Hasara za kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa kumshambulia mtu badala ya hoja zimemmaliza Tundu Lissu baada ya Mtesi wake kupumzika

Hasara za kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa kumshambulia mtu badala ya hoja zimemmaliza Tundu Lissu baada ya Mtesi wake kupumzika

Hoja kubwa ya Umaarufu wa Tundu Lisu ilikuwa ni kumshambulia kwa maneno yoote ya dhihaka mwendazake

Umaarufu wake uliimarika zaidi pale alipoingia kwenye kampeni na kuvunja sheria za nchi kwa kufanya kampeni mpaka usiku

ilikuwa kila anapopst ujumbe lazima uambatane na kejeli kwa mwendazake

Sasa Mwendazake hayupo tena ameingia mama akausoma mchezo wa kummaliza bila kutumia nguvu mshambulizi wa mwendazake mama alichofanya ni kufanya yale ambayo mtesi wa mwendazake aliyatamani yafanyike

mtesi wa mwendazake yuko mtegoni hajui aseme nn akiegemea upande wa mwendazake watu watamshangaa akiegemea upande wa mama mama ameshamuwahi

Hebu acha kupayuka. Tuliza akili halafu jiulize hivi:
1. Nani aliyepata umaarufu Kati ya yule aliyemshambulia mwenzake kwa Risasi zaidi ya 30 na hakufa au aliyemshambulia mwenzake kwa maneno na leo ni marehemu?
2. Nani anazidi kupata umaarufu Kati ya aliyetishiwa kuuawa baada ya Uchaguzi Mkuu akakimbilia ubalozi na yule aliyemtishia mwenzake baada ya kuiba Kura na kughushi matokeo lakini leo ametangulia mbele ya Haki.

Mungu HADHIHAKIWI na Mungu siyo Jiwe Wala mtu hata asisikie kilio cha Watu waliodhulumiwa na kuporwa HAKI zao za msingi kabisa mchana peupe!!!

Never ever play with God!!!
 
Back
Top Bottom