakuwa na mgombea uraisi to be precise
 
Huwa nawashangaa sana mnaokesha kumponda Lissu kila kukicha
Kwa taarifa yenu hamumfikii kwa akili,ujasiri,msimamo,umaarufu ,mtafia humu jf hamjulikani popote ,Lissu anajulikana kimataifa na kwa Tz Lissu ndio mwanaume jasiri kuliko wote nyie wapuuzi mnaokandia hata havieleweki
Tokeni na nyie hadharan mtetee watanzania sio kujificha humu na kuandika uharo tu mxxxxxxxxiuuuuView attachment 1745537
Jasiri wa Taifa....
 
Tanzania ni nchi ambayo Mungu anaipenda sana Kwanza uwezi tawala milele uwezi sababisha watu wakamwaga damu uwezi wagombanisha watu kikabila kidini au kwa aina yeyote ile sio wanajeshi sio raia wa kawaida Watanzania wana umoja mno.

Na ndomana kauli mbiu ya nchi yetu ni Uhuru na Umoja hata Jeshini kauli mbiu yetu ni Umoja ile ballet ya jeshi kwenye ule Mwenge kuna neno limeandikwa umoja.Tanzania kusababisha machafuko kama ilivyo Syria,Libya Afghanistani,Iraq au congo Africa ya kati kwa Tanzania ni kazi mno.

Hata awo wazungu wameliona ilo Tanzania kuna natural resources nyingi mno lkn hatugombani kuhusu natural resources zetu.
Magu alikuwa na ukabila,udini double standard kwenye baadhi ya mambo atu katai kuna mazuri yake kafanya ila pia yy ni binadamu ana mabaya yake mengi tuu Mungu ampe punziko la milele na kumlehemu uko aliko, Magu wenda alitaka kutawala Milele..

Kwa Tanzania uwezi kutawala milele hii ni nchi ambayo Mungu anaipenda mno na ndomana alimchukua mapema mana aliona watu wake tunaelekea siko,uzuri wa watanzania utawaonea wee utawaona wajinga awadeal na wewe awandamani awafanyi nn wao umlilia Mungu wao tuu bac hivyo basi.

Mungu nae ukiwatesa watu wake wa Tanzania ata deal na wewe na ndomana sisi wenyewe kwa wenyewe tuna upendo na umoja kutugombanisha ni ngumu mno iko kitu hata wazungu wamekiona..

Na duniani hakuna kazingumu kama kugombanisha watu wenye upendo na umoja ni ngumu mno...

Tanzania ni nchi nzuri mno Duniani tena sana,naipenda Tanzania
#Uhuru na Umoja....
#R.I.P JPM
 
Mshahara wa dhambi ni umauti inasema biblia Yaan wewe uibe haki tena hadharani pili uuwe watu tatu udhulumu watu hela zao nne uteke watu na wasiojulikana la mwisho udanganye tunapata faida kumbe hasara kwa kupika data halafu mungu akuache salama asikuchukue Raisi alikuwa ana dhambi
soma warumi 6:23
Tendeni haki mkiwa katika uongozi maisha ya dunia tunapita
Warumi 3 : 23
" kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu; "

Hata wewe Mr. Ibilisi, usijihesabie haki.

Ni ibilisi peke yake anaeshangilia na kufurahia dhambi za wanadamu.

Hapa nammuona ibilisi katika ubora wake.

1 Petro 5 : 8
"Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze. "
 
Yap anayoyafanya mama yanayomkwamisha lissu? Kuna mahali popote mama amesema ataruhusu uchunguzi kuhusu shambulio la lissu, kuhusu viroba vya maiti kwenye fukwe, kuhusu kupotea kwa akina azory Ben sa8 na wengine, katiba mpya je? tume huru ya uchaguzi, kiufupi lissu bado ana hoja nyingi sana ambazo hata mama hajui aanzie wapi na ametuonyesha kuwa ni mpenda haki sasa BILA kufanya hata wachache Kati ya niliyoyataja hapo mama atakuwa na wakati mgumu sana kwani tutambana sana na ikiwwzekana na uovu wake tutauanika hadharani kwani na yeye sio malaika labda abadilike atumie ubabe kama wa mwendazake ili ukumbane na nature ya wanadamu na ulimwengu vizuri kabisa KUPANGA NI KUCHAGUA
AMEN
 
Lisu hakuwa na ajenda wala ilani yeye aliomba kugombea uraisi ili tu apate platform ya kumporomoshea matusi Magufuli

Chadema hawakuwa na mgombea uraisi to be precise
UHURU, HAKI NA MAENDELEO WATU
 
UHURU, HAKI NA MAENDELEO WATU
kichwa kilikuwa hicho lakini hotuba ni kuporomoshea matusi Magufuli labda nikuulize Chadema wamekuwa wabunge muaka nenda rudi nitajie mfano mmoja tu wa maendeleo ya watu waliyofanya majimboni mwao.Nitajie mfano mmoja tu
 
Lisu hakuwa na ajenda wala ilani yeye aliomba kugombea uraisi ili tu apate platform ya kumporomoshea matusi Magufuli

Chadema hawakuwa na mgombea uraisi to be precise
Hebu matusi mawili aliyotukanwa marehemu dikiteta magufuli nasi tuyafahamu.
 
kichwa kilikuwa hicho lakini hotuba ni kuporomoshea matusi Magufuli labda nikuulize Chadema wamekuwa wabunge muaka nenda rufi nitajie mfano mmoja tu wa maendeleo ya watu waliyofanya majimboni mwao.Nitajie mfano mmoja tu
UELEWA wako kama walivyo ma lumumba wengi, watia shaka. Dola, Serikali mliwapa lini?
 
Hahhaa eti amepumzika. Kwa zile dhambi zote alizoondoka nazo anapumzikaje kwa mfano?
Kazi za Mungu ni za Mungu tu. Kazi ya kuhesabu na kuhukumu dhambi za binadamu haijawahi na haitawahi kuwa ya binadamu.
 
Mleta uzi,tukubaliane katika kutokukubaliana.
Mwendazake hajapumzika.
 
So far kama ni ngumi tundu lissu ameshinda kwa TKO tunamtafutia bondia mwingine kutetea ubingwa wake.
Pili siasa zetu ziko very dy namic miaka minne ni mingi any thing might happen
Mwisho watanzania tunataka haki.kama mama anatenda haki acha atawale milele wapinzani tutagombea ubunge tu
Mama ni malkia mtarajiwa i love mama
Mungu akubariki.
Mungu ambariki Rais Samia.
Haki huinua Taifa.
 
Kazi za Mungu ni za Mungu tu. Kazi ya kuhesabu na kuhukumu dhambi za binadamu haijawahi na haitawahi kuwa ya binadamu.
Cc
Godfrey Luena
Tundu Lisu
Daniel Yohana
Ben Saanane
Akweline Akwiline
Azory Gwanda
Samwel Kanguye
 
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Na wewe mbona post zako unamshambulia Lissu tu, unatafuta kiki kupitia jina hilo? Hivi kati ya mwendazake na Lissu nani alianza kuwa maarufu? Au wakati huo Lissu anawatetea waliofukiwa hai kwenye migodi kule Bulyanhulu wewe ulikuwa unalia ngozi za mbuzi kujijini kwenu?
 
Hakuna mzigo wowote lissu aliopunguziwa,lissu alitegemea kinywa chake kinge wapeleka watu barabarani. Ukweli ni kwamba hauwezi kuimba huku ukitafuna karanga. Watu wanaingia barabarani automatical pasipo kuambiwa na mtu yeyote yule aswa pale tu maslaihi yao yanaponyang'anywa au kuporwa na viongozi au serikali.sio kisa tu lissu anataka aingie ikulu then anatoka from no where eti tuandamane hiyo ni NEVER. Watanzania sio wajinga.
Kikubwa dhalimu na mtesi wake Lissu is no more,hiyo ni zawadi tosha toka kwa Muumba.
 
Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi
Yaani wewe bado unaishi ktk zama za propaganda za kijinga tu na zilizopitwa na wakati? Ina maana na wewe bado hujaamuka tu toka ktk ujinga wako ulioambukizwa na Magufuli??? What a shame..

Kwanza unavyoandika tu inaonesha wazi kabisa hata humjui na huijui historia ya Tundu Lissu...!

Tundu Lissu ndivyo alivyo tangu hata kabla hajazaliwa. Yeye siyo mtu wa "NDIYO MZEE" tu bila kwanza kuhoji...

Huwezi kumlinganisha Tundu Lissu na John Pombe Magufuli limbukeni wa madaraka na mwisho yameishia kumuua tu..

Misimamo ya Tundu Lissu ni thabiti, hayumbi na ili muelewane ni lazima tu uwe na hoja thabiti ya unachokitetea au unachotaka akuunge mkono kukitenda...

Vnginevyo ulaghai na ujinga kwake ni mwiko kabisa. Na ukija kwa staili hiyo atakushinda tu na uta - resort kutumia nguvu ya bunduki kushindana naye...

Ndivyo alivyofanya nduguyo Mwendazake John Pombe Magufuli baba yenu enyi nyie wa kizazi cha nyoka..!
 
Jambo ambalo wengi hamuelewei ni kwamba upinzani hautakaa ufe mahali popote duniani
 
Back
Top Bottom